Hii imekaaje kisaikolojia ya mahusiano

Hii imekaaje kisaikolojia ya mahusiano

Mia saba

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
255
Reaction score
390
Kiuhalisia ni mtu muongeaji Sana Mimi mia saba. Ila ni mtu mkimya Sana na nikikuzoea hutoamini. Maana na jua kutengeneza story za kufurahisha nikiakikisha huboreki tukiwa pamoja.

Shida inakuja Huwa sidumu na mahusiano na mtu yoyote yule ya kiurafiki baada ya kujua ana vitabia flani flani kama kusema watu, mbinafsi, mchoyo mbaya zaidi nilijua unanisema na hivyo.

Imepelekea kuamini kuwa nikiwa pekeangu Mara nyingi ndio nikiona na kua katika mambo mengi nikitafakari zaidi na nikiingiliana na watu wengine.

Mda mwingine na choka kukaa na watu, imepelekea toka nimesajili laini 2013 hadi sasa haijawahi kuzidi watu 20 niliowasave kwa simu. Mara nyingi nikimfahamu mtu vizur nikaona anaviashilia vilevile nafuta kila kitu nilichonacho.

Nikiwa primary to secondary 7yr nilizoeana na watu 5 tu

Secondary hawazid 5

Advance hawazid 6

University ndipo nilijikuta naanza kujuta kufahamiana na watu, maana niliona katika kufamihana na watu najipoteza mwenyewe. Unafki mwingi mno Kiufupi.
Na pia sijui kubembeleza uhusiano na mtu.
Na pia Huwa nazoena na mtu Mara moja tu. Nikikuondoa kwenye akili yangu huto kaa turudiane hata iweje.

Sasa najiuliza hili nitatizo au nishikilie huo msimamo niliozaliwa nikajikuta hivyo.

Naomba mtazamo wako.

Kabila mkurya

jinsia male
 
Write your reply...kama huwez kubembeleza tafuta wa kukubembeleza ww
 
Kiuhalisia ni mtu muongeaji Sana Mimi mia saba. Ila ni mtu mkimya Sana na nikikuzoea hutoamini. Maana na jua kutengeneza story za kufurahisha nikiakikisha huboreki tukiwa pamoja.

Shida inakuja Huwa sidumu na mahusiano na mtu yoyote yule ya kiurafiki baada ya kujua ana vitabia flani flani kama kusema watu, mbinafsi, mchoyo mbaya zaidi nilijua unanisema na hivyo.

Imepelekea kuamini kuwa nikiwa pekeangu Mara nyingi ndio nikiona na kua katika mambo mengi nikitafakari zaidi na nikiingiliana na watu wengine.

Mda mwingine na choka kukaa na watu, imepelekea toka nimesajili laini 2013 hadi sasa haijawahi kuzidi watu 20 niliowasave kwa simu. Mara nyingi nikimfahamu mtu vizur nikaona anaviashilia vilevile nafuta kila kitu nilichonacho.

Nikiwa primary to secondary 7yr nilizoeana na watu 5 tu

Secondary hawazid 5

Advance hawazid 6

University ndipo nilijikuta naanza kujuta kufahamiana na watu, maana niliona katika kufamihana na watu najipoteza mwenyewe. Unafki mwingi mno Kiufupi.
Na pia sijui kubembeleza uhusiano na mtu.
Na pia Huwa nazoena na mtu Mara moja tu. Nikikuondoa kwenye akili yangu huto kaa turudiane hata iweje.

Sasa najiuliza hili nitatizo au nishikilie huo msimamo niliozaliwa nikajikuta hivyo.

Naomba mtazamo wako.

Kabila mkurya

jinsia male
Kwenye kabila la wakurya Kuna characteristics zenu zipo ivyo.......
Tengeneza urafik na Mimi uone kama utanichukia.....
Mm Kuna mdada mkurya tuliwai date....B4 nilisomaga dating psychology....

Alinishangaaga sana eti Am 4 real ni wapekee sanaa....
 
Hii dunia ni yetu sote na Mungu alituumba kila mtu na tabia zake, ikiwa tutashindwa kuvumiliana na kuchukuliana tulivyo hakika duniani kutakuwa na msarakambo mkubwa.

Having said that, jitafakari Sana. Jaribu kukumbuka hata wewe una vitabia ambavyo pengine watu hawavipendi so kila anaejiona Ana tabia tofauti na wewe akisema aku delete na afute kila kitu chako utakuwa na Hali gani unahisi au unadhani unaweza kuishi duniani humu peke yako na mambo yako? It is obvious kuwa kwa namna fulani lazima unawategemea watu fulani.

