Hii imekaaje wapendwa

Hii imekaaje wapendwa

Mimi sikuona sign yoyote na huyu muaandaaji wala hakuwa karibu kabisa na meza kuu yeye alikuwa busy na vyakula na vinywaji kwa wageni huyu mama mwingine ndo alikuwa anahudumia meza kuu. May be mume wake hakumwambia aliyeandaa?? Sikuuliza sana maana unaweza kuambiwa umbea bure ukaharibu na sherehe za watu. ila mimi nilipata msituko kidogo haaa

Atakuwa alifichwa huyo bidada, wanawake na sie tuna viherehere wewe bday ya mume wa mwenzio unaivalia njuga namna hiyo.basi atakuwa mke hajui. mwisho wake iliisha salama?
 
Pia tukumbuke pamoja na kugombana kama wapenzi maisha bado yanaendelea, ipo siku mtakutana. Hakuna haja ya kuwekeana visasi mpaka mnavuana na c***i mlizopeana zawadi wakati mkiwa kwenye good terms

inategemana sana mliachanaje....wengine hatutaki hata kupishana nao rodini coz cku nzima itakuwa imeshaharibika.
 
Hilo hata mimi nimeliona maana unakumbushwa na mtu wa more than 10yrs? Aibu ningekuwa mimi nisihudhuria kabisa


kuna kupitiwa jamani, yeye ni binadamu kama wengine labda alijisahau, kuna mambo mengi humu ndani ya nyumba so kwa kusaidiana tunaweza kukumbushana pia sio mbaya na huyu x kukumbuka bday ya huyo kaka haimaanishi kwamba ndio alimpenda/walipendana kwa dhati...mbona hawakuishi pa1?.....Dena mie wala nicngejuta ningeeenda na ningeshukuru kuondoka bila kujua nani kaandaa hiyo party coz ningejua yangekuwa mengine.
 
Lol huyo mke kazubaa sana hivi nafikiri mie nifanyiwe bday na x wangu niende n a mume wangu hivi inakujaje hapo. atleast wangejifanyia wenyewe mchana kuliko kuwachoresha wenzao

kwa ujumla huyu x ana kiherehere....
 
kuna kupitiwa jamani, yeye ni binadamu kama wengine labda alijisahau, kuna mambo mengi humu ndani ya nyumba so kwa kusaidiana tunaweza kukumbushana pia sio mbaya na huyu x kukumbuka bday ya huyo kaka haimaanishi kwamba ndio alimpenda/walipendana kwa dhati...mbona hawakuishi pa1?.....Dena mie wala nicngejuta ningeeenda na ningeshukuru kuondoka bila kujua nani kaandaa hiyo party coz ningejua yangekuwa mengine.

Nyamayao mpenzi umepotea hivyo kuna ni jamani tumekumiss lol. Umeona ee hata mimi ningeenda kabisa kama alimpenda si angemwoa ila ni vizuri kama ulivyosema bora uondoke usijue ni nani alieandaa hiyo party
 
kwa ujumla huyu x ana kiherehere....


Tena kiherehere haswa unaingia migharama kumuandalia mume wa mwenzio party wakati una mumeo na familia inayokutegema akitoka hapo kwa mkewe wewe kuonana mpaka adanganye kwake lakini upo tu kujiingiza magharama makubwa hivyo.
 
maisha fulani ambayo ni kawaida sana huko mashariki ya mbali kwa kina Nyani Ngabu! Kwa hapa kwetu ngumu sana hii... I wish DA utuletee mrejesho nyuma baada ya mwenye mali kurejea.
 
Na huyo mke aliendaje kwenye shughuli asiyojua mwandazi? Nadhani hajui wajibu wake ndo maana wenzie wanamsaidia.


Buke tunaambiwaga ofc imejitolea kunifanyia party...hii kitu imenigusa sana coz friday na mie niliambiwa utumbo huu huu nikaenda kwenye bday party iliyoandaliwa na wafanyakazi wenzake...
 
hii ya kuwa marafiki na ex mwenzenu ilinishinda kabisa, ni drama tu mda wowote mnamegana, hasa kama uliachwa bado unapenda ni ngumu kushinda majaribu

sitaki kusikia habari ya ex kwenye mahusiano yangu kabisa, huyo mama anaibiwa

Hizo point nzito sana aisee
 
Buke tunaambiwaga ofc imejitolea kunifanyia party...hii kitu imenigusa sana coz friday na mie niliambiwa utumbo huu huu nikaenda kwenye bday party iliyoandaliwa na wafanyakazi wenzake...

