Hii imekaaje watu wa mitazamo ya mbali, uwekeze Mil. 330,000,000 upate Mil. 27,500,000 kwa mwaka?

Hii imekaaje watu wa mitazamo ya mbali, uwekeze Mil. 330,000,000 upate Mil. 27,500,000 kwa mwaka?

Bnafs naomba kujua umri wako for me kma ww n kijna ni uoga kuwekeza hiyo pesa kwenye real easte maybe ufanye 50/50 aslmia 50 uwekeze kwenye nyumba alafu 50 uwekeze kwenye biashra.
Kama n mzee kuanzia 50's uko sawa wekeza huko 100% biashra n ngumu yec but kma kijana lazima upambne na hizo changamoto zootee Ili uwe na financial stable ya mda mrefu [emoji120].
 
Bnafs naomba kujua umri wako for me kma ww n kijna ni uoga kuwekeza hiyo pesa kwenye real easte maybe ufanye 50/50 aslmia 50 uwekeze kwenye nyumba alafu 50 uwekeze kwenye biashra.
Kama n mzee kuanzia 50's uko sawa wekeza huko 100% biashra n ngumu yec but kma kijana lazima upambne na hizo changamoto zootee Ili uwe na financial stable ya mda mrefu [emoji120].
Hata biashara ni lazima upambane zisimane juu ya assets.

Huwezi kuanzisha biashara ya kumbi za starehe, bars, hotel juu ya majengo ya watu halafu ukategemea hiyo biashara itakuwa endelevu. Too risky
 
Bnafs naomba kujua umri wako for me kma ww n kijna ni uoga kuwekeza hiyo pesa kwenye real easte maybe ufanye 50/50 aslmia 50 uwekeze kwenye nyumba alafu 50 uwekeze kwenye biashra.
Kama n mzee kuanzia 50's uko sawa wekeza huko 100% biashra n ngumu yec but kma kijana lazima upambne na hizo changamoto zootee Ili uwe na financial stable ya mda mrefu [emoji120].
Gb490:sijajua umewaza nni ktk umri ila umri nikupambana na yanayokutokea.nikijana mpambanaji kwa kifupi.pia nashukuru kwa ushauri wako naufanyia kazi
 
Mkuu mie nakushauri usirudi nyuma narudia Tena usirudi nyuma narudia Tena usirudi nyuma kwa sababu zifuatazo:
1-risk Ni ndogo
2- hakuna kushuka thamani ya bidhaa yako i.e Iyo nyumba ukisema uje kuuza after 10yrs utaweza uza like 600M.
3- both mental and financial capital ziko salama mno hakuna usumbufu na watu ama wafanyakazi otherwise like ukinunua coaster ama hiace ama bizness ingine.
4- unaweza ukazichukulia mkopo wa kujenge zingine tano Sasa ukawa na nyumba 15 so zote hizo 15 zikawa zinatumika kulipa mkopo. You've to leverage with others money, time, and all resources ili usonge mbele.
Sasa unazo 15 kwa 3m kwa mwaka unazo 45M Kama umechukua mkopo wa 160M utaulipwa nadhani ndani ya 5yrs umemaliza mkopo wao mkuu.

Baada ya hapo unachukua Tena mkopo wa nyumba 10 ambao Ni 350M unajenga zingine 10 jumla una nyumba 25 so kwa mwaka 75 Ni ndani ya miaka mitano unamaliza mkopo wao, yaani unaendelea ivyo ivyo mkuu kikubwa discipline ndio kila kitu. Fungua akaunti kwa ajili ya huo mradi yaani hela ya Kodi ya nyumba usiishike ikiwekwa huko benki wanachukua Chao ama ufungue loji uweke CCTV kamera uwe unazifuatilia japo zinahitaji close monitoring.

