To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
HakikaUbabe usio na tija!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaUbabe usio na tija!
Jawabu analijua ila wewe unayemuuliza mienendo ya mumewe kama nani kwake?MTu asiyejua jawabu huwa HASITI, jawabu lake huwa bayana kuwa hajui. Labda kama huelewi maana ya kitenzi 'kusita'.
Hili swali lako limenichekesha...Jawabu analijua ila wewe unayemuuliza mienendo ya mumewe kama nani kwake?
Kumficha mtuhumiwa au muhalifu ni kosa kisheria, Raia yoyote yule anatakiwa atowe ushirikiano kwa vyombo vyetu vya kisheria, hata police wapo kisheria, bora kapewa kofi as worning kuliko angefunguliwa kesi ya kuficha muhalifu, na kuficha muhalifu inaonekana na wwe unafaidika na uhalifu huo!!Kisheria ni kosa, sema kwa kua sisi ni banana Republic ndo hivyo tena!
Sio kweli.Kumficha mtuhumiwa au muhalifu ni kosa kisheria, Raia yoyote yule anatakiwa atowe ushirikiano kwa vyombo vyetu vya kisheria, hata police wapo kisheria, bora kapewa kofi as worning kuliko angefunguliwa kesi ya kuficha muhalifu, na kuficha muhalifu inaonekana na wwe unafaidika na uhalifu huo!!
Nitajuaje kuwa wewe ni mhalifu kabla ya kuambiwa wewe ni mhalifu! Yaani nikiulizwa na askari wewe uko wapi basi nijue wewe ni mhalifu! Haiwezekani.Kumficha mtuhumiwa au muhalifu ni kosa kisheria, Raia yoyote yule anatakiwa atowe ushirikiano kwa vyombo vyetu vya kisheria, hata police wapo kisheria, bora kapewa kofi as worning kuliko angefunguliwa kesi ya kuficha muhalifu, na kuficha muhalifu inaonekana na wwe unafaidika na uhalifu huo!!
NduliHabari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
yani polisi wetu hawana uelewa wowote wa sheria kwa sababu wengi ni failure na wamefika hapo kwa sababu mjomba baba mdogo au baba naye ni askari.Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
Yaani hawakutakiwa kumpiga hata kama angekataa, haijalishi mume ana kosa gani.Kipi kilikuwa kinamfanya asite?
Je, mumewe anatuhumiwa kwa kosa gani?
Kweli kabisaHaiwezekani kumfungulia mashtaka yeye kama yeye si jeshi la polisi? Naona kama Wakianza kupata usumbufu wa kwenda kwenye kesi watapunguza kichaa.
Kwanini asisite wakati watu wanapotezwa kwa staili hiiKipi kilikuwa kinamfanya asite?
Je, mumewe anatuhumiwa kwa kosa gani?
Yaani ni kupeana stress!Yaani hawakutakiwa kumpiga hata kama angekataa, haijalishi mume ana kosa gani.
Kwa bahati mbaya huondio ukweli. Geshi limejaa 85% ya wajinga, wavuta bangi, wahuni.yani polisi wetu hawana uelewa wowote wa sheria kwa sababu wengi ni failure na wamefika hapo kwa sababu mjomba baba mdogo au baba naye ni askari.
Hayo Yako!Kumficha mtuhumiwa au muhalifu ni kosa kisheria, Raia yoyote yule anatakiwa atowe ushirikiano kwa vyombo vyetu vya kisheria, hata police wapo kisheria, bora kapewa kofi as worning kuliko angefunguliwa kesi ya kuficha muhalifu, na kuficha muhalifu inaonekana na wwe unafaidika na uhalifu huo!!
We umejuaje kama hao ni polisi?Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
ni ukimani jamhuri ya nyikaniKwakuwa tuko Tanzania, bc ni sawa.
Polisi alikuwa sahihi.Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
Tuliwahoji wakatoa vitambulisho,hapo je una Swali?We umejuaje kama hao ni polisi?