Hii imekaaje watu wa mitazamo ya mbali, uwekeze Mil. 330,000,000 upate Mil. 27,500,000 kwa mwaka?

Hii imekaaje watu wa mitazamo ya mbali, uwekeze Mil. 330,000,000 upate Mil. 27,500,000 kwa mwaka?

hii kazi ninayo fanya unatumia msuli sna na pia mda uliotumika ni wa jasho na damu.kwa sasa mataka nipumzike ktk style ya utaftaj nibadili.ndo maana yakurudi hapa chanzo cha madini mengi.kuna watu watanielewa kazi za uchimbaj ni ngumu sna na kilicho nifanya nibadili aina ya kazi nikuona wengi wanapata 800m,500m,150m sasa baada ya muda unakuta hawapo tena ktk ramani.inabaki historia tu sasa niliona nahitaj badiliko.
Jenga nyumba bro.
Kuna principle moja kubwa kwenye uwekezaji na risk.
The lower the risk , the lower return, the higher the risk the higher the return
Uwekezaji wa nyumba za biashara una low risk na return yake ni ndogo
Kipato chake kinaitwa passive income, fedha inaingia bila kutumia jasho .
Nyumba zinazolipa haraka ni guest house au lodges ila kupangisha familia inalipa kidogokidogo.
Kama vipi kwa hela yako hiyo unawezajenga Lodge sehemu iliyochangamka ukarudisha fedha haraka.
Aisha uwekezaji unaolipa haraka ila una risk kubwa sana ni biashara ya usafirishaji ie daladala.
Mimi na mpango nikifikisha virental 15 na hamia kwenye usafirishaji.
Nakushauri Kwa hiyo fedha tafuta eneo zuri jenga nyumba za kupangisha vyumba 3 ni vingi unaweza pata shida kupangisha Kwa haraka, jenga vyumba 2 choo ,jiko na sebule na vingine jenga Chumba 1 ,sebule choo na jiko utapangisha Kwa haraka na utakuwa na unit nyingi.
Utakuwa unakula kilaini.
Kuna Mzee wangu flani kutumia 300 m kajenga nyumba za kupangisha ya vyumba 2 kimoja master ,public toilet jiko na sebule.kapangisha kila moja laki 3
 
Binafsi mm nko km ww. Siamini ktk uwekezaji wa nyumba. Nakumbuka mwaka juzi nilinunua Mpunga gunia 100 kwa gharama ya 5M. Baada ya miezi 6 nikauza nikapata 8M. Faida nilipata 3M. So binafsi siwez kuwekeza kwny nyumba kwa huu utamu nilioupata. Nunua Mpunga hutojuta
thabit Karim;unacho kisema nakuelewa vzuri.niliwahi kwenda sehemu moja mpanda kijiji kinaitwa st maria nikakuta wananunua mpunga wanapeleka kahama.daah nikajifanya mtarii wa ndani nikaenda hadi kahama kupitia tabora kutokea Njia ya lumambo kahama daah.walikuwa wanaenda Mashineni wanakoboa alafu ule Mchele unaachwa unapoa,wakina mama wapo special kwa kusugua ule Mchele ukisha mwagiwa mafuta ya kula.kumbe ukiupaki kwenye Mifuko nakauzito kanaongezeka.wanauziwa waganda,Rwanda na warundi.mpanda wengine walikuwa wanapeleka Mchele kigoma wanavukia KIBIRIZI wanapakia kwenye maboti to Congo.(BIASHARA nzuri ila uhaminifu ndo shida)Fanya mwenyewe usiungane na mtu watu wamebadilika sna.
 
Habar za mda huu ndg na Jamaa ktk jukwaa hili.

Mimi binafsi akili imegoma Kujenga nyumba 11, kila nyumba iwe na vigezo vifuatavyo.

1.S/room 1
2. Vyumba vya kulala viwili kimoja master
3. Jiko
4. dining
5. choo cha public
6. stoo (nje ya gharama ya viwanja)sasa hii nyumba ikamilike ya kisasa itaghalimu 30m.

Kwa idadi ya nyumba 11 itaghalimu 330M.

kutokana na Mkoa husika kwa thamani ya nyumba hiyo utapangisha kwa gharama ya 2,500,000M, ikitokea bahati ukapangisha kwa 3M.

Sasa twende kwenye point unawekeza 330M unakuja kupata return yake kwa mwaka 27,500,000M.

Huu kitu imenifanya nione utajenga kama sifa ila siyo kuwa utakuwa na hela, maana ili uwanze kupata faida nimiaka 11, 12 toka umeanza kuweka vichwa.

Tusaidiane mawazo ndg ZANGU namna yakutengeneza utajiri wa akili, fikra na mitazamo mipana zaidi, najua wapo walio wekeza sehemu tofauti tofauti ila kwa nyanja Nyingine tofauti na ujenzi na wanapiga hela naomba MAWAZO yenu mitazamo yenu pia.

Hofu yangu unaweza ukawekeza kiasi kidogo lakini return yake kwa mwaka ukaipata ata ndani ya miezi 6, hiki ndo ninacho kihitaji ndg ZANGU.

