Hii imekaaje nina upepo na nyota ila maisha yangu ni maseke?

Hii imekaaje nina upepo na nyota ila maisha yangu ni maseke?

Atukuzwee

Senior Member
Joined
Aug 6, 2017
Posts
125
Reaction score
239
Kwema wakuu kuna jambo linanishangazaga sana.

1.Mama mmoja muuza chapati alikua ananiomba niwe wa kwanza kwenda kununua chapati kwake asubuhi alikua jirani yetu na nikinunua alikua anafurahi sana nikawa nachukulia poa.
2.Mama ntilie na muuza sambusa alikua pia ananiomba niwe nanunua sambusa kwake ananipa na ofa na yeye anafurahi sana badae akaja akaniambia nina bahati eti.. nikapotezea
3.Ostazi huyu alikua ana duka na ilifikia mahali mpaka nikawa siendi kununua kitu duka lingine nikagombana na mama.. cha ajabu nilivohama mtaa alifilisika badae nikaja kupanga kwa huyu ostazi maana alikua ni rafiki yangu akaniambia mwanangu una upepo wewe hujui tuu nikapotezea tena..
4. Nikienda duka la ndugu yangu ananipokea vizuri yeye na mke wake mapka nashanga wateja wanaongezeka mpaka aliniambia nisiende form six aniajiri Baba akagoma.. ila mpaka leo nikienda dukani kwako wananikaribisha kwa heshima.
5.Nina duka la mtaani kwangu hapa naweza nikaja nikanunua kitu cha ajabu wakaja watu sio chini ya watano wakanunua kitu kama nilichonunua hii sijui imekaaje? Mwenye duka ananipenda vibaya ila huyu hajaniambia kuwa nina upepo

Mfano hata nikiwa ofisini nikiagiza chakula au kitu flani na karibia watu wote wanaagiza hicho hicho mhh mpaka nashangaa sasa hii sijui imekaaje kuna ndugu yangu mwingine mwanza huyu nilimtajirisha mpaka leo aniambia niende ame ni miss atanilipa nauli na kila kituu?

Cha ajabu mimi nikifanya biashara nafeli vinaya nimeshapoteza sio chini ya 4million hakuna nilichopata.
Hii imekaaje
 
Watu wana focus kwenye reality wewe endelea kuabudu ndevu tu. Kinjeketile alikuwa na imani kama hizo lakini babu zetu walikula mikwaju na wajerumani mbele ya wake zao na wakanyang'anywa nchi
 
Hiyo ni dalilli njema.
Watu wa design hiyo tuko wachache, pia tunapendwa sana na watoto wadogo.
Ila tunawindwa sana na wanasiasa na wafanyabiashara.
Be careful with spiritual prayers.
 
Kwema wakuu kuna jambo linanishangazaga sana.

1.Mama mmoja muuza chapati alikua ananiomba niwe wa kwanza kwenda kununua chapati kwake asubuhi alikua jirani yetu na nikinunua alikua anafurahi sana nikawa nachukulia poa.
2.Mama ntilie na muuza sambusa alikua pia ananiomba niwe nanunua sambusa kwake ananipa na ofa na yeye anafurahi sana badae akaja akaniambia nina bahati eti.. nikapotezea
3.Ostazi huyu alikua ana duka na ilifikia mahali mpaka nikawa siendi kununua kitu duka lingine nikagombana na mama.. cha ajabu nilivohama mtaa alifilisika badae nikaja kupanga kwa huyu ostazi maana alikua ni rafiki yangu akaniambia mwanangu una upepo wewe hujui tuu nikapotezea tena..
4. Nikienda duka la ndugu yangu ananipokea vizuri yeye na mke wake mapka nashanga wateja wanaongezeka mpaka aliniambia nisiende form six aniajiri Baba akagoma.. ila mpaka leo nikienda dukani kwako wananikaribisha kwa heshima.
5.Nina duka la mtaani kwangu hapa naweza nikaja nikanunua kitu cha ajabu wakaja watu sio chini ya watano wakanunua kitu kama nilichonunua hii sijui imekaaje? Mwenye duka ananipenda vibaya ila huyu hajaniambia kuwa nina upepo

Mfano hata nikiwa ofisini nikiagiza chakula au kitu flani na karibia watu wote wanaagiza hicho hicho mhh mpaka nashangaa sasa hii sijui imekaaje kuna ndugu yangu mwingine mwanza huyu nilimtajirisha mpaka leo aniambia niende ame ni miss atanilipa nauli na kila kituu?
Cha ajabu mimi nikifanya biashara nafeli vinaya nimeshapoteza sio chini ya 4million hakuna nilichopata.
Hii imekaaje


Ina maana list yote ya hao watu wako wa karibu una o engage nao wanaamini katika mambo ya kipumbavu!?????

Ondoka kwenye hiyo cycle ya washirikina!
 
Kwamba convert bullets into water😅

Nakwambia hakuna matusi ya nguoni kwa mwanaume wa Kitanganyika wa mwaka 1800 kama kutiwa makofi mbele ya mkewe. Kinjeketile hawezi kusamehewa na wahenga wale
 
Nakwambia hakuna matusi ya nguoni kwa mwanaume wa Kitanganyika wa mwaka 1800 kama kutiwa makofi mbele ya mkewe. Kinjeketile hawezi kusamehewa na wahenga wale
Mchizi alitisha sana na historia yake itaish vizazi na vizazi labda kama wapunguze topics kwenye mitaala baadae
 
Kwema wakuu kuna jambo linanishangazaga sana.

