sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
nina kaka yangu alienizidi miaka 8, kiukweli hatujazoeana sana nadhani hii imesababishwa sana kwa yeye kunionea utotoni maana nimekula sana vipigo vyake, hii hali ilinifanya nimchukie na ikapelekea mpaka mawasiliano yetu kuharibika hadi sasa maisha ya ukubwani... nipo karibu na dada yangu.
Yani hata ile kuchati tu whatsapp ni nadra sana, sana sana ni kuangaliziana status za whatsapp, hata kutembeleana majumbani kwetu labda kuwe na ishu muhimu sana.
Ila licha ya hivyo tuna ukaribu sana kwenye kunasuana kwenye matatizo, matatizo ambayo hata rafiki zetu mabesti mengi wanatukimbia.
-nikiwa nimemaliza chuo niliwahi kufungua biashara, haikufika hata wiki 2 nikaibiwa,, ni kaka yangu ndie alienipa pesa ya kugharamia vitu vyote nilivyoibiwa na ilizidi,
-kuna kipindi kaka nae aliingia kwenye matatzo, marafiki walimkimbia, mimi ndie nilihangaika kumtoa kituo cha polisi.
-gari yangu iliwahi kugongwa maeneo ya ofisi ya kaka, nakumbuka kaka yangu ndie alishughulikia mpaka kumlipisha aliegonga atoe hela ya matengenezo.
- kaka yangu kuna kipindi aliumwa sana, mimi ndie niiemuuguza kwa wiki 2 hivi japo nilimuuguza kikauzu na alivyoanza kupata nafuu nikasepa.
- habari za kaka yangu huwa nazipata kwa wife wake, akiwa na matatizo basi mke wake ndio hunijulisha.
-Mimi na kaka yangu kama hatujuani vile na ni nadra sana kupeana misaada ya pesa mara ya mwisho mwaka juzi, ila ikitokea huwa ni simu moja tu muamala umesoma,
Yani hata ile kuchati tu whatsapp ni nadra sana, sana sana ni kuangaliziana status za whatsapp, hata kutembeleana majumbani kwetu labda kuwe na ishu muhimu sana.
Ila licha ya hivyo tuna ukaribu sana kwenye kunasuana kwenye matatizo, matatizo ambayo hata rafiki zetu mabesti mengi wanatukimbia.
-nikiwa nimemaliza chuo niliwahi kufungua biashara, haikufika hata wiki 2 nikaibiwa,, ni kaka yangu ndie alienipa pesa ya kugharamia vitu vyote nilivyoibiwa na ilizidi,
-kuna kipindi kaka nae aliingia kwenye matatzo, marafiki walimkimbia, mimi ndie nilihangaika kumtoa kituo cha polisi.
-gari yangu iliwahi kugongwa maeneo ya ofisi ya kaka, nakumbuka kaka yangu ndie alishughulikia mpaka kumlipisha aliegonga atoe hela ya matengenezo.
- kaka yangu kuna kipindi aliumwa sana, mimi ndie niiemuuguza kwa wiki 2 hivi japo nilimuuguza kikauzu na alivyoanza kupata nafuu nikasepa.
- habari za kaka yangu huwa nazipata kwa wife wake, akiwa na matatizo basi mke wake ndio hunijulisha.
-Mimi na kaka yangu kama hatujuani vile na ni nadra sana kupeana misaada ya pesa mara ya mwisho mwaka juzi, ila ikitokea huwa ni simu moja tu muamala umesoma,