5- hakuna Cha economic crisis i.e inflation kwako ujue.
6- urithi mzuri kwa kizazi chako kwa baadaye na unaweza ukawa na real estate business ya uhakika baadaye ukaifnaya ikawa ama ukaisajili na abnb kwa ajili ya kupata wateja wa nje.


Naomba usirudi nyumba. Wekeza kwa basic needs za binadamu like houses aka shelter ,foods iwe isiwe lazima watu watakula ama watalala hakuna ku spare hizo basics.

Yangu Ni hayo mkuu.

Waza for 30 yrs to come utakuwa mbali mno yaani Ile uko like 60/70s wenzako wanakutamania mno yaani mno.

Yaani utashangaa unakuwa na jina na unapewa uenyekiti ccm mkoa ama wilaya Mara mbunge,kumbuka like attracts likes.
Hapo ndipo utachukua mkopo wa bilioni plus na kushusha vitu vyako kila mji mkubwa hapa tz.

Nakuombea uendelee ivyo ivyo yaani uwe litajiri ili utoe ugali kwa vijana wengi mno mtaani.


Vijana wangekuwa waaaminifu ningekuambia agiza boda zako like 150, halafu wape vijana kila boda now mktaba halafu usiwe na tamaa wewe waambie kuwa unahitaji profit ya laki sita kila boda hizi unaagiza direct from China. So kwa hizo boda zako 150*.6 unazo 90M kwa mwaka ukifanya like 10 yrs you're untouchable sema Sasa sie wazembe tunapenda kula asali pasipo kung'atwa na nyuki ujue.
Ama tunawaza kuiba ,na ndio Mana afrika matajiri Ni wachache ambao sio politicians or sio wezi ama wa magendo

Ushauri mzuri
 
Habarini wana jf,nimerudi napambana bado.ila nilipitia ushauri wenu nikaamua kufanya ujenzi.na kurudi Mara nyingine kupambana tena.
IMG_20210502_131127.jpg
 
Habar za mda huu ndg na Jamaa ktk jukwaa hili.

Mimi binafsi akili imegoma Kujenga nyumba 11, kila nyumba iwe na vigezo vifuatavyo.

1.S/room 1
2. Vyumba vya kulala viwili kimoja master
3. Jiko
4. dining
5. choo cha public
6. stoo (nje ya gharama ya viwanja)sasa hii nyumba ikamilike ya kisasa itaghalimu 30m.

Kwa idadi ya nyumba 11 itaghalimu 330M.

kutokana na Mkoa husika kwa thamani ya nyumba hiyo utapangisha kwa gharama ya 2,500,000M, ikitokea bahati ukapangisha kwa 3M.

Sasa twende kwenye point unawekeza 330M unakuja kupata return yake kwa mwaka 27,500,000M.

Huu kitu imenifanya nione utajenga kama sifa ila siyo kuwa utakuwa na hela, maana ili uwanze kupata faida nimiaka 11, 12 toka umeanza kuweka vichwa.

Tusaidiane mawazo ndg ZANGU namna yakutengeneza utajiri wa akili, fikra na mitazamo mipana zaidi, najua wapo walio wekeza sehemu tofauti tofauti ila kwa nyanja Nyingine tofauti na ujenzi na wanapiga hela naomba MAWAZO yenu mitazamo yenu pia.

Hofu yangu unaweza ukawekeza kiasi kidogo lakini return yake kwa mwaka ukaipata ata ndani ya miezi 6, hiki ndo ninacho kihitaji ndg ZANGU.

Pia sina maana mbaya yakuwa watu wasiwekeze ktk nyumba hapana ila kwa Mimi hesabu zangu zinakataa tu, kama kwa kulenga kizazi chako ndo kiwape faida sawa, ila kwa Mimi ambaye nakitazama hicho kinanipa shida Ki-fikra.

Baada ya miaka 10 ukiwekeza hii Pesa ndo ninako jiona ila siyo ktk nyumba,
msaada wenu wadau.

