Hii Imekaaje Wapendwa

Hii Imekaaje Wapendwa

Hakuna Formula au Magic Pill kwenye LOVE.... popote utakapopenda go with it... kwahiyo wanaojua vizuri ni wahusika wenyewe... wengine kazi yao ni kuwabariki na kuwaombea........
 
siendi hebu nigongee huko nimelinda house muda wote kwa kuzingatia masharti uliyonipa???

Kwa sababu ni mwaka mpya nimekupa. Haya mie nataka kwenda kule mahala muda umefika will be back after one hour

The Following User Says Thank You to WiseLady For This Useful Post:

Dena Amsi (Today)​
 
Kwa sababu ni mwaka mpya nimekupa. Haya mie nataka kwenda kule mahala muda umefika will be back after one hour

The Following User Says Thank You to WiseLady For This Useful Post:

Dena Amsi (Today)​

Nakuombea roho wa Mungu huku mlimani, ukarimu wako huu uwe mara 1000 mwaka huu 2011 amen
 
Kwa sababu ni mwaka mpya nimekupa. Haya mie nataka kwenda kule mahala muda umefika will be back after one hour

The Following User Says Thank You to WiseLady For This Useful Post:

Dena Amsi

(Today)​

mh!afadhali,,haya uniletee fdback nenda sasa
 
kuna kamsemo kanasema "love is blind but marriage is an eye opener" , hako kadada kanasumbuliwa na ugonjwa wa love is blind na hiyo njemba tayari ishafunguliwa macho na ndoa yake ambayo waifu kafariki (i hope hakuwa na ngoma).

ushauri: nahitaji source ya kuachana kwao kabla kutoa ushauri wangu ambao ndio pekee utakaotatua hili tatizo.

asanteni kwa ushirikiano
 
kuna kamsemo kanasema "love is blind but marriage is an eye opener" , hako kadada kanasumbuliwa na ugonjwa wa love is blind na hiyo njemba tayari ishafunguliwa macho na ndoa yake ambayo waifu kafariki (i hope hakuwa na ngoma).

ushauri: nahitaji source ya kuachana kwao kabla kutoa ushauri wangu ambao ndio pekee utakaotatua hili tatizo.

asanteni kwa ushirikiano

Hakuna sababu Klolokwini una nini lakini?? Mzima wewe?? Habari ya holiday??
 
Back
Top Bottom