Hii harusi ni zaidi ya kufuru, kuna watu wana pesa na wanajua kuzitumia

Hiyo pesa ni ndogo sana kwa mtu Tajiri kama yule, kwa uwiano ni sawa na mtu wa kipato cha kawaida kutumia milioni kumi kwenye harusi. Pia Huyo Mukesh ndie mmiliki wa nyumba ya kuishi yenye bei kuliko zote duniani usd 1 billion ( 2.5 trillions)
Ni USD 2 billions mzee
 
Bilionea lugano alikuwepo?
 
Hii ni kufuru!
 
Habari za tajiri muulize maskini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…