Hii imekaaje kudharau watumiaji wa simu za Tecno na Itel ilihali wote mnakuwa na access ya vitu vinavyofanana

Hii imekaaje kudharau watumiaji wa simu za Tecno na Itel ilihali wote mnakuwa na access ya vitu vinavyofanana

Vitu unavyovizungumzia ni basic zaidi ila kama una matumizi zaidi ya smartphone kama Gesture control unapoitumia simu, Accelerometer sensor mfano kama Wewe ni mtu wa mazoezi na kujali afya yako, Geo-magnetic , Gyroscope,
Proximity, Barometer, Hall Sensor, UV, Heart Rate Monitoring, SpO2 ..vitu hivi Huawezi kupata kwenye smartphone unazozungumzia...me natumia Samsung note 4 ni Simu ya muda sana lakini inanisaidi kujua blood pressure yangu, kwa siku nimefanya mazoezi kiasi gani nimepumzika kiasi gani, in short inanisaidia kumonitor my health in general, ni mwaka wa 5 Sasa ninayo natumaini tecno zingekuwa zaidi ya 4 zimekufa.
 
Unakuna pale unapoweza.

Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.

Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.

1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.

Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.

Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.

Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?

From northern part of Tanzania.
Una uhakika tunakuwa na access na vitu vinavyofanana?
 
Div four anasoma mpaka anapata Phd.

Endeleeni kukazana kudiss simu zetu pendwa wakati sisi tukiendelea kuenjoy digital life.
Unaenjoy digital gani na tecno mzee.

Hivi wewe unadhani wewe na tecno yako ambayo 4g yake ipo cat6 utakuwa on the same level na mtu kwenye samsung ambayo ipo Cat21 kwenye kupush mtandao?

Nishakaa na watu tunatumia mtandao mmoja wao wanalalamika network wakati me natumbua...

In short ukiongelea tecno and the likes acha kuongelea mambo ya quality.
 
Mkuu jifunze kwa wazungu..
Wale jamaa awapendi vitu under quality
Simu tajwa hapo juu zina vingi vya kujifunza kutoka kwa Simu za mzungu..
Na kwa kuanzia tu hizo simu tajwa hazitumiki huko zinakotengezwa.

Just imagine mtu anapika vitumbua af yeye mwenyew hatak watoto wake wale ila anawauzia wengine..
Mwambie akutafutie tecno iliyotengenezwa kwa ajili ya kuuzwa soko la china.

Maana simu zote za china wanatengeneza makundi mawili yaani kundi la kwanza ni soko la global na la pili ni kwa soko la china.

Ila tecno and the likes hawatengenezi kwa makundi mawili.
 
Hizi simu ni under quality kwa tafiti za nani? Na nani alikwambia hazitumiki zinapotoka? Narudia tena mnao diss hizi simu hamna hoja za msingi zaidi ya kashfa na dharau.
Tecno hazitumiki china.

Unataka ushahidi gani?

Simu za zilizotengenezwa kwa ajili ya soko la china zinafahamika. Hata ukiitumia tu utajua. Ila katika simu hizo tecno haipo.
 
Unakuna pale unapoweza.

Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.

Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.

1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.

Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.

Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.

Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?

From northern part of Tanzania.
Branding
 
Usifananishe gari na simu afu Kuwa serious mkuu hivi vitu hatuangalii majina bali specifications. Unapoongelea bmw tafuta na gari ya Toyota inayoendana sifa na aina ya bmw weka ushabiki pembeni.
Lete simu ya tecno halafu tuitafutie hata samsung ya kuifananishia.
 
Vitu unavyovizungumzia ni basic zaidi ila kama una matumizi zaidi ya smartphone kama Gesture control unapoitumia simu, Accelerometer sensor mfano kama Wewe ni mtu wa mazoezi na kujali afya yako, Geo-magnetic , Gyroscope,
Proximity, Barometer, Hall Sensor, UV, Heart Rate Monitoring, SpO2 ..vitu hivi Huawezi kupata kwenye smartphone unazozungumzia...me natumia Samsung note 4 ni Simu ya muda sana lakini inanisaidi kujua blood pressure yangu, kwa siku nimefanya mazoezi kiasi gani nimepumzika kiasi gani, in short inanisaidia kumonitor my health in general, ni mwaka wa 5 Sasa ninayo natumaini tecno zingekuwa zaidi ya 4 zimekufa.
Tecno ninayotumia ina miaka 10 hivi sasa!
 
