version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
Lakini income yangu kwa mwezi ni zaidi ya wewe unaetumikishwaUna Sumsung unaendesha boda, yaani hata Paso huna [emoji12][emoji12][emoji12]
Una uhakika tunakuwa na access na vitu vinavyofanana?Unakuna pale unapoweza.
Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.
Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.
1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.
Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.
Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.
Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?
From northern part of Tanzania.
Unaenjoy digital gani na tecno mzee.Div four anasoma mpaka anapata Phd.
Endeleeni kukazana kudiss simu zetu pendwa wakati sisi tukiendelea kuenjoy digital life.
Mwambie akutafutie tecno iliyotengenezwa kwa ajili ya kuuzwa soko la china.Mkuu jifunze kwa wazungu..
Wale jamaa awapendi vitu under quality
Simu tajwa hapo juu zina vingi vya kujifunza kutoka kwa Simu za mzungu..
Na kwa kuanzia tu hizo simu tajwa hazitumiki huko zinakotengezwa.
Just imagine mtu anapika vitumbua af yeye mwenyew hatak watoto wake wale ila anawauzia wengine..
Hakuna unachojua kuhusu simu.Mnaodiss Tecno hamna hoja ya msingi zaidi ya kashfa na dharau.
Tecno hazitumiki china.Hizi simu ni under quality kwa tafiti za nani? Na nani alikwambia hazitumiki zinapotoka? Narudia tena mnao diss hizi simu hamna hoja za msingi zaidi ya kashfa na dharau.
BrandingUnakuna pale unapoweza.
Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.
Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.
1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.
Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.
Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.
Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?
From northern part of Tanzania.
Lete simu ya tecno halafu tuitafutie hata samsung ya kuifananishia.Usifananishe gari na simu afu Kuwa serious mkuu hivi vitu hatuangalii majina bali specifications. Unapoongelea bmw tafuta na gari ya Toyota inayoendana sifa na aina ya bmw weka ushabiki pembeni.
Tecno ninayotumia ina miaka 10 hivi sasa!Vitu unavyovizungumzia ni basic zaidi ila kama una matumizi zaidi ya smartphone kama Gesture control unapoitumia simu, Accelerometer sensor mfano kama Wewe ni mtu wa mazoezi na kujali afya yako, Geo-magnetic , Gyroscope,
Proximity, Barometer, Hall Sensor, UV, Heart Rate Monitoring, SpO2 ..vitu hivi Huawezi kupata kwenye smartphone unazozungumzia...me natumia Samsung note 4 ni Simu ya muda sana lakini inanisaidi kujua blood pressure yangu, kwa siku nimefanya mazoezi kiasi gani nimepumzika kiasi gani, in short inanisaidia kumonitor my health in general, ni mwaka wa 5 Sasa ninayo natumaini tecno zingekuwa zaidi ya 4 zimekufa.
Haelewi Kunguni huyoTofauti ipo hizo simu ulizotaja zinapata sana moto, baada ya muda fulan huwa zinasumbua network na pili Zina great effect kwenye Radiation
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Yes we umeongea....Tecno, itel na infinix ni simu ila za kiwango cha chini.
Lazima tukubaliane kwamba kwenye maisha kuna viwango ama levels, hizi zinatokana na vitu vingi mojawapo ni ubora.
Mfano, unaweza kupanda toyo la miguu 3 kutoka Dar kwenda Dodoma, utafika tu sawa na Shabiby ingawa mtatofautiana muda wa kufika. Barabara mnapita moja ile ile lakini tofauti ya yoto ama guta na Shabiby iko wazi.
Wewe unaweza kua na paso mwingine ana range rover sports mnaenda Arusha kutokea Dar, yote ni magari na mtafika wote Arusha kwa nyakati tofauti lakini kuna vitu kama speed, comfortability, security, safety nk ndio vitatofautisha paso na range.
Kwenye simu iko hivyo hivyo. Tecno ni simu ila za viwango vya chini, choka mbaya. Vifaa vinavyotumika kutengeneza tecno ni vya ubora hafifu ama wa chini.
Tecno tunatumia tu kwa sababu ya umasikini ila tukiwa na hela tungetamani kutumia simu za maana kama Samsung, Iphone, Huawei, Vivo, Xiaomi, LG, Lenovo ama makampuni mengine ya maana.
Tecno hazitumiki china kabisa.Tecno n mdhamin wa Man City , kama hazitumik huko kwann wakadhamin club ya huko?
Tecno
Itel
Infinix
Ni upuuzi kama upuuzi mwingine ni sawa na
Div. IV point 28
Div. IV point 32
Div. IV point 34
Ni kuzidiana katika kufeli tu
Tena bora ungebaki kuuliza tu.. hapo ulipojifanya kueleza eti kama kiutaalamu ndipo ulipoonyesha USHAMBA zaidi ukiwakilisha hao wenzako wa tekno na itel.Unakuna pale unapoweza.
Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.
Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.
1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.
Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.
Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.
Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?
From northern part of Tanzania.
Taja simu ya tecno yoyote tukuoneshe jinsi ilivyo ya class ya chini ukilinganisha na simu zingine.Ubora au uwezo wa simu unapimwa kwa specifications sio mtazamo wako
Porojo nyingi
HawajuiMnakuwa na access ya vitu vinavyofanana lakini watu wa tecno pamoja na intel wana-access vitu hivyo kwa jasho la damu[emoji16][emoji16][emoji16]
Kweli we ni mgeniMzigo mzito wa tani ngapi? Na high quality pure HD ndo ipoje? Yawezekana mi mgeni kwenye ulimwengu wa teknolojia viwango vya SAR ndoa vinakuwaje?
Ni ujinga kuwa na Passo halafu ukaanza kujiona upo sawa na mtu mwenye BMW.Kwa tafsiri hiyo ukiwa unamiliki bmw unakuwa na kibali cha kumdharau anayemiliki Passo kuna wakati tujifunze kuappreciate vitu vya watu.
Kuna mataasisi yenye wataalamu yanasimamia standard ya hivi vitu ukiona bidhaa imeingia sokoni ni wazi kuwa imekidhi viwango vilivyowekwa.
Sasa wewe unayejifanya mjuaji na akili zako za darasa la saba b unakomaa kuwa Tecno sio simu ilihali hata basics za kutengeneza calculator huzijui.
Tecno ni takataka.Umemaliza. Mtu anamiliki simu ya gharama ukimuuliza ina impact gani kwenye maisha yake anabaki kusema Tecno inapata joto.
SafiMimi natumia samsung sasa kuna kipindi simu yangu ilianguka hadi chini wakati naendesha boda yangu na ikapasuka kioo na mimi sikuwa vizuri mfukoni ikabidi niiweke pending nichukue tecno ya wife kwakuwa naendesha kwa kutumia bolt ili niiendelee kuwa online wakati najipanga kuirekebisha simu yangu.Sasa basi naweza nikawasha data ya bolt ili nipate request nashangaa mbona nakaa sana sipati request kumbe simu inajizima data yenyewe nakuwa offline pasipo kujua so ikabidi nimrudishie wife simu yake nkarekebisha ya kwangu hadi sasa sijapata hiyo changamoto kama niliyopata toka tecno