Pia sina maana mbaya yakuwa watu wasiwekeze ktk nyumba hapana ila kwa Mimi hesabu zangu zinakataa tu, kama kwa kulenga kizazi chako ndo kiwape faida sawa, ila kwa Mimi ambaye nakitazama hicho kinanipa shida Ki-fikra.

Baada ya miaka 10 ukiwekeza hii Pesa ndo ninako jiona ila siyo ktk nyumba,
msaada wenu wadau.

Ahsante.
Endeléeni kulamba
 
Jenga nyumba bro.
Kuna principle moja kubwa kwenye uwekezaji na risk.
The lower the risk , the lower return, the higher the risk the higher the return
Uwekezaji wa nyumba za biashara una low risk na return yake ni ndogo
Kipato chake kinaitwa passive income, fedha inaingia bila kutumia jasho .
Nyumba zinazolipa haraka ni guest house au lodges ila kupangisha familia inalipa kidogokidogo.
Kama vipi kwa hela yako hiyo unawezajenga Lodge sehemu iliyochangamka ukarudisha fedha haraka.
Aisha uwekezaji unaolipa haraka ila una risk kubwa sana ni biashara ya usafirishaji ie daladala.
Mimi na mpango nikifikisha virental 15 na hamia kwenye usafirishaji.
Nakushauri Kwa hiyo fedha tafuta eneo zuri jenga nyumba za kupangisha vyumba 3 ni vingi unaweza pata shida kupangisha Kwa haraka, jenga vyumba 2 choo ,jiko na sebule na vingine jenga Chumba 1 ,sebule choo na jiko utapangisha Kwa haraka na utakuwa na unit nyingi.
Utakuwa unakula kilaini.
Kuna Mzee wangu flani kutumia 300 m kajenga nyumba za kupangisha ya vyumba 2 kimoja master ,public toilet jiko na sebule.kapangisha kila moja laki 3
Mnengene:ahsante ndo nilicho fanya Vyumba viwili,Sebule,jiko,Vyumba vyote vina choo.
 
Mnengene:ahsante ndo nilicho fanya Vyumba viwili,Sebule,jiko,Vyumba vyote vina choo.
Hongera sana , rental business unapata passive income
Ni uwekezaji mzuri nimeona hata wamarekani wengine wenye vipato wanafanya hivyo marekani halafu wenyewe wanaenda kuishi maisha simple/ cheap but luxurious Bali indonesia.
Hongera hutojuta
 
Mkuu umapambama wapi embu toa ramani
Embu tuoneshe wanavyo fanya uko marekani au tupe uzoefu ulio uona uko.mmi mchimbaj mdogo mdogo wamadini aina ya dhahabu.karibu nchi ya amani na upendo,ajira hazipo ila kazi zipo.
 
Habar za mda huu ndg na Jamaa ktk jukwaa hili.

Mimi binafsi akili imegoma Kujenga nyumba 11, kila nyumba iwe na vigezo vifuatavyo.

1.S/room 1
2. Vyumba vya kulala viwili kimoja master
3. Jiko
4. dining
5. choo cha public
6. stoo (nje ya gharama ya viwanja)sasa hii nyumba ikamilike ya kisasa itaghalimu 30m.

Kwa idadi ya nyumba 11 itaghalimu 330M.

kutokana na Mkoa husika kwa thamani ya nyumba hiyo utapangisha kwa gharama ya 2,500,000M, ikitokea bahati ukapangisha kwa 3M.

Sasa twende kwenye point unawekeza 330M unakuja kupata return yake kwa mwaka 27,500,000M.

Huu kitu imenifanya nione utajenga kama sifa ila siyo kuwa utakuwa na hela, maana ili uwanze kupata faida nimiaka 11, 12 toka umeanza kuweka vichwa.

Tusaidiane mawazo ndg ZANGU namna yakutengeneza utajiri wa akili, fikra na mitazamo mipana zaidi, najua wapo walio wekeza sehemu tofauti tofauti ila kwa nyanja Nyingine tofauti na ujenzi na wanapiga hela naomba MAWAZO yenu mitazamo yenu pia.

Hofu yangu unaweza ukawekeza kiasi kidogo lakini return yake kwa mwaka ukaipata ata ndani ya miezi 6, hiki ndo ninacho kihitaji ndg ZANGU.

Pia sina maana mbaya yakuwa watu wasiwekeze ktk nyumba hapana ila kwa Mimi hesabu zangu zinakataa tu, kama kwa kulenga kizazi chako ndo kiwape faida sawa, ila kwa Mimi ambaye nakitazama hicho kinanipa shida Ki-fikra.

Baada ya miaka 10 ukiwekeza hii Pesa ndo ninako jiona ila siyo ktk nyumba,
msaada wenu wadau.

Ahsante.
Biashara ya real estate kwa ninavyofahamu ni biashara isiyotegemea faida ya muda mfupi, faida yake huja mwaka wa 10 huko na kuendelea. Kama wazo ninkupata pesa kwa muda mfupi zipo biashara mbalimbali kutegemeana na interest ya muwekezaji husika.
 
Back
Top Bottom