Ahsante.
Msininunukuu vibaya, biashara ya nyumba sio biashara kichaa lakini mimi sipendezwi nayo. Kama ulivyosema mtoa mada, unagharamia 30M kujenga nyumba moja ili upate kodi ya 2.5M kwa mwaka.

Na hapo itokee umemaliza tu kujenga akapatikana mteja, inaweza ukamaliza kujenga leo mteja ukapata baada ya miezi mitatu mpaka mwaka. Hilo la kwanza

La pili: ili uendelee kupangisha hiyo nyumba kwa kodi ya 2.5M kama ulivyoanza nayo utalazimika nyumba yako kuifanyia repair, uibadilishe muoneko izidi kuwa ya kisasa. Ukijenga leo 2023 baada ya miaka 10 that means 2033 hiyo nyumba bila repair huwezi pangisha kwa 2.5M itapungua.

La tatu; watu watasema nyumba inapanda thamani, ukweli ni kwamba nyumba haipandi thamani kinachopanda thamani ni kiwanja. Eneo husika nyumba ilipo ndo inapanda thamani ndo maana unaweza kukuta nyumba ya kawaida sana ya kizamani mno inauzwa 500M kariakoo lakini nyumba nyengine kali tu ya kisasa kabisa ikauzwa 200M huko Matipwili. Kwahiyo unapoamua kujenga nyumba ya biashara zingatia sana eneo, eneo zuri litakupa wateja wa kutosha pia itapandisha thamani ya kiwanja chako au ndo tuseme nyumba.

USHAURI WANGU: Kama unayo hiyo 330M, jenga nyumba chache zikizidi sana nyumba nne, pesa inayobaki tafuta uwekezaji mwengine uufanye. Jaribu kutupia jicho pia kwenye hatifungani za serikali. Hatifungani za miaka 25 itakupa return ya zaidi ya 42M kwa mwaka kwa miaka 25 mfululizo kama ukiwekeza 330M

HITIMISHO: Jenga nyumba chache kuwa selective sana kwenye eneo, jenga nyumba ya kibiashara iwe simple lakini itakayomshawishi mteja kutoa 2.5M kwa mwaka. Pesa inayobaki fanya uwekezaji mwengine.

Nyumba nne zitakugharimu 120M (@30M). 150M peleka kwenye hatifungani za serikali, bid ile ya miaka 25. Kiasi kitakachobaki (60M) fanya biashara, au kama hutaki hekaheka za biashara fanya uwekezaji mwengine. Ni vizuri sana kutawanya pesa zako. Usiweke mayai yote katika kapu moja.
 
Habarini wana jf,nimerudi napambana bado.ila nilipitia ushauri wenu nikaamua kufanya ujenzi.na kurudi Mara nyingine kupambana tena.View attachment 2477941
Pongezi sana ndugu kwa uthubutu na maamuzi uliyochukua. Pesa yako iko mahali salama hata kama itachukua muda kurudi.

Hizi biashara nyingine zinachangamoto unaweza kuingia kichwa kichwa ukalamba mchanga ndani ya mwaka mmoja.
 
Msininunukuu vibaya, biashara ya nyumba sio biashara kichaa lakini mimi sipendezwi nayo. Kama ulivyosema mtoa mada, unagharamia 30M kujenga nyumba moja ili upate kodi ya 2.5M kwa mwaka.

Na hapo itokee umemaliza tu kujenga akapatikana mteja, inaweza ukamaliza kujenga leo mteja ukapata baada ya miezi mitatu mpaka mwaka. Hilo la kwanza

La pili: ili uendelee kupangisha hiyo nyumba kwa kodi ya 2.5M kama ulivyoanza nayo utalazimika nyumba yako kuifanyia repair, uibadilishe muoneko izidi kuwa ya kisasa. Ukijenga leo 2023 baada ya miaka 10 that means 2033 hiyo nyumba bila repair huwezi pangisha kwa 2.5M itapungua.

