reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Hahahaaa..jamaniiKwanza unene wake haukeri, ngozi yake ni laini inaonekana tu
Tukilala nalalia nyama wakati huo Acc yangu inasoma utajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa..jamaniiKwanza unene wake haukeri, ngozi yake ni laini inaonekana tu
Tukilala nalalia nyama wakati huo Acc yangu inasoma utajiri
Na wanaume waso na hela wana nyodo mnoooKuacha huo utajiri kisa ubonge ni kosa kubwa heri ulilie kwenye ma yatch kuliko ulie kwenye mwendokasi aisee[emoji2]
Kaka ni ngumu huyo dada kucheatHayo matumizi ya pesa kama mimi mzazi nisingetumia kwenye harusi ya bonge nyanya kama hilo!
Muda wowote huyo mwanamke ataveshwa nje ilibidi kwanza aanze na kumnunulia zana za kupiga tizi kuondoa minyama uzembe hiyo iliyokusanyana mwilini.
Zinadumu mnooMkuu usijudge kwa muonekano wake wa nje, wahindi ndoa zao zinadumu.
Ana umwa huyu dawa anazokulaNaona watu mnadili na bwana harusi, sio kupenda kwake ni hali ya maisha.
Ugonjwa gani?Ana umwa huyu dawa anazokula
Ashawahu kua kwenye srict diet na hayo mazoezi akapungua hasa
Baadae naona karudi tena kula ni ngumu ukiwa mgonjwa kufanya diet
Hilo ni sahihi kabisa huwa naona ndoa zao zinadumu sana.Zinadumu mnoo
Yaani kwanza kuachika sasa hv ndo kupo kidogo sheria zimelegezwa na wengi wanaoachika hawa wasomi na wasanii au watu maarufu
Ila watu kina Ambani wanaachanaje sasa sasa kwanza kuachika kwao ni kashfa,aibu na kejeli
Migombani wapi, uhayani au uchagani?Pesa iliyotumika siku moja tu hapo hata tajiri mkubwa wa kule migombani hafiki hata nusu yake mpaka anakufa luambo makiadi Stress Challenger
MnatusingiziaNa wanaume waso na hela wana nyodo mnooo
Kula mtori mkuuWakati wengine tunapambana kuongeza mwili
Wengine wanapambana kuupunguza
Dear God 🙄🙄
Hiyo familia pesa ipo jombiiNa ndo wanamiliki nyumba binafsi ghali kuliko zote at $5bn
Pesa itambebaSifa kibao mtu wenyewe wa duara, sijui kama kule chini ipo au washkaji itabidi wamsaidie!
Ana pumu nadhani hua inamuathiri sanaaUgonjwa gani?
HahaaaaaaMnatusingizia
Duh pole yakeAna pumu nadhani hua inamuathiri sanaa
Sasa mnataka tukose vyote, pesa tukose na mengineyo tukose pia 😅Hahaaaaaa
Kweli kakaa
HahaaaaaaDuh pole yake
Sasa mnataka tukose vyote, pesa tukose na mengineyo tukose pia [emoji28]
Mnatusagia kunguni.Hahaaaaaa
Mnazidi sasa yaani nyie ni balaaa na kupitilizaa kabisaa
Vimasharti vingiiiNa wanaume waso na hela wana nyodo mnooo
Mitoto ya matajiri mara nyingi inakuwaga hivyoWengine kwa siku tunaishi kwa buku nne, vocha jero, mihogo ya jero asubuhi, mchana tunainama, usiku tunashiba vya kutosha.
Nb.
Mbona mtoto wa tajiri bonge nyanya sana.