Tyrion_Lannister
Senior Member
- Jul 5, 2024
- 103
- 247
Leo Nyamwi255 hana em-biiKwani Nyamwijaku mwenyewe anasemaje isijekua anaionea aibu Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo Nyamwi255 hana em-biiKwani Nyamwijaku mwenyewe anasemaje isijekua anaionea aibu Mkuu.
Uburu ni nini mkuuAu uburu ushaanza kutoweka maana ndoa zina mambo mengi.
Ya bonge nyanya mwenye pesaHaya sasa ndio mapenzi ya dhati.
😂 kama wewe ndio ndugu anaemzungumzia kapeace kuwa hupendi pesa hapana, nakataa.🤣🤣🤣🤣
Unataka kusemaje?
Kwani humu ndani si tuna didy ahahahahaJustin hajakoma tu kwenda party, ngoja amuone Didy hapo
Uhuru*I
Uburu ni nini mkuu
Yakiambatana na pesa🤣Ya bonge nyanya mwenye pesa
🤣🤣🤣🤣 Sasa mbona unanihujumu kabla sijatajwa!!😂 kama wewe ndio ndugu anaemzungumzia kapeace kuwa hupendi pesa hapana, nakataa.
Bilion 26 ni zaidi ya zile 20 wanazogombana kila siku Kigwangala na Mo pale Umbumbumbuni.hiyo hela ni nyingi sana hiyo 26b anayolipwa justin bieber ni nyingi mno.
Huyo tajiri pesa ipo asee.
Mpaka kesho hazijalipwa na bilionea yule 😅Bilion 26 ni zaidi ya zile 20 wanazogombana kila siku Kigwangala na Mo pale Umbumbumbuni.
Bado natafuta sababu kubwa ya ke na kupenda sana pesa, sijui kuna nini.Yaliambatana na pesa🤣
Nmetoa angalizo kabla ili asijekujichanganya 😅🤣🤣🤣🤣 Sasa mbona unanihujumu kabla sijatajwa!!
Malizia na wazeeKwa mwili huo..
Jamaa ataliwa sna shemeji yetu
🤣Watu wanazingatia maokoto, bwana harusi kakaa kizembe sana ila ndo hivyo pesa inaongea
🤣Kwenye huu uzi kuna watu wanadhani baba ndo mtoto kwa mujibu wa picha.
Pesa sabuni ya roho.Bado natafuta sababu kubwa ya ke na kupenda sana pesa, sijui kuna nini.
Aaah we! Mie hata sipendi pesa😂😂Nmetoa angalizo kabla ili asijekujichanganya 😅
Kama kweli vile 😂Pesa sabuni ya roho.
Aaah we! Mie hata sipendi pesa😂😂