whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,161
- 2,454
Tatizo ni serikali ya ccm.....
Imeshindwa kabisa kuwapa wanachostahili
Imeshindwa kabisa kuwapa wanachostahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nimekuja hapa kwenu ili nipate pa kuanzia mkuu!Waliopewa dhamana ya kulinda na kusimamia haki za Raia na Mali zao ndio hao hao wanakiuka misingi..
Turudi kwako mtoa mada. Ulichukua hatua gani?
Sawa mkuu nitamfahamisha sasa hivi,halilali!Si jukumu la mke kuonesha mumewe alipo, kuwa mkewe haina maana kuwa anatakiwa amchunge mumewe.
Huyo mke aende kituo cha polisi aonane na kuu wa kituo akalalamike na ikiwezekana afungue jarada la shauri dhidi ya yule askari.
Labda ndio hicho wanachokiita kusaidia upelelezi.Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
Anasita kwa kuwa si jukumu lake kufuatilia muda wote mienendo ya mumewe.Kipi kilikuwa kinamfanya asite?
Je, mumewe anatuhumiwa kwa kosa gani?
Kumbe unajua kuwa Kuna dozi kule.Na Wewe wahi mirembe update dozi ya afya ya akili!
Wajinga hamtaisha Dunia, wazazi nao wanajisifu Wana mtoto!Kumbe unajua kuwa Kuna dozi kule.
Hongera kwa ushuhuda, Hakika Bado unaedaga kula Dawa.
Upone haraka Kamanda😂😂
Inauma sanain 2050, our grand kids will come to realise we were so barbaric and irresponsible to allow this to ever happen to our beautiful country.
Ni bahati mbaya sana, sasa kama wana uwezo hapo ni kosa kisheria na atafute wakili huyo polisi afunguliwe kesi ya kushambulia na kudhuru mwili...
Mke anahusikaje na uhuni wa mumewe... kaz ya polisi ni kumtafuta huyo mtuhumiwa.
Pengine labda waseme alimficha, lakini kupiga mke kwamba hataji mumewe yupo wap, ni kosa.
Lakini zaidi ni recruitment ya Polis wetu au zaid na training, kwani kumhoji mtu na kujua ukweli inahitaji nguvu kweli kwene dunia yasasa? Kweli?
Like, my name is xxx,
we are Police officers from xxx
Your spouse/Husband is accused of xxx,
we would like to have him for such accusations and we dont intend anything bad against him,
We tried to reach him but we couldn''t, and now we want your cooperation to ensure he submit himself to clear this matter asap..
It can be settled and we believe upon mutual agreement this can be resolved...
Kama ana mtoto anambeba kabisa...
Hivyo tu yani.
Sasa ubabe, hasira, nguvu.... maneno makali, vibao, nuksi... wapi na wapi? Mwisho wa siku mtu afe tuanze mapya... guys.... is this tough TO LEARN?
Na mke kosa lake?Mume ana kosa gani?
Ushahidi ni waliokuwepo na kuona na alama za Kofi!Katendewa kosa ila kwa kuwa ni bongoland, itaishia hapo, labda nae awe na connection na mkubwa.
Kama ana video camera, achukue ushahidi breki ya kwanza mahakamani
Labda kupitia mwanasheria ila akienda mwenyewe front hatoboi kwa utawala huu wa kambale.Ni kosa kisheria huwezi kutransfer criminal liability , hakuruhusiwa kumgusa huyo mama, wangemtafuta mtuhumiwa wao, huyo mama anaruhusiwa kumfungulia hata kesi ya udhalilishaji na kudai fidia
OfcourseLabda kupitia mwanasheria ila akienda mwenyewe front hatoboi kwa utawala huu wa kambale.
Sawa, ngoja tumfuate mwanasheria!Labda kupitia mwanasheria ila akienda mwenyewe front hatoboi kwa utawala huu wa kambale.
Madeleka ongeeni nae atawasaidia nina imaniSawa, ngoja tumfuate mwanasheria!
Mjinga ni wewe ulieshindwa kwenda kuzuia mkeo asilambwe makofi ukaja kutoa taarifa Jf.Wajinga hamtaisha Dunia, wazazi nao wanajisifu Wana mtoto!
Sawa mkuuMadeleka ongeeni nae atawasaidia nina imani
Hakuna mtu anatakiwa kuadhibiwa kwa kosa la mtu mwingine..!!! Labda mbwa wako akikosea utaadhibiwa wewe.Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.