Hii imekaaje, kosa la mume polisi kumpiga mke ili aonyeshe mumewe alipo?

Hii imekaaje, kosa la mume polisi kumpiga mke ili aonyeshe mumewe alipo?

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
7,755
Reaction score
11,737
Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
 
Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
Ni kosa kisheria huwezi kutransfer criminal liability , hakuruhusiwa kumgusa huyo mama, wangemtafuta mtuhumiwa wao, huyo mama anaruhusiwa kumfungulia hata kesi ya udhalilishaji na kudai fidia
 
Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.

Kama ametoka Askari wa kike akampiga then hakuna la kulalamika; Mbona wanaume wanatiwa makofi kila siku? Si 50 kwa 50 au? Wanawake wanaweza? Wanaweza hata kupokea makofi!
 
Ni kosa kisheria huwezi kutransfer criminal liability , hakuruhusiwa kumgusa huyo mama, wangemtafuta mtuhumiwa wao, huyo mama anaruhusiwa kumfungulia hata kesi ya udhalilishaji na kudai fidia
Sawa mkuu yaani imeniuma kwa kweli,kajifungia ndani mama wa watu!wameondoka na mumewe wako sabasaba badala ya kituoni!
 
Kama ametoka Askari wa kike akampiga then hakuna la kulalamika; Mbona wanaume wanatiwa makofi kila siku? Si 50 kwa 50 au? Wanawake wanaweza? Wanaweza hata kupokea makofi!
Kwa hii akili yako iko siku polisi watakuja kukuchota mitama kwasababu ya kosa alilofanya mtoto wako.

Hivi vitendo ni vya kukemea na wahusika wachukuliwe hatua..... Huwezi kuta vitendo kama hivi kwenye any civilized state.
 
Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
Si jukumu la mke kuonesha mumewe alipo, kuwa mkewe haina maana kuwa anatakiwa amchunge mumewe.
Huyo mke aende kituo cha polisi aonane na kuu wa kituo akalalamike na ikiwezekana afungue jarada la shauri dhidi ya yule askari.
 
Back
Top Bottom