Hii imekaaje, Mimi na kaka yangu hatuna ukaribu wa hata kujuliana hali lakini kwenye matatizo tunasaidiana sana kuliko marafiki tuliozoeana sana.

Hii imekaaje, Mimi na kaka yangu hatuna ukaribu wa hata kujuliana hali lakini kwenye matatizo tunasaidiana sana kuliko marafiki tuliozoeana sana.

Mi nina kaka yangu ambaye tumeshare baba, ila mama tofauti mwanzo tulikuwa fresh tu kimawasiliano tokanipo school hadi chuo kikuu. Basi miaka kadhaa nyuma niliibiwa kiasi kikubwa cha fedha ofisini kwangu, mengine siyasemi maana nahisi yumo akijua key tu za post atanijuwa ni mimi. Basi nikaomba msaada niinuke nikaona amekuwa mzito, viswahili vingi 3 months kila ukimpigia mara naumwa, niko busy nikapiga chini mawasiliano na kufuta namba zake zote voda, tigo, Halotel na Airtel anazomiliki. Nikaishi fresh tu miaka kama mitano kila mmoja busy na yake na hatujawahi onana. Mwaka fulan akaenda home kusalimia akaanza kulalamika kwa dingi na maza kwamba dogo simuelewi nahisi hatuelewani. Mi nna maisha yangu nae kivyake sinaga muda kupigia magoti hata uwe mkubwa kwangu ganzi kwa kwenda mbereee bhita ni bhita muraa
 
Mimi na mdogo wangu tumetenganishwa na barabara kubwa tu ya Tabata Seregea, lakini huwa kwa miezi minne au sita tunaweza tukawa tumewasiliana mara moja tu na hapo hadi mimi kaka mtu nimpigie simu au akiwa na shida na muamala. Yote kwa yote sioni tatizo lolote naona fresha tu. Hata watoto wangu na wake hawajuani kabisa
Bora wewe akipiga muamala mi wa kwangu bahili akikutumia nyingi ni 30
 
nina kaka yangu alienizidi miaka 8, kiukweli hatujazoeana sana nadhani hii imesababishwa sana kwa yeye kunionea utotoni maana nimekula sana vipigo vyake, hii hali ilinifanya nimchukie na ikapelekea mpaka mawasiliano yetu kuharibika hadi sasa maisha ya ukubwani... nipo karibu na dada yangu.

Yani hata ile kuchati tu whatsapp ni nadra sana, sana sana ni kuangaliziana status za whatsapp, hata kutembeleana majumbani kwetu labda kuwe na ishu muhimu sana.

Ila licha ya hivyo tuna ukaribu sana kwenye kunasuana kwenye matatizo, matatizo ambayo hata rafiki zetu mabesti mengi wanatukimbia.

-nikiwa nimemaliza chuo niliwahi kufungua biashara, haikufika hata wiki 2 nikaibiwa,, ni kaka yangu ndie alienipa pesa ya kugharamia vitu vyote nilivyoibiwa na ilizidi,

-kuna kipindi kaka nae aliingia kwenye matatzo, marafiki walimkimbia, mimi ndie nilihangaika kumtoa kituo cha polisi.

-gari yangu iliwahi kugongwa maeneo ya ofisi ya kaka, nakumbuka kaka yangu ndie alishughulikia mpaka kumlipisha aliegonga atoe hela ya matengenezo.

- kaka yangu kuna kipindi aliumwa sana, mimi ndie niiemuuguza kwa wiki 2 hivi japo nilimuuguza kikauzu na alivyoanza kupata nafuu nikasepa.

- habari za kaka yangu huwa nazipata kwa wife wake, akiwa na matatizo basi mke wake ndio hunijulisha.

-Mimi na kaka yangu kama hatujuani vile na ni nadra sana kupeana misaada ya pesa, ila ikitokea hivyo basi huwa ni simu moja tu muamala umesoma.
tatizo kaka zetu wanajifanya wapo silias san mm uwa nakutana na kaka kwa mwaka mala 1 akija likozo nyumban kwa bmkuwa akiondoka kmy mpaka likizo tena
 
Ulitaka nani akusaidie sasa kama sio huyo kaka yako?

