Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
VzrUnadhani nilivua hata😃😃😃,, me nilipita navyo tu hivihivi hadi ndani 😌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VzrUnadhani nilivua hata😃😃😃,, me nilipita navyo tu hivihivi hadi ndani 😌
hamna mkuu hatuko serious...ila inaonekana tu ulipaka mafuta mdomoni au sijui ulitoka kula😊😊Mkuu kwani picha ikoje?? Mie nilipiga tu kawaida nakumbuka ilikuwa 2016 na ndivyo nilikuwa
[emoji2][emoji2][emoji2] imebidi niangalie picha za kipindi hicho kujiridhisha lakn zote zilikuwa hivyohamna mkuu hatuko serious...ila inaonekana tu ulipaka mafuta mdomoni au sijui ulitoka kula[emoji4][emoji4]
Iko poa tu,, sema tu huyo kijana napendaga tu kunifurahisha[emoji2][emoji2][emoji2] imebidi niangalie picha za kipindi hicho kujiridhisha lakn zote zilikuwa hivyo
Elezea vizur hii vijana wajue kuwa mambo ya rohoni yamebeba kila kitu kifanyikacho mwilini. Elezea kwa kuhusianisha mambo ya rohoni na mafanikioMkuu Jaribu kuamka usiku saa nane ufanye Tahajudi hiyo ndo dawa pia jitenge na ngono na uchafu
Binafsi Mimi napotafta Jambo nikalikosa natumia Nguvu za kiroho hasa kuamka saa nane Usiku na kupiga meditation hapo nikimaliza mara nyingi nafanikiwa pia ngono zinaua bahati na future
Uchawi Hadi kwenye bible umetajwa so sio wa kupuuzwaPiga maombi ya usiku Sana saanane na saatisa then ulete mrejesho usiamini kuhusu uchawi uchawi haufanyi Kazi
Ndoto unazoota huwa zikoje boss..??Mzazi yupo mmoja (mama) huwa mara nyingi ananiambia ni ishu ya muda itapita tu lakini naona imekuwa kwa muda mrefu sasa. Kifupi yeye anaiona kama changamoto ya kawaida sana tofauti na uhalisia ninaoupitia mie
Utajua kua umepigwa pini umri umeshakutupa mkono..changamka..hapo issue it seems like ni nyotaKuna mtu mmoja aliniambia huenda kuna watu wamepiga pini harakati zangu kwa namna ya nguvu za giza ila mzazi wangu ananiambia nisiamini sana hizo kauli
Mara nyingi huonesha successNdoto unazoota huwa zikoje boss..??
Rudi katubu ibadaniNimekuwa kwenye hali nisiyoielewa kwa muda mrefu sasa. Yaani kila jambo nilifanyalo likikaribia kufanikiwa linaharibika.
Yaani naweza nikapata ramani ya pesa ila ikifikia hatua ya mwisho kuipata dili linaharibika katika hali isiyoeleweka na hata nilipofikia hatua ya kutumia msemo wa kimfaacho mtu chake kwa kutaka kuuza baadhi ya vitu ninavyomiliki hali inakuwa hivyo mteja akipatikana dakika ya mwisho anaingia mitini.
Kukopa nako unapata uhakika wa mkopo ikifikia hatua ya mwisho mambo yanabadilika. Waungwana naomba msaada wenu wa mawazo nijue wapi nakosea maana imefikia hata kodi ya pango najikuta napitisha na nikipata pesa ni kupunguza deni sio kumaliza.
Ndiyo mkuu hilo nalo kalitazama fanya nguvu za kiimani kuondoa mikosi, amini kuwa wanga wapo na huwa namna za kuwabomoa ni nguvu za kiimani.Kuna mtu mmoja aliniambia huenda kuna watu wamepiga pini harakati zangu kwa namna ya nguvu za giza ila mzazi wangu ananiambia nisiamini sana hizo kauli