La tatu; watu watasema nyumba inapanda thamani, ukweli ni kwamba nyumba haipandi thamani kinachopanda thamani ni kiwanja. Eneo husika nyumba ilipo ndo inapanda thamani ndo maana unaweza kukuta nyumba ya kawaida sana ya kizamani mno inauzwa 500M kariakoo lakini nyumba nyengine kali tu ya kisasa kabisa ikauzwa 200M huko Matipwili. Kwahiyo unapoamua kujenga nyumba ya biashara zingatia sana eneo, eneo zuri litakupa wateja wa kutosha pia itapandisha thamani ya kiwanja chako au ndo tuseme nyumba.

USHAURI WANGU: Kama unayo hiyo 330M, jenga nyumba chache zikizidi sana nyumba nne, pesa inayobaki tafuta uwekezaji mwengine uufanye. Jaribu kutupia jicho pia kwenye hatifungani za serikali. Hatifungani za miaka 25 itakupa return ya zaidi ya 42M kwa mwaka kwa miaka 25 mfululizo kama ukiwekeza 330M

HITIMISHO: Jenga nyumba chache kuwa selective sana kwenye eneo, jenga nyumba ya kibiashara iwe simple lakini itakayomshawishi mteja kutoa 2.5M kwa mwaka. Pesa inayobaki fanya uwekezaji mwengine.

Nyumba nne zitakugharimu 120M (@30M). 150M peleka kwenye hatifungani za serikali, bid ile ya miaka 25. Kiasi kitakachobaki (60M) fanya biashara, au kama hutaki hekaheka za biashara fanya uwekezaji mwengine. Ni vizuri sana kutawanya pesa zako. Usiweke mayai yote katika kapu moja.
Nikiweka milioni 3 kwenye hati fungani kwa miaka 19 napata sh ngapi mkuu
 
Ndugu yangu hongera sana kuwa na mawazo ya kesho ya kukutoa.
Mimi mwaka 2022 Nilichojifunza ni "Uchambuzi wa kitakwimu kutabiri yajayo".
Data acquisition is very important for future profit in any investment/business. Jifunze kutumia data kuwekeza pesa yako.
Mfano mwezi wa sita 2022 data zilionesha kuwa kutakuwa na upungufu wa nafaka nchini na nje ya
nchi, hivyo basi
Kwa kutumia data zile wenye macho, akili na mitaji waliwekeza sehemu sahihi kwa muda mfupi wametengeneza shilingi kwa shilingi. Yani wewe ungetengeneza milioni 700+ ugepapa au kufuata ushauri mzuri ungekuwa unaitafuta bilioni moja.
Jibu la utajiri ni DATA sio wazo la uwekezaji.
 
Pongezi sana ndugu kwa uthubutu na maamuzi uliyochukua. Pesa yako iko mahali salama hata kama itachukua muda kurudi.

Hizi biashara nyingine zinachangamoto unaweza kuingia kichwa kichwa ukalamba mchanga ndani ya mwaka mmoja.
Hizo nyumba ni kama zipo njombe au sio.Hongera ila jiandae kwa changamoto za wapangaji.
 
Habar za mda huu ndg na Jamaa ktk jukwaa hili.

Mimi binafsi akili imegoma Kujenga nyumba 11, kila nyumba iwe na vigezo vifuatavyo.

1.S/room 1
2. Vyumba vya kulala viwili kimoja master
3. Jiko
4. dining
5. choo cha public
6. stoo (nje ya gharama ya viwanja)sasa hii nyumba ikamilike ya kisasa itaghalimu 30m.

Kwa idadi ya nyumba 11 itaghalimu 330M.

kutokana na Mkoa husika kwa thamani ya nyumba hiyo utapangisha kwa gharama ya 2,500,000M, ikitokea bahati ukapangisha kwa 3M.

Sasa twende kwenye point unawekeza 330M unakuja kupata return yake kwa mwaka 27,500,000M.