Urafiki uishie kwenye urafiki sio kutwishana matatizo yasiyowahusu.
 
nina kaka yangu alienizidi miaka 8, kiukweli hatujazoeana sana nadhani hii imesababishwa sana kwa yeye kunionea utotoni maana nimekula sana vipigo vyake, hii hali ilinifanya nimchukie na ikapelekea mpaka mawasiliano yetu kuharibika hadi sasa maisha ya ukubwani... nipo karibu na dada yangu.

Yani hata ile kuchati tu whatsapp ni nadra sana, sana sana ni kuangaliziana status za whatsapp, hata kutembeleana majumbani kwetu labda kuwe na ishu muhimu sana.

Ila licha ya hivyo tuna ukaribu sana kwenye kunasuana kwenye matatizo, matatizo ambayo hata rafiki zetu mabesti mengi wanatukimbia.

-nikiwa nimemaliza chuo niliwahi kufungua biashara, haikufika hata wiki 2 nikaibiwa,, ni kaka yangu ndie alienipa pesa ya kugharamia vitu vyote nilivyoibiwa na ilizidi,

-kuna kipindi kaka nae aliingia kwenye matatzo, marafiki walimkimbia, mimi ndie nilihangaika kumtoa kituo cha polisi.

-gari yangu iliwahi kugongwa maeneo ya ofisi ya kaka, nakumbuka kaka yangu ndie alishughulikia mpaka kumlipisha aliegonga atoe hela ya matengenezo.

- kaka yangu kuna kipindi aliumwa sana, mimi ndie niiemuuguza kwa wiki 2 hivi japo nilimuuguza kikauzu na alivyoanza kupata nafuu nikasepa.

- habari za kaka yangu huwa nazipata kwa wife wake, akiwa na matatizo basi mke wake ndio hunijulisha.

-Mimi na kaka yangu kama hatujuani vile na ni nadra sana kupeana misaada ya pesa, ila ikitokea hivyo basi huwa ni simu moja tu muamala umesoma.
Hata mm kwa kweli Nina wa namna hyo atuachati kbsa yaani ila kwenye tatizo lolote ankuwa front

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nyinyi hamna chuki ni upendo huo, mnapendana sana. Tatizo ni ndugu wa kiume ndiyo maana mnaishi hivyo. Kitendo cha kumsaidia akiwa na tatizo, basi elewa ni upendo
 
nina kaka yangu alienizidi miaka 8, kiukweli hatujazoeana sana nadhani hii imesababishwa sana kwa yeye kunionea utotoni maana nimekula sana vipigo vyake, hii hali ilinifanya nimchukie na ikapelekea mpaka mawasiliano yetu kuharibika hadi sasa maisha ya ukubwani... nipo karibu na dada yangu.

Yani hata ile kuchati tu whatsapp ni nadra sana, sana sana ni kuangaliziana status za whatsapp, hata kutembeleana majumbani kwetu labda kuwe na ishu muhimu sana.

Ila licha ya hivyo tuna ukaribu sana kwenye kunasuana kwenye matatizo, matatizo ambayo hata rafiki zetu mabesti mengi wanatukimbia.

-nikiwa nimemaliza chuo niliwahi kufungua biashara, haikufika hata wiki 2 nikaibiwa,, ni kaka yangu ndie alienipa pesa ya kugharamia vitu vyote nilivyoibiwa na ilizidi,

-kuna kipindi kaka nae aliingia kwenye matatzo, marafiki walimkimbia, mimi ndie nilihangaika kumtoa kituo cha polisi.

-gari yangu iliwahi kugongwa maeneo ya ofisi ya kaka, nakumbuka kaka yangu ndie alishughulikia mpaka kumlipisha aliegonga atoe hela ya matengenezo.

