Ina maana wewe hucheleweshwi eeh?unaanza kuniudhi tartiiiiiibu
Daaa uko sahihi kabisa PM, hata leo asubuhi nimepita, amesema nikikuona nikusalimu sana, mengine alonambia ntakwambia kule.
hahahahahahhahah.............mwe!!
nimecheka hadi nimelia.......24/7....???
hadi nauonea huruma huo ubavu wako wa pili maana hayo sasa ni mateso.......
hahahahhahah
Umeanza uchokozi eeh....haya mama na mi nikianza usianze kulia tu na leo wala sitakuhurumia....
Kuna binti alikuwa na boyfriend wake lakini hawakufikia kuoana
Jamaa akatafuta msichana mwingine akaoa,
Hicho ndo alichosema Dena Nyamayao,hawakufikia kuona,that means wote wawili,decision yawezekana ilikuwa yao au kuna jambo lilitokea ikabidi waachane na mwanaume atafute mwingine.Hivi Dena yuko wapi mbona hatusaidii kumsaidia?????
Love malaria huwa haicheleweshiwa kutibiwa, ukiichelewesha mgonjwa anaweza kufa.....malaria haikubaliki. so siamini katka kumchelewesha mtu anahitaji kwenda mlimani....maombi ni kama dawa!
sasa kuna raha hapo.....?MATESO!!!???? :frog::smile-big:
ukitoka milimani nitakuelezea vizuri........:smile-big::smile-big:kha...Smiles...//sasa kiungo changu na ubavu wa pili vinahusianaje ,,,,,,:welcome:
sasa kuna raha hapo.....?
ukitoka milimani nitakuelezea vizuri........:smile-big::smile-big:
sasa kuna raha hapo.....?
ukitoka milimani nitakuelezea vizuri........:smile-big::smile-big:
Sorry Dena nilikuwa sijakuelewa,sasa umeeleza vizuri kuwa aliachwa bila sababu,nawaongelea hao hao wanaume viumbe wazito na wanaosahau haraka sana,kwa haya uliyoyasema sasa simshauri kabisa akubali kuolewa na huyo mwanaume, asikubali kuwa baggage box ya huyo mwanaume au back up plan,there is life without a man,kama aliweza kukaa single miaka yote hiyo na akajipenda hadi huyu alipofiwa na mkewe bado akamuona anafaa then kama alipangiwa kuolewa ataolewa awe na subira.......Nasikia kutapika,non sense! natamani ningelijua hili mapema,next time Dena weka maelezo vizuri.
Sorry Dena nilikuwa sijakuelewa,sasa umeeleza vizuri kuwa aliachwa bila sababu,nawaongelea hao hao wanaume viumbe wazito na wanaosahau haraka sana,kwa haya uliyoyasema sasa simshauri kabisa akubali kuolewa na huyo mwanaume, asikubali kuwa baggage box ya huyo mwanaume au back up plan,there is life without a man,kama aliweza kukaa single miaka yote hiyo na akajipenda hadi huyu alipofiwa na mkewe bado akamuona anafaa then kama alipangiwa kuolewa ataolewa awe na subira.......Nasikia kutapika,non sense! natamani ningelijua hili mapema,next time Dena weka maelezo vizuri.
Kuna binti alikuwa na boyfriend wake lakini hawakufikia kuoana
Jamaa akatafuta msichana mwingine akaoa,
Hicho ndo alichosema Dena Nyamayao,hawakufikia kuona,that means wote wawili,decision yawezekana ilikuwa yao au kuna jambo lilitokea ikabidi waachane na mwanaume atafute mwingine.Hivi Dena yuko wapi mbona hatusaidii kumsaidia?????
Ndio wewe 24/7 si mchezo lazima uombe maji ya kunywa
sasa kuna raha hapo.....?
ukitoka milimani nitakuelezea vizuri........:smile-big::smile-big:
Kuna binti alikuwa na boyfriend wake lakini hawakufikia kuoana
Jamaa akatafuta msichana mwingine akaoa, wakaishi miaka karibuni 8
Wakajaaliwa watoto 3 wakati anatarajia kupata mtoto wa 4 mama huyo
akapata kifafa cha uzazi akafariki yeye na mtoto (RIP)
Baada ya kukaa miaka miwili bila mke kwa bahati mbaya au nzuri
akakutana na yule girlfriend wake wa zamani walieachana
Akiwa hajaolewa wala kuzaa. Jamaa anamtaka amuoe hii imekaaje wapendwa??
Kuna mapenzi kweli hapo au nikutafuta pumziko na kuondoa machungu?????
Mie haijanikalia vyema kiukweli.