evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Ndoa yao walifungia wapi?Baba J na mkewe walikuwa mmoja mkristo mmoja mwislamu, walikuwa very peace mpaka huyo baba alivyoitwa na Mungu mwaka jana.
Ni makubaliano tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa yao walifungia wapi?Baba J na mkewe walikuwa mmoja mkristo mmoja mwislamu, walikuwa very peace mpaka huyo baba alivyoitwa na Mungu mwaka jana.
Ni makubaliano tu.
SahihiImekaa vizuri, huenda ndoa walifunga ya serikali, watoto wakiwa watu wazima watachagua imani yao.
Ndoa zao walifungia wapi?Ushuhuda ni Yusuph Makamba na Mkewe.
Makamba Snr - Muslim na Mkewe Mkristo.
Kassim Majaliwa na Mkewe.
Kassim - Muslim
Mkewe -Mkristo.
Ndoa ipo kisheria "presumption of marriage"Hakuna ndoa hapo
Utata huwa tunautengeneza sisi wenyewe kwasababu ya ujinga wetu tu, kwani kabla ya kuja hizi dini wazee wetu walizikwa vip!?Ndoa ipo kisheria "presumption of marriage"
Kidini ndoa hakuna.
Ni kheri hao ndugu washauriwe waende Kwa mkuu wa wilaya kufunga ndoa ya kiserikali ili kuweka sawa nyaraka kuhusu ndoa zao.
Tuseme mmoja wapo ametangulia mbele ya haki unataka kumzika Kwa dini yako mliyofunga ndoa si kunaweza kutokea utata?
Kwa hiyo ni kheri waende Kwa mkuu wa wilaya wakafunge ndoa ya kiserikali na kufuta ndoa zao za kidini ili kila mmoja afurahie dini yake hata ikitokea ametwaliwa azikwe Kwa dini yake bila utata.
Sasa mkuu ndio dini zimeshaingia na wengi wanaziabudu na zipo hadi kisheria hatuwezi kuzikwepaUtata huwa tunautengeneza sisi wenyewe kwasababu ya ujinga wetu tu, kwani kabla ya kuja hizi dini wazee wetu walizikwa vip!?
Sijui mkuu.Ndoa zao walifungia wapi?
Sasa hii si ndio ule usemi wa wagawe na uwatawale..!?Sasa mkuu ndio dini zimeshaingia na wengi wanaziabudu na zipo hadi kisheria hatuwezi kuzikwepa