Hii Imekaaje Wapendwa

Hii Imekaaje Wapendwa

Tuko pamoja LD,si unajua ma-experience ya maisha yetu wasichana ni yale yale so sometimes tunakuwa tunafanana yale tunayofikiri kutokana na maisha tuliyoishi na mambo ambayo tumejifunza kwenye maisha yetu mafupi....

Sure michelle
 
watoto sio ishu kama wamemaliza tofauti zao kutoka moyoni esp kwa mdada coz yeye ndio alitoswa....

Hatujaambiwa kilichofanya waachane au huyo dada atoswe,yawezekana kabisa huyo dada alipata mwingine akamletea huyu kaka za kuleta na huyu kaka akapata mwingine akaoa,au huyu kaka alimuacha pasipo sababu ya msingi which i doubt,though ndo wanaume wafanyavyo sometimes....Huyu kaka asinge kuwa na-guts za kurudiana na huyu dada kama hakukuwa na sababu ya msingi ya kumuacha ambayo huyu dada anaielewa ndo maana anafikiria kumpa nafasi.....unless tuambiwe ishu iliyosababisha waachane,mi nafikiri ausikilize moyo wake???mbona watu tunajiamini tu lakini kuna wakati ulikosea unajifunza makosa yako na nafasi ikitokea ya kurudiana na yule unayempenda,unarudi as long as upendo upo,heshima,amani na malengo sahihi.
 
Hapo kwenye bluu watoto hawana kosa wala si vibaya kukaa nao ila hapo kwenye red yahitaji moyo hasa na ujipange sawasawa

Sorry Dena, lakini huo unaosema hivo ni moyo wako, au sio?
Lakini muathirika ni mtu mwingine sio??

Sasa nina amini moyo wako ni tofauti sana na moyo wa mhusika.
Hebu usimfungie kwene matakwa ya moyo wako, mpe nafasi ya kuuchunguza moyo wake, halafu ajue moyo wake unaongea nini??

Sorry, hasa kama wewe ni mmoja wa washauri wake.
 
Hapo ninavyoona mimi,mwamuzi ni huyo dada mwenyewe kutokana na jinsi alivyokuwa akimpenda huyo kaka hata kama muda umepita na alishaoa na kufiwa.Sisi wa nje tutatoa hisia zetu tu za nje lakini ukweli utabakia ndani ya moyo wa huyo dada na vile anavyojisikia kwa kijana huyo,mimi binafsi nilikuwa na GF wangu wakati niko 25 lakini hatukuweza kufunga ndoa na aliniambia wazi kuwa kama hutanioa wewe basi sitaolewa maisha yangu yote, na sasa ni miaka kumi bado yuko single na mara moja moja huwa anapitia kwa mzazi wangu kusalimia,mfano wa pili ni wa Charles na Camilla,unaweza kujiuliza ni kwa nini Camilla aliweza kusubiri muda wote huo?Hivyo kwa mtu wa nje ni vigumu kujua ni kwa nini huyo mdada aliweza kukaa muda wote huo bila ya ndoa labda na yeye alikuwa bado anamsubiri huyo jamaa.
 
kweli inategemeana waliachana vipi. inawezekana walishatambua makosa yalikuwa wapi na aliyekosea alisharegret. mi ningeangalia merit kama bado nampenda na amekuwa na mwenedo wa kuridhisha naweza kumkubali. watu hubadilika jamani tusikatae, furaha hutengenezwa na wapendanao na sio kitu cha kuchukuliwa kama vile kiko dukani. so wakiamua kuishi kwa kuheshimiana na kwa fuaha, wanaweza

ila kamwe siwezi kumkubali mtu eti kwa vile tu umri umeenda. kama si mpango wa Mungu niko tayari kuishi bila ndoa maisha yangu yote na nitaona heshima na fahari kwa kuiheshimu nafsi yangu na kupokea kwa ujasiri kipawa cha Mungu bila kutetereka

Mhmhmhm aiseee, You're unique lady. Nimesoma comment yako hadi mwili wanisisimka kwa jinsi ulivyo-ongea point. Mungu akuongezee hekima na busara zaidi dah!
 
