Hii Imekaaje Wapendwa

Hii Imekaaje Wapendwa

Michelee....huyu kaka na dada c walikuwa bado kwenye uhusiano mpaka aliposhtukiziwa kwamba anaoa? kama ni hivyo huyu mkaka alikuwa na uhusiano na wadada wawili kwa wakati mmoja mpaka alivyopata maamuzi ya amuoe nani ndio akamshtukizia huyu mdada mwathirika, hawakufikia kuoana coz mkaka aliona huyu mdada mwingine ndio anaemfaa na hakuna mahali Dena amesema waliachana ndio mkaka akatafuta mdada mwingine bali wapo katika uhusiano yakatokea ya kutokea...hapo ni kwamba kaka alikuwa na uhusino yote miwili kwa wakati mmoja mpaka alivyochukua uamuzi wa kumuoa huyo marehemu kwasasa.

Sorry Nyamayao,nilikuwa sijalisoma hilo,sasa nimeelewa kwa nini watu walikuwa wanzungumzia makombo,tena akae nae mbali sana....halishindwi kurudia kosa,husahau haraka sana hawa watu....kama vipi aseme tumuombee apate mume!

 
Sorry Nyamayao,nilikuwa sijalisoma hilo,sasa nimeelewa kwa nini watu walikuwa wanzungumzia makombo,tena akae nae mbali sana....halishindwi kurudia kosa,husahau haraka sana hawa watu....kama vipi aseme tumuombee apate mume!


Point kubwa sana hiyo red. Hiyo bluu very very true
 
With ice! ooooh its goood, dont try it kama haupo tayari 24/7 :car:

'It hurt the most when you can actually feel your heart breaking... Ask me why I keep on Loving!'

Hapo sasa
 
Sorry Nyamayao,nilikuwa sijalisoma hilo,sasa nimeelewa kwa nini watu walikuwa wanzungumzia makombo,tena akae nae mbali sana....halishindwi kurudia kosa,husahau haraka sana hawa watu....kama vipi aseme tumuombee apate mume!


Michelle, hiyo pia haindoi the fact kwamba alivoileta hii sredi pale juu, haikuwa wazi kiivyo...better aiedit kabisa kureflect hii situation...siye tulichangia based on presented facts..
 
Ulisharogwa nini?? Pole au wewe ndo mganga??? Naanza kupata wasiwasi

labda nimewahi kurogwa lakini huwezi jitambua kama umerogwa sana sana unajiona unajua kupenda kwelikweli ha ha haaaaaa husikii huambiwi
 
labda nimewahi kurogwa lakini huwezi jitambua kama umerogwa sana sana unajiona unajua kupenda kwelikweli ha ha haaaaaa husikii huambiwi

Umenichekesha mpaka ninataka kufa aakkk mbavu zangu mieee uweiiiiiiiiiiiiiiii
 
Michelle, hiyo pia haindoi the fact kwamba alivoileta hii sredi pale juu, haikuwa wazi kiivyo...better aiedit kabisa kureflect hii situation...siye tulichangia based on presented facts..


Nimetekeleza kiongozi
 
Back
Top Bottom