Hii imekaaje kwa wanandoa?

Kwani ulilazimishwa kuolewa?
 
Sema nini, ume-sound ki-mama na kimahaba sana![emoji8]

Tunatakaga kufatwa sebuleni kwenda chumbani, tukijileta wenyewe ndio tunakuwa kijeshi-jeshi!!
 
Nyumbani kwenu hakuna hg hadi anakuja kukuaumbua ukiwa umeshalala jamani?
 
Huenda mwanaume anabaki anaangalia porn ili zimpe hisia akija kwako anamaliza ndio maana hafanyi maandalizi, Dada uanze kuchunguza upande wako pia, je unamvutia kukutamani? au inabidi aamshe hisia zake kwingine ila kwaajili ya heshima na hataki kuchepuka ndio maana anakuja tu kutolea hamu kwako? Kuvutia sio mavazi tu, hata topic zako, haimaanishi kwasababu umeolewa ndio uache kumchombeza kama mlivyokuwa wachumba.
 
Tatizo wengi mnajibu kwa mihemko tu
Mohemko ipi?

In maana Kuna jibu ulitarajia upate humu?

Kama una jibu lako hukuwa na haja kuleta humu

Jichunguze vizur pengne havutiwi nawe kwa Sasa anafanya huo usiku kukuridhisha TU wewe

Je hapo mwanzo alikuwa na tabia hii?

Kama watoto wameenda kulala achana na makanga na mavitenge vaa kimitego kaa naye jiran uone Kama mnara haujasoma 4g

Wamama weng sikuhiz mmejisahau Sana kias had maumbo yengu yanakuwa Kama paka la dampo
 
Kwa nini usibaki sebuleni na mmeo ukaanzisha uchokozi mkaenda chumbani, tatizo wanawake wengi mlio kwenye ndoa mnaona wanaume ndo tuna shida sana ya kufanya mapenzi so mnashindwa kujua majukumu yenu

Akikuelewa wewe

90% ya shida zake ameweza kutatua
 
Mruhusu atafute wanaoweza wakusaidie
 
Tumia mbinu zako ulizofundwa mkoleni kumchokonoa awe anawai kuja kulala
 
Sababu nyingi. Kumchoka mke, dharau, jazba na kwa wale wafanyakazi kunakuwa na majukumu ya kiofisi kwenye mtandao.Nje na sababu ya mwisho kwa mtazamo wangu huoni mambo hayo wakati mapenzi ya moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…