Huyo hana pepo, kwa sababu hana imani (dini), huyo Case yake inaisha chapu ktk mahakama ya Allah, uislamu ni dini simpo sana, na kila kitu tumefundishwaHuko wapi? Unakujua ? Huko huendi kwa cheti cha dini, unaenda na matendo yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hana pepo, kwa sababu hana imani (dini), huyo Case yake inaisha chapu ktk mahakama ya Allah, uislamu ni dini simpo sana, na kila kitu tumefundishwaHuko wapi? Unakujua ? Huko huendi kwa cheti cha dini, unaenda na matendo yako
We umeshaenda ukarudi huko mnakosema peponi?Matendo yapi?, hayo ya kuzini ndio uingie peponi?, thubutu
Ni pwointiPoint ya ushuzi, awe mpagani tu
We jamaa huu uzi siyo wa mambo ya peponiHuyo hana pepo, kwa sababu hana imani (dini), huyo Case yake inaisha chapu ktk mahakama ya Allah, uislamu ni dini simpo sana, na kila kitu tumefundishwa
Mkuu hebu kuwa great thinker, kwanini ukisemwa ukweli huwa una uma?, pepo ipo through dini only, ukioa mkristo usiseme wewe ni muislamuWe jamaa huu uzi siyo wa mambo ya peponi
Kwani ukijiita muislamu una pata cheo?We umeshaenda ukarudi huko mnakosema peponi?
Una matatizo ya akili weweMkuu hebu kuwa great thinker, kwanini ukisemwa ukweli huwa una uma?, pepo ipo through dini only, ukioa mkristo usiseme wewe ni muislamu
Wewe ni kichaa wa vichaa, mimi nimejibu mleta uziUna matatizo ya akili wewe
Mleta uzi mbona ni mimi mwenyeweWewe ni kichaa wa vichaa, mimi nimejibu mleta uzi
Hapo mme atakuwa analazimisha mke aabudi anako abudi baba. Kumbuka kufunika kichwa kwa baadhi ya dini ni ibadaKwa mfano mume anamwambia mke asitembee kichwa wazi na mke anasema kanisani hatufundishwi hivyo huoni kama kutakuwa na mkanganyiko?
Nilikapotezea kwanza muda mwingi anataka mchat na msg zake ni kama anaandika essay na bado simu kuongea mda mrf yan niache kuruhusu cm za kaz niwe busy kubembeleza mapenz niache kazi nianze kutuma msgUlichukua uamuzi gan
Maana yangu ilikuwa hiyohiyoHapo mme atakuwa analazimisha mke aabudi anako abudi baba. Kumbuka kufunika kichwa kwa baadhi ya dini ni ibada
Sahihi kabisaMume na Mke kuwa dini tofauti ni changamoto kubwa. Ukweli ni kwamba hao wote hawaithamini dini. Ni watu holela. Siku mmojawapo atakapoanza kuthamini dini yake, ndoa itakuwa njia panda
Mungu siyo mmoja. Kasome vitabu vyao hao Mungu uone kama Wana umoja.Kupanga ni kuchagua Mkuu kwaiyo wameamua iwe ivyo maana Mungu ni Moja
Bila dini unaweza ukamuabudu Mungu muumba wa mbingu na dunia,ila kupitia dini kuna asilimia nyingi unamuabudu kaka mkubwa (👿)Habari,
Moja kwa moja kwenye mada. Hii imekaaje wakuu mume na mke kusali dini tofauti wakati bado wako pamoja ndoani?.
Kwa maana kuna majirani zangu hapa mmoja mke anasali Katoliki yeye Mwislam na mwingine mke anaswali kwenye dini ya Uislam ume Anglican.
Je, haiwezi kuathiri ndoa?.
Uzi tayari
msikitini au makanisani hawafungushi ndoa mtu asiyekuwa dini yao kama sio muislam anasilimishwa kwanza ndio ndoa inafungwa.Yule wa kwanza msikitini wa pili kanisani