Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Samahanini wakuu kwa usumbufu.
Napenda kuuliza kwamba hivi hawa vijana wanapoelekea itakuaje? Maana upumbavu wanaoufanya ili wapate content za kuposti TikTok na umaarufu wa TikTok.
Huu ni upuuzi traffic mko wapi mpaka mnaruhusu mtu ajirekod uchoko kama huu barabarani?
Hivi taifa litakuaje baadae ?
Kuna siku niliandika kuhusu TikTok ifungiwe ,machizi wakanishambulia sana ety ooh we mshamba unamapepo tokaa,
Shubamiti.
Napenda kuuliza kwamba hivi hawa vijana wanapoelekea itakuaje? Maana upumbavu wanaoufanya ili wapate content za kuposti TikTok na umaarufu wa TikTok.
Huu ni upuuzi traffic mko wapi mpaka mnaruhusu mtu ajirekod uchoko kama huu barabarani?
Hivi taifa litakuaje baadae ?
Kuna siku niliandika kuhusu TikTok ifungiwe ,machizi wakanishambulia sana ety ooh we mshamba unamapepo tokaa,
Shubamiti.