mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Nimependa,nahitaji TV inch 50 nzuri..niandae Bajeti ipi na itoke Brand ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa jiangalie kwenye ilo kundi hapo juu wewe unafit namba ngapi alaf ndio nikupe budget kulingana na inches unazotakaNimependa,nahitaji TV inch 50 nzuri..niandae Bajeti ipi na itoke Brand ipi?
Kuna LG 65" OLED moja matata sana. Ila tatizo la hizi OLED za LG za zamani baada ya muda zinapata burn in, ilianza kupata hivyo nikaipeleka basement nikachukua hiyo Sony 77" kama main TV ya living room.Mkuu unajua vitu vizuri, kati ya hizo zote nani una rate no 1?
Acha uongo aisee nina freezer la Life is good mwaka wa 10 huu linadunda tu sema itakua unanunua vile vilivyopachikwa nembo ya LG sio LG yenyewe wewe ndio mtu wa kwanza naona unaiponda LG..Endelea kujidanganya, taarifa tu, nimeshatumia vifaa vingi vya LG sio tv peke yake.
Nunua Samsung au LG ya 55" na pia mnaponunua hapo kariakoo angalia ni ya mwaka gani sio kuangalia tu upya wake ikiwa kwenye box au dukani.Nimependa,nahitaji TV inch 50 nzuri..niandae Bajeti ipi na itoke Brand ipi?
Acha ujinga, sio vifaa vya Kampuni yote wala hakuna sehemu yoyote niliposema vyote ni vibovu, hapa tunaongelea TV, ni wapi nimeongelea vifaa vyengine vya LG kuwa ni vibovu?Acha uongo aisee nina freezer la Life is good mwaka wa 10 huu linadunda tu sema itakua unanunua vile vilivyopachikwa nembo ya LG sio LG yenyewe wewe ndio mtu wa kwanza naona unaiponda LG..
Msome na mwelewe mtu anapokuwa anaelezea, hakuna sehemu niliposema product nyingine za LG kuwa ni mbovu zaidi ya TV, kiufupi nimeongelea TV. Acha uongo.Acha uongo aisee nina freezer la Life is good mwaka wa 10 huu linadunda tu sema itakua unanunua vile vilivyopachikwa nembo ya LG sio LG yenyewe wewe ndio mtu wa kwanza naona unaiponda LG..
LG TV hazina shida unatumia zile za uongo mazee...Msome na mwelewe mtu anapokuwa anaelezea, hakuna sehemu niliposema product nyingine za LG kuwa ni mbovu zaidi ya TV, kiufupi nimeongelea TV. Acha uongo.
TCL WAPO BYEEE SANAAAKwa hizi za kichina TV nyingi usiwe na mpango wa kuishi nayo miaka mitatu apo utawin
TV kufa kwake ni kazi kubwaSawa lakini hata mimi nilitumia Samsung 55 kwa miaka sita bila tatizo mwisho nikaigawa!!
Mkuu mimi siwezi kutukana kwa sababu ya Ma TV tu haya..Acha ujinga, sio vifaa vya Kampuni yote wala hakuna sehemu yoyote niliposema vyote ni vibovu, hapa tunaongelea TV, ni wapi nimeongelea vifaa vyengine vya LG kuwa ni vibovu?
Bei gani hiiHapo Hisense ndo wanayo 100"
Samsung wana 98"
TCL 55" 4K bei gani?Kila mtu anapenda kumiliki kitu kizuri ila baadhi kipato hakiruhusu, hii imepelekea kuwepo kwa bidhaa za kila aina sokoni ili kubeba pesa yoyote mteja aliyonayo. Kwa upande wa TV zipo kampuni nyingi sana na hapa nazigawa kwenye makundi matatu
1. Samsung LG SONY Panasonic
2. TCL Hisense Haier
3. Alitop Aborder Ailyons Solarmax Skyworth Mr.UK Mewe Boss e.t.c
Kutoka kundi namba moja TV ambazo zimezoeleka sana ni LG na Samsung, tofauti ya hawa wawili LG anakupa picha kali (real 4K) wakati Samsung anakupa picha kali pamoja na frame kali kuliko frame ya LG. LG anakupa durability na kioo chake ni kigumu kupasuka kuliko Samsung.
LG wanakupa series 4 ambazo ni (UHD NANOCELL QNED OLED) Samsung wao wana (UHD QLED OLED)
Bei zake zinapanda kulingana na latest series, kumiliki TV za kundi hili lazima uwe una pesa kulingana na series unayotaka pamoja na inches ngapi unahitaji na ndio TV zenye bei kubwa zaidi sokoni.
Namba mbili tukianza na TCL ni TV nzuri ambayo kama unapenda kitu kizuri na umeshindwa kufika bei ya hapo juu, TCL wanakupa picha nzuri pia inadumu ukiweka ndani ni mkataba.
Tukija kwenye hisense wenyewe wana series za bei ndogo na kubwa, hawa jamaa wana TV nzuri kulingana na bei zao ila quality yake haiwafikii hao wazee hapo juu, pia ndio TV ambazo zinauza sana sokoni kwa sasa kutokana na jina lakini pia bei zao zinaendana na watu wa uchumi wa kati, hawa jamaa baadhi ya series zao zinarudi sana kwa fundi ila ukiotea ni mkataba.
Haier wenyewe wamekuja karibuni kwenye soko la Tanzania na wanafanya vizuri, bei zao zipo chini kidogo ya Hisense, ukikosa pesa ya kununua hisense basi kimbilia hapa kabla hujafika namba tatu kwa wachina wenyewe.
Kundi namba tatu nimeweka kampuni za kichina zilizojaa sokoni, hawa wameamua kumuuliza mteja ana bei gani kisha watengeneze bidhaa, kwa hili kundi TV yenye picha nzuri ni Alitop na Skyworth lakini pia bei zao ni nzuri unaweza kumiliki 43" below 450k price; Aborder wanakupa durability nzuri pia.
Uliza swali lolote kwenye coments kulingana na mada, ukitaka kujua bei weka kampuni gani na inches ngapi, lakini pia series kama haufahamu uliza nitajibu.
Ciao
Chukua Alitop, wengi wanauza from 220Kwahiyo laki 2, napita na brand gani hapo?
From 1.05TCL 55" 4K bei gani?
16M SamsungBei gani hii