kitonsa
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 1,211
- 2,649
Mkuu Ni kule ambapo Kuna Kijiji Cha garagaza?CCM wamejengewa kama hicho na hao hao wavimba macho kiko Kibaha kwa Mfipa off Morogoro road.. Yaani ni lami mpaka hapo chuoni mwendo wa kilometers 4 hivi na mataa ya solar