Sikulaumu ila nakutahadhalisha ujitafakari ili ubadilike. Kuona wenzako Wana vitabia na kuwa delete always sio kitu unahitaji kuwa nacho.
 
Hata Mara ya kwanza nilikuwa na hii account kwa jina jingine. Aliyekuwa jamaa angu zamani akajua hilo jina nilivyomfahamu vizuri nikajua atanitangaza nikabadili jina la account to miasaba
ii dunia ni yetu sote na Mungu alituumba kila mtu na tabia zake, ikiwa tutashindwa kuvumiliana na kuchukuliana tulivyo hakika duniani kutakuwa na msarakambo mkubwa.
Having said that, jitafakari Sana. Jaribu kukumbuka hata wewe una vitabia ambavyo pengine watu hawavipendi so kila anaejiona Ana tabia tofauti na wewe akisema aku delete na afute kila kitu chako utakuwa na Hali gani unahisi au unadhani unaweza kuishi duniani humu peke yako na mambo yako? It is obvious kuwa kwa namna fulani lazima unawategemea watu fulani.

Sikulaumu ila nakutahadhalisha ujitafakari ili ubadilike. Kuona wenzako Wana vitabia na kuwa delete always sio kitu unahitaji kuwa nacho.
 
Unafaa kuwa member wa anti-social social club.
Tafuta psychologist anaweza kukupa mwanga zaidi.
 
Unafaa kuwa member wa anti-social social club.
Tafuta psychologist anaweza kukupa mwanga zaidi.
Ila kuna katabia nimekuwa nako toka nimekuwa na smart phones nakashangaa naweza kushare more ideas tukiwa mitandao na watu hata mia7 mada mbalimbali hatakama tunafaamiana ila physical sitaki kuzoeana na watu kabisa.
Nazidi kujifunza kupitia Mimi ni shida au nikawaida
 
Introvert tu,huna tatizo...jifunze zaidi kuhusu introverts na ishi na watu kutokana na namna ulivyo.Tafuta balance ya kila kitu,maisha yanahitaji hivyo...bila kujipoteza uhalisia wako.
 
Kama sio ubinafsi basi ni uoga moja kati ya vivyo viwili vinakusumbua Mkuu.

How come primary school ukawa na marafiki 5? sehemu ambayo ndio ulikuwa unaanza kukua. Mkuu kwani umewahi kutendewa ukatili wa kijinsia au wowote ule?.

Au Mkuu wewe ni goi goi a.k.a kishoiyaa, em tuma picha tukuone kwanza 😂😂

Joking usije ni block Mkuu
 
Kama sio ubinafsi basi ni uoga moja kati ya vivyo viwili vinakusumbua Mkuu.

How come primary school ukawa na marafiki 5? sehemu ambayo ndio ulikuwa unaanza kukua. Mkuu kwani umewahi kutendewa ukatili wa kijinsia au wowote ule?.

Au Mkuu wewe ni goi goi a.k.a kishoiyaa, em tuma picha tukuone kwanza 😂😂

Joking usije ni block Mkuu
😂😂😂
 
Na hao watano leo hii Sina mwenye namba yake hata mmoja.
Just a memory
Kama sio ubinafsi basi ni uoga moja kati ya vivyo viwili vinakusumbua Mkuu.

How come primary school ukawa na marafiki 5? sehemu ambayo ndio ulikuwa unaanza kukua. Mkuu kwani umewahi kutendewa ukatili wa kijinsia au wowote ule?.

Au Mkuu wewe ni goi goi a.k.a kishoiyaa, em tuma picha tukuone kwanza 😂😂

Joking usije ni block Mkuu
Hao
 
Na hao watano leo hii Sina mwenye namba yake hata mmoja.
Just a memory

Hao
Same here tupo wengi wa tabia hiyo nipo very selective kwenye circle yangu hivyo sio mbaya kuwa na marafiki wengi ni ubatili refer mhubiri kwenye bible
 
Hata mm mtaani sina rafiki hata mmoja dah chuo ndo kama wa 5 ila wengi wananifagilia kwa story zangu za kuchekesha (Yani mpk na shangaa kinachowachekesha nn maana mm naongea normal story na hii imeanza mda sana) ila sidumu na marafiki sababu ya umbea, uongo kujiona brand n.k
 
Hata mimi yaani huwezi nizoea mpaka mm ndio nikuzoee

Pili huwa naona kukaa pekee yang nagain kuliko kukaa na watu naona naloose sana

Tatu ni msiri balaa...na ninatabia za kupretend vitu ..au matukio ili nimsome opponent wang ubora wake
 
Back
Top Bottom