Hii Imeenda: Aliyeua kwa upanga ameuawa kwa bunduki

Hivi tunajikutaga tunanya keki...kumbe magimbi...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hivi tunajikutaga tunanya keki...kumbe magimbi...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Kwa binti below 25yrs ni Haki yake kujishaua. Ndio usichana wenyewe huo.
Binti gani haringi bhana.
Ila kukuta limwanamke limeshazeeka alafu linaleta pigo za kisichana hapo lazima aone Mimi mtata
 
Kwa binti below 25yrs ni Haki yake kujishaua. Ndio usichana wenyewe huo.
Binti gani haringi bhana.
Ila kukuta limwanamke limeshazeeka alafu linaleta pigo za kisichana hapo lazima aone Mimi mtata
Huyo wa video ya chini ni wa below 25 kwa unavyodhani?? Mbona ka vile nyani mzee kabisa By the way, kuringa na kujishaua ndo kuongea maneno yasiyo na kichwa..hivi unaweza kunimudu..ndo nini labda??🌝🌝🌝
 
Laiti ningekuwa mzee wa totoz..Sema ndio hvyo kutojichanganya kunanikosesha ving
 
Huyo wa video ya chini ni wa below 25 kwa unavyodhani?? Mbona ka vile nyani mzee kabisa By the way, kuringa na kujishaua ndo kuongea maneno yasiyo na kichwa..hivi unaweza kunimudu..ndo nini labda??🌝🌝🌝

Kamuona hiyo jamaa anastahili kukuambia hivyo. Wadada wanajibu MTU kulingana na wanavyomuona.
Hapo jamaa anatakiwa ajipange zaidi kama ni pesa akatafute au ajipe wadhifa.

Wanawake wanadharau Sana. Tena sana
 
Kuna Mmoja huku job, kanajionaga kakali sana ,maana washikaji wanakashobokea.

Juzi kwenye kupiga Stori nikawa nakachana makavu na mwisho nikakaonyesha picha ya Mke wangu na watoto wangu.


Kakaufyata Mara ohoooo hizo picha umegugo ,Mara ohoooo vile 🀣🀣🀣

Nikakaziaa point, wee huna Kila kitu nachokitaka Kwa mwanamke.hunaaaaaaa!!.

Sahizi kenyewe ndo kanajitongozesha.



Wanawake wanataka wewe uwatake, UKIWADHARAU, WAO NDIO WATAKUTAKA WEWE
 
Hii ni kweli kabisa.

Wanaume wanatakiwa kuwa na mikausho mikali mpaka wajishtukie ila kila muda kuwashobokea ,waoana wao ndo kila kitu.
 
Hunq unalolijua kuhusu tabia na hulka za watu....na nyie ndo mnaongoza kwa kujiua kwa kujifanya mnaonyesha uanaume wenye msimamo kumbe mna mioyo laini za kidada....hapa ni tit 4 tat...hamna muda wa kubembelezana na mwanamke et kisa nitaonekana mwanamke.......mambo yamebadilika....sasa hiv ma feminists ndo wamejazwa ujinga kwa hyo ni kwenda nao sawa tu
 
Mentality za kizamani hizo...mchane live Kila mtu amind bizz zake....kwa hyo yeye ajione yuko sahihi kwa kutoa vipaumbele vya mwanamke anaemtaka...ila Mimi nikizitoa zangu iwe kosa...wake up man...Dunia unakimbila zaid ya supersonic speed..
Kabisa ni kuwa real
 
Hiyo ni inferiority complex ya wanaume wa zamani na wa sasa kama wewe.

Unakosaje mawindo? Yaani wanawake wote hawa ukose uanze kuwatafuta wale ambao walikushusha hadhi ?

Upuuzi wa namna gani huu umeandika kijana, yaani uruhusu kutukanwa tu kwa sababu zako hizo?

Kwenye hizo clip zote sijaona kosa la hao jamaa, wote wametulia wamesubiri dem amalize na wao waongee na walipoongea hawajaongeza neno wamewaacha wao wabwabwaje kama kawaida yao, ndivyo wanaume tulivyo na sio kukaa kimya kama likondoo, yani hata kujitetea ushindwe eti kisa utajakosa mbunye halafu uitake mbunye ya aliekutukana!!! Rubish.

Nyie ndo wale kuchapiwa ni siri ya ndani eeeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…