Mimi sikuona sign yoyote na huyu muaandaaji wala hakuwa karibu kabisa na meza kuu yeye alikuwa busy na vyakula na vinywaji kwa wageni huyu mama mwingine ndo alikuwa anahudumia meza kuu. May be mume wake hakumwambia aliyeandaa?? Sikuuliza sana maana unaweza kuambiwa umbea bure ukaharibu na sherehe za watu. ila mimi nilipata msituko kidogo haaa
Pia tukumbuke pamoja na kugombana kama wapenzi maisha bado yanaendelea, ipo siku mtakutana. Hakuna haja ya kuwekeana visasi mpaka mnavuana na c***i mlizopeana zawadi wakati mkiwa kwenye good terms
Hilo hata mimi nimeliona maana unakumbushwa na mtu wa more than 10yrs? Aibu ningekuwa mimi nisihudhuria kabisa
Lol huyo mke kazubaa sana hivi nafikiri mie nifanyiwe bday na x wangu niende n a mume wangu hivi inakujaje hapo. atleast wangejifanyia wenyewe mchana kuliko kuwachoresha wenzao
<br />Hakuwepo hata mimi niliuliza akasema hayupo nchini kwa almost three month
kuna kupitiwa jamani, yeye ni binadamu kama wengine labda alijisahau, kuna mambo mengi humu ndani ya nyumba so kwa kusaidiana tunaweza kukumbushana pia sio mbaya na huyu x kukumbuka bday ya huyo kaka haimaanishi kwamba ndio alimpenda/walipendana kwa dhati...mbona hawakuishi pa1?.....Dena mie wala nicngejuta ningeeenda na ningeshukuru kuondoka bila kujua nani kaandaa hiyo party coz ningejua yangekuwa mengine.
kwa ujumla huyu x ana kiherehere....
Na huyo mke aliendaje kwenye shughuli asiyojua mwandazi? Nadhani hajui wajibu wake ndo maana wenzie wanamsaidia.
hii ya kuwa marafiki na ex mwenzenu ilinishinda kabisa, ni drama tu mda wowote mnamegana, hasa kama uliachwa bado unapenda ni ngumu kushinda majaribu
sitaki kusikia habari ya ex kwenye mahusiano yangu kabisa, huyo mama anaibiwa
Buke tunaambiwaga ofc imejitolea kunifanyia party...hii kitu imenigusa sana coz friday na mie niliambiwa utumbo huu huu nikaenda kwenye bday party iliyoandaliwa na wafanyakazi wenzake...
Nzuri sana Elia,
Kweli kabisa maana mie nilibaki na mshangao sana hata sikufaidi sherehe maana nilibaki namwangalia maza hausi kila anachotenda ni kabaki nastaajabu tu maana mie lazima ningeuliza nani kaandaa na imekuwaje na maswali meeengi mengi tu nadha
ni hata majibu angeyakosa. na mwisho NINGEONDOKA ENEO LA TUKIO[/QUOTE]
cku nyingine usiondoke mpaka ujue muafaka...halafu hapo mafrnd wa mr wapo shemeji shemeji ...khaaaa jamani jamani mbona tunadhalilishana hivi?
Ashukuru mungu aliambiwa na yeye aende maana next time atakumbuka kumuandalia mumewe birthday party au hata kumualika chakula cha jioni kama hela ya kuandaa party hatakua nayo, mwingine ndio hata asingeambiwa mwanaume angejiondokea kimya kimya kujirudia usiku amelewa
Hizo point nzito sana aisee
Dena ndo hivyo katika kuachana sio kwamba wote wawili mnakuwa mmechokana, mmoja wapo atakuwa bado anapenda na anatamani warudiane, sasa mtu kama huyu akiombwa gemu hawezi kubisha lazima atoe tu, huku akiamini labda watarudiana,
Mimi urafiki na ex big NO labda tukutane njiani nitamsalimia
Nyamayao mpenzi umepotea hivyo kuna ni jamani tumekumiss lol. Umeona ee hata mimi ningeenda kabisa kama alimpenda si angemwoa ila ni vizuri kama ulivyosema bora uondoke usijue ni nani alieandaa hiyo party
kwa ujumla huyu x ana kiherehere....
Hiyo kweli wanaume ndo zao hizo tena akishaonja anaanza madharau kama alikuwa anakupigia simu ujue kazi imehamia kwako halow darling mbona kimya utasikia "Kazi nyingi sana" Hebu nipigie baadae kidogo niko kwenye kikao wakati mwanzoni alikuwa anapiga sijui vikao havikuwepo ha ha ha ha wanaume bana nawapenda kweli kwa mambo yenu