1.Mama mmoja muuza chapati alikua ananiomba niwe wa kwanza kwenda kununua chapati kwake asubuhi alikua jirani yetu na nikinunua alikua anafurahi sana nikawa nachukulia poa.
2.Mama ntilie na muuza sambusa alikua pia ananiomba niwe nanunua sambusa kwake ananipa na ofa na yeye anafurahi sana badae akaja akaniambia nina bahati eti.. nikapotezea
3.Ostazi huyu alikua ana duka na ilifikia mahali mpaka nikawa siendi kununua kitu duka lingine nikagombana na mama.. cha ajabu nilivohama mtaa alifilisika badae nikaja kupanga kwa huyu ostazi maana alikua ni rafiki yangu akaniambia mwanangu una upepo wewe hujui tuu nikapotezea tena..
4. Nikienda duka la ndugu yangu ananipokea vizuri yeye na mke wake mapka nashanga wateja wanaongezeka mpaka aliniambia nisiende form six aniajiri Baba akagoma.. ila mpaka leo nikienda dukani kwako wananikaribisha kwa heshima.
5.Nina duka la mtaani kwangu hapa naweza nikaja nikanunua kitu cha ajabu wakaja watu sio chini ya watano wakanunua kitu kama nilichonunua hii sijui imekaaje? Mwenye duka ananipenda vibaya ila huyu hajaniambia kuwa nina upepo

Mfano hata nikiwa ofisini nikiagiza chakula au kitu flani na karibia watu wote wanaagiza hicho hicho mhh mpaka nashangaa sasa hii sijui imekaaje kuna ndugu yangu mwingine mwanza huyu nilimtajirisha mpaka leo aniambia niende ame ni miss atanilipa nauli na kila kituu?

Cha ajabu mimi nikifanya biashara nafeli vinaya nimeshapoteza sio chini ya 4million hakuna nilichopata.
Hii imekaaje
Nyota yako anaweza akaichukua mtu akawa anaitumia hao wanaokwambia njoo dukan kuwa nao makini.
 
Hiyo ni dalilli njema.
Watu wa design hiyo tuko wachache, pia tunapendwa sana na watoto wadogo.
Ila tunawindwa sana na wanasiasa na wafanyabiashara.
Be careful with spiritual prayers.
Ni kweli watoto wadogo wananipenda sana nikipita mtaani wanakujaga ku ni hug yaani mpaka nashangaaga
 
Watu wana focus kwenye reality wewe endelea kuabudu ndevu tu. Kinjeketile alikuwa na imani kama hizo lakini babu zetu walikula mikwaju na wajerumani mbele ya wake zao na wakanyang'anywa nchi
Mikwaju gani hio unataka kusema wale wazee wa kihehe sio kupigwa tu na waliliwa pia ?
 
Una buruji ( nyota) mushtara nini ?[emoji848] Lakini wewe hupati mbona imekaa kama punda hii
 
Kwema wakuu kuna jambo linanishangazaga sana.

1.Mama mmoja muuza chapati alikua ananiomba niwe wa kwanza kwenda kununua chapati kwake asubuhi alikua jirani yetu na nikinunua alikua anafurahi sana nikawa nachukulia poa.
2.Mama ntilie na muuza sambusa alikua pia ananiomba niwe nanunua sambusa kwake ananipa na ofa na yeye anafurahi sana badae akaja akaniambia nina bahati eti.. nikapotezea
3.Ostazi huyu alikua ana duka na ilifikia mahali mpaka nikawa siendi kununua kitu duka lingine nikagombana na mama.. cha ajabu nilivohama mtaa alifilisika badae nikaja kupanga kwa huyu ostazi maana alikua ni rafiki yangu akaniambia mwanangu una upepo wewe hujui tuu nikapotezea tena..
4. Nikienda duka la ndugu yangu ananipokea vizuri yeye na mke wake mapka nashanga wateja wanaongezeka mpaka aliniambia nisiende form six aniajiri Baba akagoma.. ila mpaka leo nikienda dukani kwako wananikaribisha kwa heshima.
5.Nina duka la mtaani kwangu hapa naweza nikaja nikanunua kitu cha ajabu wakaja watu sio chini ya watano wakanunua kitu kama nilichonunua hii sijui imekaaje? Mwenye duka ananipenda vibaya ila huyu hajaniambia kuwa nina upepo

Mfano hata nikiwa ofisini nikiagiza chakula au kitu flani na karibia watu wote wanaagiza hicho hicho mhh mpaka nashangaa sasa hii sijui imekaaje kuna ndugu yangu mwingine mwanza huyu nilimtajirisha mpaka leo aniambia niende ame ni miss atanilipa nauli na kila kituu?

Cha ajabu mimi nikifanya biashara nafeli vinaya nimeshapoteza sio chini ya 4million hakuna nilichopata.
Hii imekaaje
Hatari
 
Hi ya kununua kitu na wengine kuja pale hata mie inanikuta sana. Nimeshaijua so hua naifuatilia nikiwa kariakoo naenda sehem nakua mimi na muuzaj tu nikishika kitu tu watu wanajaa.
 
Hi ya kununua kitu na wengine kuja pale hata mie inanikuta sana. Nimeshaijua so hua naifuatilia nikiwa kariakoo naenda sehem nakua mimi na muuzaj tu nikishika kitu tu watu wanajaa.
Hii ni nyota
 
Back
Top Bottom