Hii harusi ni zaidi ya kufuru, kuna watu wana pesa na wanajua kuzitumia

Hii harusi ni zaidi ya kufuru, kuna watu wana pesa na wanajua kuzitumia

Ndugu kwa ndugu au watu baki? Maana navyojua huwa wanaishi kifamilia.
Ndugu kwa ndugu sometimes watu baki ila watu baki case ni chache.

Kuna kisa kimoja Kariakoo miaka ya 2006 jamaa alikuwa anamchukua mume anaenda kumpigisha maji na tambuu bar wakiwa beer ya tatu au nne anamuaga anakuja safari kwa mkewe anaenda kumpiga nyama,jamaa alipojua ilibidi mzinzi arudishwe India maana jamaa alikuwa anamtafuta na pistol mkononi ammwage ubongo
 
Pesa tam wewe
😂 hivi kuna ke asiehusudu pesa?
Nyingi kwa masikini ila kwa mtu mwenye 116 usd billions, 10usd millions ni ka asilimia kadogo sana yani ni kama vile wewe uwe na utajiri wa 116tzs billions alafu umpe Diamond milioni kumi kuimba kwenye harusi
Hapo nimeelewa mkuu.
 
Saaana hata kwa picha unaona kabisa analazimisha kucheka ila hampendi jamaa
Ni bora kuamini huyo dada (Isha) anampenda mume wake kuliko kuamini huu uongo ulioandika.

Yani umeweza kufahamu hampendi kwa namna tu huyo dada anavyomwangalia mumewe?

Anand na Isha wamekuwa pamoja kwa muda mrefu na hakika watakuwa wanapendana.

Pia huyo dada is rich. Hapo huwezi sema amefuata pesa maana hata yeye anazo. She is the daughter of a billionaire.
 
Ndugu kwa ndugu sometimes watu baki ila watu baki case ni chache.

Kuna kisa kimoja Kariakoo miaka ya 2006 jamaa alikuwa anamchukua mume anaenda kumpigisha maji na tambuu bar wakiwa beer ya tatu au nne anamuaga anakuja safari kwa mkewe anaenda kumpiga nyama,jamaa alipojua ilibidi mzinzi arudishwe India maana jamaa alikuwa anamtafuta na pistol mkononi ammwage ubongo
Nikajua kwakuwa wanaishi kifamilia sana hayo hayawezi kutokea.
 
Kuna namna mtu ukijiachia mwili kuwa bongeee unaonekana mkubwa kuliko umri wako. Bwana harusi bila kuandikwa umri wake ningejua ni mtu mzima umri umesonga kumbe wala hata.
 
Back
Top Bottom