Hii imekaaje, kosa la mume polisi kumpiga mke ili aonyeshe mumewe alipo?

Hii imekaaje, kosa la mume polisi kumpiga mke ili aonyeshe mumewe alipo?

Kisheria ni kosa, sema kwa kua sisi ni banana Republic ndo hivyo tena!
Kumficha mtuhumiwa au muhalifu ni kosa kisheria, Raia yoyote yule anatakiwa atowe ushirikiano kwa vyombo vyetu vya kisheria, hata police wapo kisheria, bora kapewa kofi as worning kuliko angefunguliwa kesi ya kuficha muhalifu, na kuficha muhalifu inaonekana na wwe unafaidika na uhalifu huo!!
 
Kumficha mtuhumiwa au muhalifu ni kosa kisheria, Raia yoyote yule anatakiwa atowe ushirikiano kwa vyombo vyetu vya kisheria, hata police wapo kisheria, bora kapewa kofi as worning kuliko angefunguliwa kesi ya kuficha muhalifu, na kuficha muhalifu inaonekana na wwe unafaidika na uhalifu huo!!
Sio kweli.
 
Kumficha mtuhumiwa au muhalifu ni kosa kisheria, Raia yoyote yule anatakiwa atowe ushirikiano kwa vyombo vyetu vya kisheria, hata police wapo kisheria, bora kapewa kofi as worning kuliko angefunguliwa kesi ya kuficha muhalifu, na kuficha muhalifu inaonekana na wwe unafaidika na uhalifu huo!!
Nitajuaje kuwa wewe ni mhalifu kabla ya kuambiwa wewe ni mhalifu! Yaani nikiulizwa na askari wewe uko wapi basi nijue wewe ni mhalifu! Haiwezekani.
 
Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
Nduli
 
Haiwezekani kumfungulia mashtaka yeye kama yeye si jeshi la polisi? Naona kama Wakianza kupata usumbufu wa kwenda kwenye kesi watapunguza kichaa.
 
Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
yani polisi wetu hawana uelewa wowote wa sheria kwa sababu wengi ni failure na wamefika hapo kwa sababu mjomba baba mdogo au baba naye ni askari.
 
Kumficha mtuhumiwa au muhalifu ni kosa kisheria, Raia yoyote yule anatakiwa atowe ushirikiano kwa vyombo vyetu vya kisheria, hata police wapo kisheria, bora kapewa kofi as worning kuliko angefunguliwa kesi ya kuficha muhalifu, na kuficha muhalifu inaonekana na wwe unafaidika na uhalifu huo!!
Hayo Yako!
 
Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
We umejuaje kama hao ni polisi?
 
Habari wanajamii,imetokea Leo polisi,wakiwa kwenye gari Binafsi,wamekuja kwa jamaa bila balozi wa mtaa na kugonga geti na kumkuta mke awaonyeshe alipo mumewe .Cha kushangaza mwanamke akawa kama anasita kueleza alipo mumewe, Askari wa kike akatoka kwenye gari na kumnasa makofi huyo mke wa jamaa!Na kumtishia kumpeleka kituoni,Ni hapa Kisasa_Dodoma.
Polisi alikuwa sahihi.
Kujaribu kuuficha ukweli wakati unajua kila kitu ni kosa.
Yaani unajaribu kuzuia upelelezi.
Naamini baada ya kumshikisha adabu mke ,mumewe alipatikana!
 
Back
Top Bottom