Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Script inataka hivyoAngeweza kutengeneza location bila kutumia barabara ya umma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Script inataka hivyoAngeweza kutengeneza location bila kutumia barabara ya umma.
Labda mganga wao kawaelekeza hayoSamahanini wakuu kwa usumbufu.
Napenda kuuliza kwamba hivi hawa vijana wanapoelekea itakuaje? Maana upumbavu wanaoufanya ili wapate content za kuposti TikTok na umaarufu wa TikTok.
Huu ni upuuzi traffic mko wapi mpaka mnaruhusu mtu ajirekod uchoko kama huu barabarani?
Hivi taifa litakuaje baadae ?
Kuna siku niliandika kuhusu TikTok ifungiwe ,machizi wakanishambulia sana ety ooh we mshamba unamapepo tokaa,
Shubamiti.
View attachment 2739535