Hii Imekaaje Wapendwa

Hivi hapa kinajadiliwa nini jana network yangu ilikuwa down!!!
 
napenda kujua hali yako tafadhali


Nimepata transfer muhimbili kwa specialist wa moyo dear. Lakini mchana kutwa nilikuwa na drip ndo nimemaliza saa 9.30 usiku huu ndo maana ukaona kimya moyo umeleta mapya sijui ndo safari ya India au Mbinguni sielewi. Asante kwa kujali dear Kimey wala Teamo, wala Asprin wala TF wala AD hawana habari BE is taking care of me.
 
what if miaka yote wakawa wanaibana i mean kuchakachuana sasa wanataka kuhalalisha.inawezekana sisi tukahisi walipotezana kumbe walikuwa wanaona kila mara? hatuwezi jua wapendwa kuna jambo hapo limejificha haiwezekani from no where akubali kumwoa wkt huu baaba ya kifo cha mkewe iko namna.ni mtizamo wangu.
 

Si umwache aolewe si anafanya mrejesho tu kama wanakumbushia vile
 

Pole sana dia,,nakuombea upone haraka hakuna cha India wala Mbinguni.
 
hahahaa,,niko juu ya mawe lkn najitahd kuwa msomaji zaidi

Eehhh usome hivo hivyo desktop computer siku hizi ni 100000 mpaka 250000 hebu nunua na sasatel modern very cheap ha haha ha ha ha
 
Eehhh usome hivo hivyo desktop computer siku hizi ni 100000 mpaka 250000 hebu nunua na sasatel modern very cheap ha haha ha ha ha

ntajitahidi wacha msimu wa kilimo upite kwanza,,,leo vp lkn???
 
Kama mtihani nyote mungefeli..... ulizeni kwanza... sababu ya kuachana na nani alimuacha mwenziwe.... msitoe majibu ya hisia.
 
Niko home nina ED ya jana na leo sijatoka kokote naumwa dear usifanye mchezo na moyo

pole sana nakuombea,,pata muda wa kupumzika and keep smilling,,naona afro amekuja na sura ya machozi cjui kimemsibu nn?
 
Kama mtihani nyote mungefeli..... ulizeni kwanza... sababu ya kuachana na nani alimuacha mwenziwe.... msitoe majibu ya hisia.


mshangao
Junior Member

Join DateTue Jan 2011Posts4Thanks0Thanked 1 Time in 1 PostRep Power0
Re: Hii Imekaaje Wapendwa


Kama mtihani nyote mungefeli..... ulizeni kwanza... sababu ya kuachana na nani alimuacha mwenziwe....

Halafu hii ndo post ya nne unakuja na maneno haya daaahhh kazi ipo JF imeingiliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…