Hii hapa Television ya kumiliki kulingana na kipato chako

Acha uongo aisee nina freezer la Life is good mwaka wa 10 huu linadunda tu sema itakua unanunua vile vilivyopachikwa nembo ya LG sio LG yenyewe wewe ndio mtu wa kwanza naona unaiponda LG..
Acha ujinga, sio vifaa vya Kampuni yote wala hakuna sehemu yoyote niliposema vyote ni vibovu, hapa tunaongelea TV, ni wapi nimeongelea vifaa vyengine vya LG kuwa ni vibovu?
 
Acha uongo aisee nina freezer la Life is good mwaka wa 10 huu linadunda tu sema itakua unanunua vile vilivyopachikwa nembo ya LG sio LG yenyewe wewe ndio mtu wa kwanza naona unaiponda LG..
Msome na mwelewe mtu anapokuwa anaelezea, hakuna sehemu niliposema product nyingine za LG kuwa ni mbovu zaidi ya TV, kiufupi nimeongelea TV. Acha uongo.
 
Msome na mwelewe mtu anapokuwa anaelezea, hakuna sehemu niliposema product nyingine za LG kuwa ni mbovu zaidi ya TV, kiufupi nimeongelea TV. Acha uongo.
LG TV hazina shida unatumia zile za uongo mazee...
Samsung ya rand 17,000 LG utaikuta ipo rand 26,000 na hawana promotion wala sell na bidhaa zao zinaisha hapo kwenye duka la jumla..
Anaengoza kwa ubora ni Sony, LG na Samsung wanalingana anakuja Skyworth anafata Hisence..
 
TCL 55" 4K bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…