Kuna binti alikuwa na boyfriend wake lakini hawakufikia kuoana
Jamaa akatafuta msichana mwingine akaoa, wakaishi miaka karibuni 8

Hatujaambiwa kilichofanya waachane au huyo dada atoswe,yawezekana kabisa huyo dada alipata mwingine akamletea huyu kaka za kuleta na huyu kaka akapata mwingine akaoa,au huyu kaka alimuacha pasipo sababu ya msingi which i doubt,though ndo wanaume wafanyavyo sometimes....Huyu kaka asinge kuwa na-guts za kurudiana na huyu dada kama hakukuwa na sababu ya msingi ya kumuacha ambayo huyu dada anaielewa ndo maana anafikiria kumpa nafasi.....unless tuambiwe ishu iliyosababisha waachane,mi nafikiri ausikilize moyo wake???mbona watu tunajiamini tu lakini kuna wakati ulikosea unajifunza makosa yako na nafasi ikitokea ya kurudiana na yule unayempenda,unarudi as long as upendo upo,heshima,amani na malengo sahihi.

hapo ndo Dena hajatuwekapo wazi anambwela mbwela tu......
 
Ndo maana unamwona WL akisema twende mlimani sasa wataka kumchelewesha mwenzio eeh......muda sahihi saaa ngapi?

Ina maana wewe hucheleweshwi eeh?unaanza kuniudhi tartiiiiiibu
 
macho yamezeeka jamani kimebaki kiuongo kimoja tu ndo kiko active 24/7

hahahahahahhahah.............mwe!!
nimecheka hadi nimelia.......24/7....???
hadi nauonea huruma huo ubavu wako wa pili maana hayo sasa ni mateso.......
hahahahhahah
 
Hatujaambiwa kilichofanya waachane au huyo dada atoswe,yawezekana kabisa huyo dada alipata mwingine akamletea huyu kaka za kuleta na huyu kaka akapata mwingine akaoa,au huyu kaka alimuacha pasipo sababu ya msingi which i doubt,though ndo wanaume wafanyavyo sometimes....Huyu kaka asinge kuwa na-guts za kurudiana na huyu dada kama hakukuwa na sababu ya msingi ya kumuacha ambayo huyu dada anaielewa ndo maana anafikiria kumpa nafasi.....unless tuambiwe ishu iliyosababisha waachane,mi nafikiri ausikilize moyo wake???mbona watu tunajiamini tu lakini kuna wakati ulikosea unajifunza makosa yako na nafasi ikitokea ya kurudiana na yule unayempenda,unarudi as long as upendo upo,heshima,amani na malengo sahihi.

kama nimemsoma vizuri Dena ni kwamba hawa watu walikuwa bado kwenye mahusiano mpaka mkaka alipokuja kumshtukizia mdada kwamba namuona fulani(stand 2b corrected)...so i think hapo ndipo walipoachania baada ya mkaka kuoa, sasa leo iweje tena? haipendezi japo mdada kweli anatakiwa autendee haki moyo wake, kama amemkubali kwa moyo mmoja na kasahau yote ya nyuma bac na waendelee na maisha, icwe tu ishu ya kwamba kaona umri kaona hajatoke mwingine mpaka sasa bac ajishikishe, ackilize moyo wake vizuri kabisa na autendee haki....Michellle hapo kwenye red ni wanaume hawa hawa unawaongelea au weninge?....watu tuliachwa na mwanaume (tena bila sababu yoyote ni kwamba alijickia kuniacha)akaenda kuranda randa baadae kaona mambo hayamuendei na anarudi mkavu mkavu? jamani kwa mwanaume mtegemee lolote lile yaani uwiiii ote kabisa ndao!
 
Hapo ninavyoona mimi,mwamuzi ni huyo dada mwenyewe kutokana na jinsi alivyokuwa akimpenda huyo kaka hata kama muda umepita na alishaoa na kufiwa.Sisi wa nje tutatoa hisia zetu tu za nje lakini ukweli utabakia ndani ya moyo wa huyo dada na vile anavyojisikia kwa kijana huyo,mimi binafsi nilikuwa na GF wangu wakati niko 25 lakini hatukuweza kufunga ndoa na aliniambia wazi kuwa kama hutanioa wewe basi sitaolewa maisha yangu yote, na sasa ni miaka kumi bado yuko single na mara moja moja huwa anapitia kwa mzazi wangu kusalimia,mfano wa pili ni wa Charles na Camilla,unaweza kujiuliza ni kwa nini Camilla aliweza kusubiri muda wote huo?Hivyo kwa ntu wa nje ni vigumu kujua ni kwa nini huyo mdada aliweza kukaa muda wote huo bila ya ndoa labda na yeye alikuwa bado anamsubiri huyo jamaa.