- kaka yangu kuna kipindi aliumwa sana, mimi ndie niiemuuguza kwa wiki 2 hivi japo nilimuuguza kikauzu na alivyoanza kupata nafuu nikasepa.

- habari za kaka yangu huwa nazipata kwa wife wake, akiwa na matatizo basi mke wake ndio hunijulisha.

-Mimi na kaka yangu kama hatujuani vile na ni nadra sana kupeana misaada ya pesa mara ya mwisho mwaka juzi, ila ikitokea huwa ni simu moja tu muamala umesoma,
Sisi Wahaya tuna msemo, "... Omutahi wawe akuhigisa ezoka; Omulumuna wawe akuhigisa ebura.."!
 
nina kaka yangu alienizidi miaka 8, kiukweli hatujazoeana sana nadhani hii imesababishwa sana kwa yeye kunionea utotoni maana nimekula sana vipigo vyake, hii hali ilinifanya nimchukie na ikapelekea mpaka mawasiliano yetu kuharibika hadi sasa maisha ya ukubwani... nipo karibu na dada yangu.

Yani hata ile kuchati tu whatsapp ni nadra sana, sana sana ni kuangaliziana status za whatsapp, hata kutembeleana majumbani kwetu labda kuwe na ishu muhimu sana.

Ila licha ya hivyo tuna ukaribu sana kwenye kunasuana kwenye matatizo, matatizo ambayo hata rafiki zetu mabesti mengi wanatukimbia.

-nikiwa nimemaliza chuo niliwahi kufungua biashara, haikufika hata wiki 2 nikaibiwa,, ni kaka yangu ndie alienipa pesa ya kugharamia vitu vyote nilivyoibiwa na ilizidi,

-kuna kipindi kaka nae aliingia kwenye matatzo, marafiki walimkimbia, mimi ndie nilihangaika kumtoa kituo cha polisi.

-gari yangu iliwahi kugongwa maeneo ya ofisi ya kaka, nakumbuka kaka yangu ndie alishughulikia mpaka kumlipisha aliegonga atoe hela ya matengenezo.

- kaka yangu kuna kipindi aliumwa sana, mimi ndie niiemuuguza kwa wiki 2 hivi japo nilimuuguza kikauzu na alivyoanza kupata nafuu nikasepa.

- habari za kaka yangu huwa nazipata kwa wife wake, akiwa na matatizo basi mke wake ndio hunijulisha.

-Mimi na kaka yangu kama hatujuani vile na ni nadra sana kupeana misaada ya pesa mara ya mwisho mwaka juzi, ila ikitokea huwa ni simu moja tu muamala umesoma,
Babu changamoto zito lakini kawaida muulize mama
 
Mimi namba ya Bro nilikuaga sina
Nikaichukua mwenye simu ya bi mkubwa kwa ajili ya kumfahamisha bi mkubwa anaumwa, na vile mi ndo nilikua nauguza..
Alivyopona nikafuta! Maana hatunaga stori kabisa!!! Chuki sio chuki ugumu sio ugumu sijui ni pepo!!!!
Ila sasa kuna jambo limemkuta ndani ya miezi kadhaa nimelitatua kwa nguvu zangu zote bila hiyana... kuongea kwetu ni Detail za msingi tu!
Hata nikwamaje sijawahi muomba hata mbuni... na namba yake nimesave tu kwa ajili ya izo ishu tukishakaa kimya miezi mi2 naifuta....

huwa nashangaaga kuona watu wanaishi na ma-bro wao kirafiki aisee
 
Mimi namba ya Bro nilikuaga sina
Nikaichukua mwenye simu ya bi mkubwa kwa ajili ya kumfahamisha bi mkubwa anaumwa, na vile mi ndo nilikua nauguza..
Alivyopona nikafuta! Maana hatunaga stori kabisa!!! Chuki sio chuki ugumu sio ugumu sijui ni pepo!!!!
Ila sasa kuna jambo limemkuta ndani ya miezi kadhaa nimelitatua kwa nguvu zangu zote bila hiyana... kuongea kwetu ni Detail za msingi tu!
Hata nikwamaje sijawahi muomba hata mbuni... na namba yake nimesave tu kwa ajili ya izo ishu tukishakaa kimya miezi mi2 naifuta....

huwa nashangaaga kuona watu wanaishi na ma-bro wao kirafiki aisee
Aisee ni tumbo moja?
 
kuna wakina nyie mnaosaidiwa na kaka zenu alaf kuna wakina sisi!
 
