Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Nizoee mm mtu.wa masihala.sana mzee kiparaHahaahah hata sikumbuki ilikuwaje lakin sikuwa nmepaka mafuta mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nizoee mm mtu.wa masihala.sana mzee kiparaHahaahah hata sikumbuki ilikuwaje lakin sikuwa nmepaka mafuta mkuu
ila we jamaa dah 🤣🤣🤣🤣🙌Aahahahhah utashikwa uchawi haya
Jitahidi usicheke.sana.sawa fanya ucheke.baadae sawaila we jamaa dah 🤣🤣🤣🤣🙌
Kwakweli ngoja nitulie nitacheka baadae 😌🤐Jitahidi usicheke.sana.sawa fanya ucheke.baadae sawa
Kuna mtu mmoja aliniambia huenda kuna watu wamepiga pini harakati zangu kwa namna ya nguvu za giza ila mzazi wangu ananiambia nisiamini sana hizo kauliYa duniani ni mengi mno
Tatizo lako unawaambiaga watu mipango yako...mipango ni siriNimekuwa kwenye hali nisiyoielewa kwa muda mrefu sasa. Yaani kila jambo nilifanyalo likikaribia kufanikiwa linaharibika. Yaani naweza nikapata ramani ya pesa ila ikifikia hatua ya mwisho kuipata dili linaharibika katika hali isiyoeleweka na hata nilipofikia hatua ya kutumia msemo wa kimfaacho mtu chake kwa kutaka kuuza baadhi ya vitu ninavyomiliki hali inakuwa hivyo mteja akipatikana dakika ya mwisho anaingia mitini. Kukopa nako unapata uhakika wa mkopo ikifikia hatua ya mwisho mambo yanabadilika. Waungwana naomba msaada wenu wa mawazo nijue wapi nakosea maana imefikia hata kodi ya pango najikuta napitisha na nikipata pesa ni kupunguza deni sio kumaliza.
Ni kweli usiamini...ni wakati bado tuKuna mtu mmoja aliniambia huenda kuna watu wamepiga pini harakati zangu kwa namna ya nguvu za giza ila mzazi wangu ananiambia nisiamini sana hizo kauli
Hili nimeanza kulizingatia mkuu...ni kweli nilikuwa nawaamini baadhi ya watu na kuwapa baadhi ya mipango ya mambo niliyokusudia kufanya nikiamini vijana wenzangu hawawezi kuwa na roho hizo ila kuna mtu amenisanua kuwa huenda hao niliowahi kuwashirikisha mambo yangu wanaweza kuhusika kwa namna moja au nyingineTatizo lako unawaambiaga watu mipango yako...mipango ni siri
Nitazingatia ushauri mkuu..ahsanteKaulize kwenu...labda kuna viapo na ushirikina....
Piga maombi ya usiku Sana saanane na saatisa then ulete mrejesho usiamini kuhusu uchawi uchawi haufanyi KaziNitazingatia ushauri mkuu..ahsante
Nashukuru kwa ushauri mkuuPiga maombi ya usiku Sana saanane na saatisa then ulete mrejesho usiamini kuhusu uchawi uchawi haufanyi Kazi
Kwakweli ngoja nitulie nitacheka baadae 😌🤐
Maisha yanahitaji Nguvu za kiroho amka usiku piga dua saanane kaa mbali na ngono piga Kazi subiri majibu kuwa postiveNashukuru kwa ushauri mkuu
Unadhani nilivua hata😃😃😃,, me nilipita navyo tu hivihivi hadi ndani 😌Sawa.vizuri Linda viatu vyako watu msiban wanakuja bila viatu cha ajabu wanarudi na p3
Sometymz napata fungu linalotosha kukamilisha mambo mengi sana ila cha ajabu itatokea ishu ya kuharibu baadhi ya mambo yasitekelezekePole sana hiyo Hali inataka kufanana na mm tofauti ni Kwamba mm Huwa dilinzangi Zina tiki kabisa, ila baada ya muda furani mambo Huwa yanaharibika vibaya mno, yaani Huwa inatokea msara mkubwa na kujikuta kile nilichokipata hukitumia Kwa ajili ya kutatua tatizo. Pole sana
Mkuu kwani picha ikoje?? Mie nilipiga tu kawaida nakumbuka ilikuwa 2016 na ndivyo nilikuwaUnadhani nilivua hata[emoji2][emoji2][emoji2],, me nilipita navyo tu hivihivi hadi ndani [emoji18]