Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Being around you is my Job..don't wanna c you being hurted..always be there 4 u! Wamekufanya nn pope na mama wa busara?dah....afadhali u are here my protector!!
Nimeshaona hata 'Pope" hanifai.....
Thou wakirudi lazima wapate adhabu.....yeye na Wiselady!
yaani nimechungulia nikaona hayo maneno anayoongea nikakimbia....Umemwona afrodenzi kwa wanaume na punyeto sijui anatafuta nini kule jamani huyu mtoto mie aakk kanishinda
Being around you is my Job..don't wanna c you being hurted..always be there 4 u! Wamekufanya nn pope na mama wa busara?
Twende tuwafuate huko huko...Wameenda mlimani.....
and imagine hawajarudi till now....:Cry::Cry:
1Kor 1:13.....Upendo hautakabali,upendo,unasamehe,upendo huvumilia yote........Kuna binti alikuwa na boyfriend wake lakini hawakufikia kuoana na waliachana bila sababu
Jamaa akaoa msichana mwingine akaoa, wakaishi miaka karibuni 8
Wakajaaliwa watoto 3 wakati anatarajia kupata mtoto wa 4 mama huyo
akapata kifafa cha uzazi akafariki yeye na mtoto (RIP)
Baada ya kukaa miaka miwili bila mke kwa bahati mbaya au nzuri
akakutana na yule girlfriend wake wa zamani walieachana
Akiwa hajaolewa wala kuzaa. Jamaa anamtaka amuoe hii imekaaje wapendwa??
Kuna mapenzi kweli hapo au nikutafuta pumziko na kuondoa machungu?????
Mie haijanikalia vyema kiukweli.
Twende tuwafuate huko huko...
May be there something special na cc twaweza faidika.
Haya nendeni ila msilete mashitaka
Wameenda mlimani.....
and imagine hawajarudi till now....:Cry::Cry:
Hommie where is my WL?am back babe, roses 4 u,
am back babe, roses 4 u,
Kuna binti alikuwa na boyfriend wake lakini hawakufikia kuoana na waliachana bila sababu
Jamaa akaoa msichana mwingine akaoa, wakaishi miaka karibuni 8
Wakajaaliwa watoto 3 wakati anatarajia kupata mtoto wa 4 mama huyo
akapata kifafa cha uzazi akafariki yeye na mtoto (RIP)
Baada ya kukaa miaka miwili bila mke kwa bahati mbaya au nzuri
akakutana na yule girlfriend wake wa zamani walieachana
Akiwa hajaolewa wala kuzaa. Jamaa anamtaka amuoe hii imekaaje wapendwa??
Kuna mapenzi kweli hapo au nikutafuta pumziko na kuondoa machungu?????
Mie haijanikalia vyema kiukweli.
Eti umeniita nani......?
-Kimey upo my protector.....?
Hebu nisaidie kusoma hapo....nahisi macho yangu hayaoni vizuri!!!
Hommie where is my WL?