min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hatuna pesa tu ila tukizapata tutaoa tu😁😁Na nani wee team kataa ndoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna pesa tu ila tukizapata tutaoa tu😁😁Na nani wee team kataa ndoa?
Tupo wawili😂 hivi kuna ke asiehusudu pesa?
Hapo nimeelewa mkuu.
Tupo wawili😂 hivi kuna ke asiehusudu pesa?
Hapo nimeelewa mkuu.
Ebu pata basi hizo pesa alafu tuone tunafanyaje [emoji2][emoji2]Hatuna pesa tu ila tukizapata tutaoa tu[emoji16][emoji16]
Kwa uhakika kama wanakujua vile, punguza shoboNi bora kuamini huyo dada (Isha) anampenda mume wake kuliko kuamini huu uongo ulioandika.
Yani umeweza kufahamu hampendi kwa namna tu huyo dada anavyomwangalia mumewe?
Anand na Isha wamekuwa pamoja kwa muda mrefu na hakika watakuwa wanapendana.
Pia huyo dada is rich. Hapo huwezi sema amefuata pesa maana hata yeye anazo. She is the daughter of a billionaire.
Sema ndo mapenz banaKwa hali hii mwamba akipitia komenti za wadau huko duniani itamuathiri sana.
Ngoja nijitahidi hii nafasi sio ya kuchezea kabisa.Ebu pata basi hizo pesa alafu tuone tunafanyaje [emoji2][emoji2]
Kwamana Nyumba ya Ambani ni sawa na utajiri wa Mwamed wa Simba?Hiyo pesa ni ndogo sana kwa mtu Tajiri kama yule, kwa uwiano ni sawa na mtu wa kipato cha kawaida kutumia milioni kumi kwenye harusi. Pia Huyo Mukesh ndie mmiliki wa nyumba ya kuishi yenye bei kuliko zote duniani usd 1 billion ( 2.5 trillions)
Six packs ni umasikiniBaada ya Rihanna na Katy Perry na Pitbull, Justin Bieber alipwa shilingi bilioni 26.4($10 mil ) kutumbuiza katika shamrashamra za harusi ya mtoto wa tajiri namba moja India na bara la Asia kwa ujumla
Bieber tayari ametumbuiza tarehe 5 July hii katika sherehe hiyo ya ndugu wa familia za pande zote na marafiki kujumuika(sangeet), pia mastaa wa Bollywood, Salman Khan, Alia Bhatt na Ranveer sigh nao walitumbuiza.
Ndoa rasmi itafungwa tarehe 12 July hii kisha reception kufanyika tarehe 14 mwezi huu ambapo mabilionea, viongozi wa nchi mbalimali na mastaa wa bollywood wanatarajiwa kuhudhuria
Awali, mwezi March mwaka huu katika uzinduzi wa siku tatu wa sherehe za ndoa/harusi hiyo Rihanna alitumbuiza baada ya kulipwa mabilioni ya shilingi, wageni waalikwa walikuwa zaidi ya 1,000
Kisha mwezi May mwaka huu katika muendelezo wa siku nyingine tatu za kusherehekea harusi hiyo, wageni waalikwa wakiwemo mastaa wa Bollywood walisafirishwa kwa Yatch ya kifahari kutoka nchini Italy kwenda Ufaransa ambapo Katy Perry na Pitbull walitumbuiza mbele ya waalikwa
Pamoja na hayo familia hiyo ya kitajiri ilitenga sherehe maalum ya kulisha chakula watu zaidi ya 51,000 wa hali ya chini inapokea familia ya bilionea husika kiasili
KUHUSU BWANA HARUSI PICHANI
Ana miaka 29, ni mtoto wa mwisho wa bilionea namba moja bara la Asia. bwana harusi huyo ni mhitimu wa chuo kikuu cha Brown nchini Marekani, yupo kwenye bodi ya wakurugenzi katika makampuni mbalimbali ya baba yake, lakini pia bwana harusi huyo yeye mwenyewe tayari pia amewekeza biashara zake binafsi katika sekta ya nishati
KUHUSU BIBI HARUSI PICHANI
Ana miaka 29, ni mhitimu wa chuo kikuu cha New York, Marekani, ni dancer professional aliyefunzwa kwa miaka kadhaa katika sanaa za kihindi, ni mfanyabiashara lakini pia wazazi wake nao ni matajiri waliowekeza kwa kiasi kikubwa katika sekta ya afya. Bibi harusi huyo pia yupo kwenye bodi ya wakurugenzi katika kampuni zinazomilikiwa na wazazi wake
Maharusi hao watarajiwa wanafahamiana muda mrefu, Walichumbiana mwaka jana
Harusi hii itakula pesa nyingi ila pia mwaka 2018 bilionea husika katika harusi ya mwanae wa kike alipoolewa takribani dola milioni $100 zilitumika.
Baba wa bwanaharusi ni Mukesh Ambani ambaye ni bilionea namba moja India na Asia na kidunia anashika nafasi ya tisa kwa utajiri wa dola za Kimarekani billoni $116 alionao.
View attachment 3036850
Lakini uliwahi kusema mwaka fulani wewe hupendi gobole kama silaha ya kujilinda.Kashamzidi Ricky ross mbona utajiri unamsitiri tu
Jibu swali acha kuwa mwehu.Kwa uhakika kama wanakujua vile, punguza shobo
Tatizo sio gobole tatizo ni je inainuka na inakaa muda gani ikiinuka hapo ndo penye utata kwa kumtizama huyu hata inuka yake ni ya tabu sanaLakini uliwahi kusema mwaka fulani wewe hupendi gobole kama silaha ya kujilinda.
Unapenda zaidi Shotgun, hivyo mambo yasingekuwa mabaya Kwa huyo Rick Ross wa KiHindi 😜
Kwahiyo unataka kumtetea Mkuu?. Lengo la ndoa ni kuujulisha umma kuwa wawili hao wameamua kufanya ngono rasmi. Sasa kwanini tusiulizie uwezo wao?Huu ndiyo umebaki kuwa ''utajiri'' wa vijana wengi wa kitanzania. Porn zimewaharibu wengi akili.
Ana matatizo ya genes sijui hormone mama ake alielezea kwa interviewJudging from his pictures, kimoja chali 😂
Hujawahi jiuliza kwanini wanawake wengi wanapenda wanaume wasio na vitambi?. Misuli ya tumbo ina mchango mkubwa kwenye ufanyaji ngono kwa mwanaume.😅😂 dah wenye miili hiyo ndio kimoko chali?
Aisee,Ana matatizo ya genes sijui hormone mama ake alielezea kwa interview
Huyo jamaa ni mgonjwa sio unene wa kawaida
Hahahaha...................umefanya nikumbuke jambo fulani miaka Kenda iliyopita 😅Tatizo sio gobole tatizo ni je inainuka na inakaa muda gani ikiinuka hapo ndo penye utata kwa kumtizama huyu hata inuka yake ni ya tabu sana
Harusi kama series ya kikorea inatoka kwa episodesKwani hii harusi bado haijaisha?
#YNWA