magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Halafu huko kalipwa Justin Biba kuimba bebi bebi ooh..Mpaka kesho hazijalipwa na bilionea yule í ½í¸
Life is not fair.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu huko kalipwa Justin Biba kuimba bebi bebi ooh..Mpaka kesho hazijalipwa na bilionea yule í ½í¸
Ndio maisha yalivyo, pesa ya uwekezaji simba ni bei ya show ya bieberHalafu huko kalipwa Justin Biba kuimba bebi bebi ooh..
Life is not fair.
Weeeh! Kuna upendo gani wa kweli kwenye taabu🙆🙆Kama kweli vile 😂
Kwahiyo we ni heri ule ugali dagaa kwenye upendo wa kweli kuliko kula biriani kuku kwenye bora liende?
Upo nyakati za taabu ndio kithibitisho tosha cha upendo. Raha tule wote alafu kipindi cha shida nibaki peke yangu, hapana.Weeeh! Kuna upendo gani wa kweli kwenye taabu🙆🙆
Huo ni uongoooo🤣
Bwana harusi Peter MsechuWatu wanazingatia maokoto, bwana harusi kakaa kizembe sana ila ndo hivyo pesa inaongea
Akuuu raha zetu, taabu zako.Upo nyakati za taabu ndio kithibitisho tosha cha upendo. Raha tule wote alafu kipindi cha shida nibaki peke yangu, hapana.
Wazee ya hovyo ya jf ahahahahahMalizia na wazee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watu wanatumia pesa zao kujifurahisha wenyewe unasema kufuru.
Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake.
Chai
Best Nasso umempendelea, labda msaga sumu 😂😂😂😂😂😂😂Harusi ya Nyamwi255 ni ya kimasikini atatumbuiza Best Nasso napo kwa kumbembeleza saaana
Wema Sepetu yeye anaalikwa kwenye vibao kata tu mpaka jana katoa povu hataki kuitwa tena kisa ameenda Korea brand yake imeongezeka.🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimeona kina Kim na khloe wameenda ukiwa tajiri kila mtu anakuja tu
😂😂😂😂😂Wema Sepetu yeye anaalikwa kwenye vibao kata tu mpaka jana katoa povu hataki kuitwa tena kisa ameenda Korea brand yake imeongezeka.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Msaga Sumu mnyamwezi sana tufanye HarmoRapa🤣Best Nasso umempendelea, labda msaga sumu 😂😂😂😂😂😂😂
Mtajakufa vibaya na kuchomwa moto mbaya huko tuendako😂Akuuu raha zetu, taabu zako.
Tunae kwa kweli acha kodi zitumike vyema.
Wenzetu ni former na ex, ila wetu sasa🙆🙆🙆🙆
Kisa nini sasa?Mtajakufa vibaya na kuchomwa moto mbaya huko tuendako😂
😂😂😂tumeyatimba bonge la hasara yaniWenzetu ni former na ex, ila wetu sasa🙆🙆🙆🙆