Hii imekaaje kwa wanandoa?

Hii imekaaje kwa wanandoa?

Sukariiiii ya wareeembooooo....!!! 😜😜

Salamu kwa Msafiri.

😁😁

Kasinde mzima wewe kipenzi cha roho cha babu...?

Hivi wewe hapo Kasinde huwa uchokozi unauanza muda gani kabla ya kipyenga kupigwa kuashiria ufunguzi wa mechi?
 
😁😁

Kasinde mzima wewe kipenzi cha roho cha babu...?

Hivi wewe hapo Kasinde huwa uchokozi unauanza muda gani kabla ya kipyenga kupigwa kuashiria ufunguzi wa mechi?


Mimi muda wote huwa nakuwa mchokozi...

Hata kazini nikimpelekea babu kipisi cha msuba nameambia umesahau kufunga zipu, akijishika na kukuta imefungwa au akiinama na kukuta haiko wazi lazima anishike titi au tako πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Basi ujue usiku wake tutalala saa tisa alfajiri....πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‹
 
Hii imekuaje japo mapenzi hayana ratiba maalum. Je hii ni Sawa?

Inakuaje inapofika usiku mmesambaa kwenda kulala mwanaume anabaki seblen aither kuchati na cm au kuangalia zake tv.

Mwanamke kutokana na pilika za kazi + za nyumban, watoto unaingia kulala dakika 10 tu usingiz ushakupitia tena mzito

Jamaa anakuja kulala saa 7 au 8 anataka mfanye mapenz sa hiyo umelala kama umekufa yan hii ni Sawa jmn?

Kwann tusije wote kulala tuandaane vizuri tufurahie tendo?

Kwann uje kulala saa 7 au 8

Mahari wazazi walipokea. Mbususu halali yake haijalishi ni usiku kiasi gani.

Wewe jukumu lako ni kutanua miguu na kumwaga mauno.
 
Na sisi tunaolala stoo tunacomment wapi? Maana chumba kimoja Kila kitu humohumo hadi ndoo na makopo ya chooni, maana si chumba Tena Bali ni stoo.
 
Hii imekuaje japo mapenzi hayana ratiba maalum. Je hii ni Sawa?

Inakuaje inapofika usiku mmesambaa kwenda kulala mwanaume anabaki seblen aither kuchati na cm au kuangalia zake tv.

Mwanamke kutokana na pilika za kazi + za nyumban, watoto unaingia kulala dakika 10 tu usingiz ushakupitia tena mzito

Jamaa anakuja kulala saa 7 au 8 anataka mfanye mapenz sa hiyo umelala kama umekufa yan hii ni Sawa jmn?

Kwann tusije wote kulala tuandaane vizuri tufurahie tendo?

Kwann uje kulala saa 7 au 8
Nyumba ya kwangu usinipangie muda wa kulaka
 
Hii imekuaje japo mapenzi hayana ratiba maalum. Je hii ni Sawa?

Inakuaje inapofika usiku mmesambaa kwenda kulala mwanaume anabaki seblen aither kuchati na cm au kuangalia zake tv.

Mwanamke kutokana na pilika za kazi + za nyumban, watoto unaingia kulala dakika 10 tu usingiz ushakupitia tena mzito

Jamaa anakuja kulala saa 7 au 8 anataka mfanye mapenz sa hiyo umelala kama umekufa yan hii ni Sawa jmn?

Kwann tusije wote kulala tuandaane vizuri tufurahie tendo?

Kwann uje kulala saa 7 au 8
Pole saaana kwa yanayokusibu,pambana mahari yako ilishaliwaaaa we pambana tyu sasaaaa
 
Inabidi ufurahi siku hizi anakusugua hata hiyo usiku wa manane, maana ulishasemaga anaweza kata mwezi mzima hajakugusa..
Screenshot_20220530-145020_1.jpg
 
Kwa nini usibaki sebuleni na mmeo ukaanzisha uchokozi mkaenda chumbani, tatizo wanawake wengi mlio kwenye ndoa mnaona wanaume ndo tuna shida sana ya kufanya mapenzi so mnashindwa kujua majukumu yenu

Vicoba na michezo vimemaliza nguvu za kike
 
Back
Top Bottom