Hili jambo nimewauliza wengi wanasema ndivyo ilivyo na sio kwa upande wa undugu wa kaka hata undugu wa dada.

Demu wangu niliwahi kumuuliza naye akasema yeye na dada yake hawana mawasiliano kivile inaweza kupita hata mwezi/miezi akini haimaanishi hawapendani

Kwa hiyo mleta mada hilo lisikuhangaishe akili n jambo la kawaida. Kama kusaidiana kupo na mnashirikiana kuwatunza wazazi na madogo inatosha. Ndo undugu wenyewe huo
 
nina kaka yangu alienizidi miaka 8, kiukweli hatujazoeana sana nadhani hii imesababishwa sana kwa yeye kunionea utotoni maana nimekula sana vipigo vyake, hii hali ilinifanya nimchukie na ikapelekea mpaka mawasiliano yetu kuharibika hadi sasa maisha ya ukubwani... nipo karibu na dada yangu.

Yani hata ile kuchati tu whatsapp ni nadra sana, sana sana ni kuangaliziana status za whatsapp, hata kutembeleana majumbani kwetu labda kuwe na ishu muhimu sana.

Ila licha ya hivyo tuna ukaribu sana kwenye kunasuana kwenye matatizo, matatizo ambayo hata rafiki zetu mabesti mengi wanatukimbia.

-nikiwa nimemaliza chuo niliwahi kufungua biashara, haikufika hata wiki 2 nikaibiwa,, ni kaka yangu ndie alienipa pesa ya kugharamia vitu vyote nilivyoibiwa na ilizidi,

-kuna kipindi kaka nae aliingia kwenye matatzo, marafiki walimkimbia, mimi ndie nilihangaika kumtoa kituo cha polisi.

-gari yangu iliwahi kugongwa maeneo ya ofisi ya kaka, nakumbuka kaka yangu ndie alishughulikia mpaka kumlipisha aliegonga atoe hela ya matengenezo.

- kaka yangu kuna kipindi aliumwa sana, mimi ndie niiemuuguza kwa wiki 2 hivi japo nilimuuguza kikauzu na alivyoanza kupata nafuu nikasepa.

- habari za kaka yangu huwa nazipata kwa wife wake, akiwa na matatizo basi mke wake ndio hunijulisha.

-Mimi na kaka yangu kama hatujuani vile na ni nadra sana kupeana misaada ya pesa mara ya mwisho mwaka juzi, ila ikitokea huwa ni simu moja tu muamala umesoma,
Duh nimeogopa sana nilipoona heading, nikajua ni story yangu nikawa najiuliza mbona sijawahi kuandika hapa[emoji28], yani hiyo hali ni same to me, me na bro yani kama watu baki, kama hatujuani, ila kwenye matatizo na mambo ya kusaidiana tunadaidiana sana tena kwa haraka, ila after that tunaweza hata tusitumiane sms hata miezi 6.
 
mimi na dogo langu tunakaa mji moja lakini ni mwezi wa tatu huu hatuja wasiliaana kwenye simu... hapa mjini tukikutana ni ile tu mambo vp, fresh, kila mtu anaendelea na yake.

ikitokea tunachekiana ama kukutana, hapo ujue kuna mambo ya msingi, ishu imetokea nyumbani kwa bi mkubwa au ni kusaidiana.

mdogo wetu wa kike ndie besti wetu, huyu karibu kila siku wote tunamcheki,
 
Back
Top Bottom