Unakuwa na kimashine chako mwenyewe cha kutuliza ashki akuuu huku ukielea kwenye mamilioni shida ganiKwanza unene wake haukeri, ngozi yake ni laini inaonekana tu
Tukilala nalalia nyama wakati huo Acc yangu inasoma utajiri
Hizo dhambi sasaUnakuwa na kimashine chako mwenyewe cha kutuliza ashki akuuu huku ukielea kwenye mamilioni shida gani
Ndo madhara ya kuwa na mtu aina hiyo huwezi kupata kote koteHizo dhambi sasa
Mimi nataka kwenda Mbinguni aisee
NdioNyamwi255 tarehe 13 ?
Hela nazitaka nitaenda hivyohivyo, weekend tunajitokea siku 1 ya kufanya na kupumzika sekunde 6 then tunapumzika muhimu tutafute watotoNdo madhara ya kuwa na mtu aina hiyo huwezi kupata kote kote
Kuacha huo utajiri kisa ubonge ni kosa kubwa heri ulilie kwenye ma yatch kuliko ulie kwenye mwendokasi aiseeπHela nazitaka nitaenda hivyohivyo, weekend tunajitokea siku 1 ya kufanya na kupumzika sekunde 6 then tunapumzika muhimu tutafute watoto
Hela yake siwezi kuiacha
Tumieni tendo kutafuta watoto tu.Judging from his pictures, kimoja chali π
Pesa sabuni ya Roho.Ndivyo yalivyo dada kafia kwa bonge lake.
πππUbonge nyanya wake nimeupenda upo very matured. π
Pesa haijawai kukosea mkuuPesa pesa pesa pesa ila pesa π
π ni pesa tu mnazizingatia. This gender πWeeew! Umeambiwa ni totoo ya bilionea, unauliza nini tena.π€£
Hii ni kufuru hiyo bajeti hata robo yake tu ingetosha sana kusaidia kaya masikini huko india, ngoja nisipangie matumizi hela za wengine.Watu wanatumia pesa zao kujifurahisha wenyewe unasema kufuru.
Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake.
Ngoja yule bwafulani aone kama hajabubujikwa na machozi.Hata mimi ningeenda
π dah hatariKuacha huo utajiri kisa ubonge ni kosa kubwa heri ulilie kwenye ma yatch kuliko ulie kwenye mwendokasi aiseeπ