Hii imekaaje? Kila nikikaribia kupata pesa mambo yanaharibika

Ya duniani ni mengi mno
Kuna mtu mmoja aliniambia huenda kuna watu wamepiga pini harakati zangu kwa namna ya nguvu za giza ila mzazi wangu ananiambia nisiamini sana hizo kauli
 
Tatizo lako unawaambiaga watu mipango yako...mipango ni siri
 
Kuna mtu mmoja aliniambia huenda kuna watu wamepiga pini harakati zangu kwa namna ya nguvu za giza ila mzazi wangu ananiambia nisiamini sana hizo kauli
Ni kweli usiamini...ni wakati bado tu
 
Tatizo lako unawaambiaga watu mipango yako...mipango ni siri
Hili nimeanza kulizingatia mkuu...ni kweli nilikuwa nawaamini baadhi ya watu na kuwapa baadhi ya mipango ya mambo niliyokusudia kufanya nikiamini vijana wenzangu hawawezi kuwa na roho hizo ila kuna mtu amenisanua kuwa huenda hao niliowahi kuwashirikisha mambo yangu wanaweza kuhusika kwa namna moja au nyingine
 
Pole sana hiyo Hali inataka kufanana na mm tofauti ni Kwamba mm Huwa dilinzangi Zina tiki kabisa, ila baada ya muda furani mambo Huwa yanaharibika vibaya mno, yaani Huwa inatokea msara mkubwa na kujikuta kile nilichokipata hukitumia Kwa ajili ya kutatua tatizo. Pole sana
 
Sometymz napata fungu linalotosha kukamilisha mambo mengi sana ila cha ajabu itatokea ishu ya kuharibu baadhi ya mambo yasitekelezeke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…