Daaa uko sahihi kabisa PM, hata leo asubuhi nimepita, amesema nikikuona nikusalimu sana, mengine alonambia ntakwambia kule.
 
Hatujaambiwa kilichofanya waachane au huyo dada atoswe,yawezekana kabisa huyo dada alipata mwingine akamletea huyu kaka za kuleta na huyu kaka akapata mwingine akaoa,au huyu kaka alimuacha pasipo sababu ya msingi which i doubt,though ndo wanaume wafanyavyo sometimes....Huyu kaka asinge kuwa na-guts za kurudiana na huyu dada kama hakukuwa na sababu ya msingi ya kumuacha ambayo huyu dada anaielewa ndo maana anafikiria kumpa nafasi.....unless tuambiwe ishu iliyosababisha waachane,mi nafikiri ausikilize moyo wake???mbona watu tunajiamini tu lakini kuna wakati ulikosea unajifunza makosa yako na nafasi ikitokea ya kurudiana na yule unayempenda,unarudi as long as upendo upo,heshima,amani na malengo sahihi.

HAPO UMEMALIZA KILAKITU! MPENDWA ,ila nyongeza moja tu huku kwetu kuna miziziology we dont ignore that unless tumejua sababu ya msingi
 
kama nimemsoma vizuri Dena ni kwamba hawa watu walikuwa bado kwenye mahusiano mpaka mkaka alipokuja kumshtukizia mdada kwamba namuona fulani(stand 2b corrected)...so i think hapo ndipo walipoachania baada ya mkaka kuoa, sasa leo iweje tena? haipendezi japo mdada kweli anatakiwa autendee haki moyo wake, kama amemkubali kwa moyo mmoja na kasahau yote ya nyuma bac na waendelee na maisha, icwe tu ishu ya kwamba kaona umri kaona hajatoke mwingine mpaka sasa bac ajishikishe, ackilize moyo wake vizuri kabisa na autendee haki....Michellle hapo kwenye red ni wanaume hawa hawa unawaongelea au weninge?....watu tuliachwa na mwanaume (tena bila sababu yoyote ni kwamba alijickia kuniacha)akaenda kuranda randa baadae kaona mambo hayamuendei na anarudi mkavu mkavu? jamani kwa mwanaume mtegemee lolote lile yaani uwiiii ote kabisa ndao!

Umemanimalizia maneno Nyamayao!!!
 
hahahahahahhahah.............mwe!!
nimecheka hadi nimelia.......24/7....???
hadi nauonea huruma huo ubavu wako wa pili maana hayo sasa ni mateso.......
hahahahhahah

MATESO!!!???? :frog::smile-big:
 
kama nimemsoma vizuri Dena ni kwamba hawa watu walikuwa bado kwenye mahusiano mpaka mkaka alipokuja kumshtukizia mdada kwamba namuona fulani(stand 2b corrected)...so i think hapo ndipo walipoachania baada ya mkaka kuoa, sasa leo iweje tena? haipendezi japo mdada kweli anatakiwa autendee haki moyo wake, kama amemkubali kwa moyo mmoja na kasahau yote ya nyuma bac na waendelee na maisha, icwe tu ishu ya kwamba kaona umri kaona hajatoke mwingine mpaka sasa bac ajishikishe, ackilize moyo wake vizuri kabisa na autendee haki....


Kuna binti alikuwa na boyfriend wake lakini hawakufikia kuoana
Jamaa akatafuta msichana mwingine akaoa,

Hicho ndo alichosema Dena Nyamayao,hawakufikia kuona,that means wote wawili,decision yawezekana ilikuwa yao au kuna jambo lilitokea ikabidi waachane na mwanaume atafute mwingine.Hivi Dena yuko wapi mbona hatusaidii kumsaidia?????
 
Back
Top Bottom