Tecno, itel na infinix ni simu ila za kiwango cha chini.

Lazima tukubaliane kwamba kwenye maisha kuna viwango ama levels, hizi zinatokana na vitu vingi mojawapo ni ubora.

Mfano, unaweza kupanda toyo la miguu 3 kutoka Dar kwenda Dodoma, utafika tu sawa na Shabiby ingawa mtatofautiana muda wa kufika. Barabara mnapita moja ile ile lakini tofauti ya yoto ama guta na Shabiby iko wazi.

Wewe unaweza kua na paso mwingine ana range rover sports mnaenda Arusha kutokea Dar, yote ni magari na mtafika wote Arusha kwa nyakati tofauti lakini kuna vitu kama speed, comfortability, security, safety nk ndio vitatofautisha paso na range.

Kwenye simu iko hivyo hivyo. Tecno ni simu ila za viwango vya chini, choka mbaya. Vifaa vinavyotumika kutengeneza tecno ni vya ubora hafifu ama wa chini.

Tecno tunatumia tu kwa sababu ya umasikini ila tukiwa na hela tungetamani kutumia simu za maana kama Samsung, Iphone, Huawei, Vivo, Xiaomi, LG, Lenovo ama makampuni mengine ya maana.
Yes we umeongea....
 
Tecno n mdhamin wa Man City , kama hazitumik huko kwann wakadhamin club ya huko?
Tecno hazitumiki china kabisa.

Man city wanachohitaji ni hela tu nothing more.

Lete Market share ya tecno ulaya au China kwenyewe. Kinyume cha hapo hakuna kitu unajua.
 
Tecno
Itel
Infinix

Ni upuuzi kama upuuzi mwingine ni sawa na
Div. IV point 28
Div. IV point 32
Div. IV point 34

Ni kuzidiana katika kufeli tu
Unakuna pale unapoweza.

Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.

Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.

1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.

Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.

Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.

Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?

From northern part of Tanzania.
Tena bora ungebaki kuuliza tu.. hapo ulipojifanya kueleza eti kama kiutaalamu ndipo ulipoonyesha USHAMBA zaidi ukiwakilisha hao wenzako wa tekno na itel.
 
Ubora au uwezo wa simu unapimwa kwa specifications sio mtazamo wako

Porojo nyingi
Taja simu ya tecno yoyote tukuoneshe jinsi ilivyo ya class ya chini ukilinganisha na simu zingine.
 
Kwa tafsiri hiyo ukiwa unamiliki bmw unakuwa na kibali cha kumdharau anayemiliki Passo kuna wakati tujifunze kuappreciate vitu vya watu.

Kuna mataasisi yenye wataalamu yanasimamia standard ya hivi vitu ukiona bidhaa imeingia sokoni ni wazi kuwa imekidhi viwango vilivyowekwa.

Sasa wewe unayejifanya mjuaji na akili zako za darasa la saba b unakomaa kuwa Tecno sio simu ilihali hata basics za kutengeneza calculator huzijui.
Ni ujinga kuwa na Passo halafu ukaanza kujiona upo sawa na mtu mwenye BMW.

Hapo ndio watu wa tecno and the likes mnapofeli.

Wewe kumiliki tecno siyo shida. Ila shida huja pale unapoanza kuona simu yako iko sawa na simu zingine kitu ambacho siyo kweli.
 
Mimi natumia samsung sasa kuna kipindi simu yangu ilianguka hadi chini wakati naendesha boda yangu na ikapasuka kioo na mimi sikuwa vizuri mfukoni ikabidi niiweke pending nichukue tecno ya wife kwakuwa naendesha kwa kutumia bolt ili niiendelee kuwa online wakati najipanga kuirekebisha simu yangu.Sasa basi naweza nikawasha data ya bolt ili nipate request nashangaa mbona nakaa sana sipati request kumbe simu inajizima data yenyewe nakuwa offline pasipo kujua so ikabidi nimrudishie wife simu yake nkarekebisha ya kwangu hadi sasa sijapata hiyo changamoto kama niliyopata toka tecno
Safi
 
Back
Top Bottom