Duh pole sama mwaya inawezekana nae huyo kachomekea wafanyakazi wenzake kumbe humo ndani kuna ex aahh siombe hiyo iwe hivyo
 
Nzuri sana Elia,

Kweli kabisa maana mie nilibaki na mshangao sana hata sikufaidi sherehe maana nilibaki namwangalia maza hausi kila anachotenda ni kabaki nastaajabu tu maana mie lazima ningeuliza nani kaandaa na imekuwaje na maswali meeengi mengi tu nadha
ni hata majibu angeyakosa. na mwisho NINGEONDOKA ENEO LA TUKIO[/QUOTE]

cku nyingine usiondoke mpaka ujue muafaka...halafu hapo mafrnd wa mr wapo shemeji shemeji ...khaaaa jamani jamani mbona tunadhalilishana hivi?
 
Ashukuru mungu aliambiwa na yeye aende maana next time atakumbuka kumuandalia mumewe birthday party au hata kumualika chakula cha jioni kama hela ya kuandaa party hatakua nayo, mwingine ndio hata asingeambiwa mwanaume angejiondokea kimya kimya kujirudia usiku amelewa

kuna watu mpo sensitive sana...mie bday yangu mwaka jana alisahau/pitiwa ckujali kabisa zaidi kwenye mida ya saa 12 mchana ndio nikamtumia sms kumkmumbusha, alisema samahani mambo yakaendelea, sio big deal kwangu na sio lazima akumbuke na hii miparangano ya maisha kuna kupitiwa jamani, mamangu mzazi anasahau kaniazaa lini nije nimshikike mtoto wa watu bastola kwa kupitiwa kukumbuka?....huyu mwanamke ana kimbembele chake, hapo inaonyesha bado anampenda huyo bwana....
 
Hizo point nzito sana aisee


Dena ndo hivyo katika kuachana sio kwamba wote wawili mnakuwa mmechokana, mmoja wapo atakuwa bado anapenda na anatamani warudiane, sasa mtu kama huyu akiombwa gemu hawezi kubisha lazima atoe tu, huku akiamini labda watarudiana,

Mimi urafiki na ex big NO labda tukutane njiani nitamsalimia
 
Dena ndo hivyo katika kuachana sio kwamba wote wawili mnakuwa mmechokana, mmoja wapo atakuwa bado anapenda na anatamani warudiane, sasa mtu kama huyu akiombwa gemu hawezi kubisha lazima atoe tu, huku akiamini labda watarudiana,

Mimi urafiki na ex big NO labda tukutane njiani nitamsalimia

Kwa kweli hapa nakuunga mkono kwa hili hata mie huwa sipendi maana saa nyingine naona kama karoho kanauma vile
 
Nyamayao mpenzi umepotea hivyo kuna ni jamani tumekumiss lol. Umeona ee hata mimi ningeenda kabisa kama alimpenda si angemwoa ila ni vizuri kama ulivyosema bora uondoke usijue ni nani alieandaa hiyo party



nipo dearest, mambo yalikuwa yamebana sana....hope ni mzima wa afya!....Maty kwangu mie ni bora nicjue kabisa coz hii ishu ingewahusu wote mr/x...wewe umemwandalia kama nani/wewe umenileta huku umeandaliwa na x wako kuja kunichoresha ama....hii hotuba ingehitimishwa pasaka walaahh.
 
Hao ma-EXs wote hakuna hata mmoja aliye serious na ndoa yake na si ajabu "nyuma ya pazia" wakawa na mahusiano ya unyumba kama kawaida.
 
Hiyo kweli wanaume ndo zao hizo tena akishaonja anaanza madharau kama alikuwa anakupigia simu ujue kazi imehamia kwako halow darling mbona kimya utasikia "Kazi nyingi sana" Hebu nipigie baadae kidogo niko kwenye kikao wakati mwanzoni alikuwa anapiga sijui vikao havikuwepo ha ha ha ha wanaume bana nawapenda kweli kwa mambo yenu

DA, hebu nijibu kwanza haya maswali.

1. Samaki wako umeenda mtoni/ziwani (tena Vicoria au Lweru) ukamvua na tayari yuko kwenye kikaango, unaweza kumlisha tena chambo kama wewe siyo chizi?

2. Una soda yako iko kwenye friji (tena yako, siyo kwa kaka au shemeji), unaweza kutoa pesa ukainunua tena?

Nitakuja baadaye tuendelee na mada!!
 
Back
Top Bottom