Hii hapa Television ya kumiliki kulingana na kipato chako

Umechanganua vizuri, nimepata bahati ya kutumia Samsung Crystal HD 55inch ikavunjika kioo nkachkua LG Qled 43 inch kwa muda, Nkauza sasa nna Haier 65inch ni Qled kwakweli hawa jamaa ni kiboko🙌 tv kiwembe picha ni kali sana kwa wapenzi wa Games hasa ps4 pro na Ps 5 Refresh rate yake ni 120hz + ile 4K baba🙌
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…