Huu kitu imenifanya nione utajenga kama sifa ila siyo kuwa utakuwa na hela, maana ili uwanze kupata faida nimiaka 11, 12 toka umeanza kuweka vichwa.

Tusaidiane mawazo ndg ZANGU namna yakutengeneza utajiri wa akili, fikra na mitazamo mipana zaidi, najua wapo walio wekeza sehemu tofauti tofauti ila kwa nyanja Nyingine tofauti na ujenzi na wanapiga hela naomba MAWAZO yenu mitazamo yenu pia.

Hofu yangu unaweza ukawekeza kiasi kidogo lakini return yake kwa mwaka ukaipata ata ndani ya miezi 6, hiki ndo ninacho kihitaji ndg ZANGU.

Pia sina maana mbaya yakuwa watu wasiwekeze ktk nyumba hapana ila kwa Mimi hesabu zangu zinakataa tu, kama kwa kulenga kizazi chako ndo kiwape faida sawa, ila kwa Mimi ambaye nakitazama hicho kinanipa shida Ki-fikra.

Baada ya miaka 10 ukiwekeza hii Pesa ndo ninako jiona ila siyo ktk nyumba,
msaada wenu wadau.

Ahsante.
Ingia transport business Nunua Daladala kama za kutosha budgetbya 200m

Una option mbili
1.Nunua kutoka Japan
2.Nujua kwa mtu umtunzaji wa gari nzuri

Hiyo 27m inarudi kabla ya mwaka kwisha kama na wewe utasimamia vzr
 
Asilimia flani ya wanaojenga hivyo ni wanatakatisha fedha au wanafanya kama long term investment.
Unakuta mtu kapiga bilioni kwenye mishe. Sasa ile kuhofia kuziweka bank na kuchota attention anaamua kuisambaza kwenye real estate ila sio kwamba anajenga eti isomeshe watoto january.

So wewe kama unafanya ufanye kwa malengo na uwe na pesa mara mbili ya hiyo ya kukusukuma kwenye mambo mengine ila huko kwenye kodi fanya kama umechimbia
 
Binafsi mm nko km ww. Siamini ktk uwekezaji wa nyumba. Nakumbuka mwaka juzi nilinunua Mpunga gunia 100 kwa gharama ya 5M. Baada ya miezi 6 nikauza nikapata 8M. Faida nilipata 3M. So binafsi siwez kuwekeza kwny nyumba kwa huu utamu nilioupata. Nunua Mpunga hutojuta
 
Kama ni real estate business.. hiyo return ya kama 8 to 9% kwa mwaka ni sawa kabisa..

Faida yake kubwa utaiona kwenye capital gain endapo value ya hizo nyumba ikipanda thamani..

Na faida nyingine ni kwamba kama una biashara nyingine hizo utazitumia kama collateral ya kupata mkopo.

So unaweza kutumia hiyo 330 million ila ukifanya valuation hapo unaweza kushangaa unapata hata mkopo wa milioni 500 then unai leverage kwenye uwekezaji mngine..

Ndo wealth creation inavofanya kazi hivo..
Hivi nyumba za kupanga na fremu za biashara ni zipi zina lipa haswa ukipata location nzuri
 
Msininunukuu vibaya, biashara ya nyumba sio biashara kichaa lakini mimi sipendezwi nayo. Kama ulivyosema mtoa mada, unagharamia 30M kujenga nyumba moja ili upate kodi ya 2.5M kwa mwaka.

Na hapo itokee umemaliza tu kujenga akapatikana mteja, inaweza ukamaliza kujenga leo mteja ukapata baada ya miezi mitatu mpaka mwaka. Hilo la kwanza

La pili: ili uendelee kupangisha hiyo nyumba kwa kodi ya 2.5M kama ulivyoanza nayo utalazimika nyumba yako kuifanyia repair, uibadilishe muoneko izidi kuwa ya kisasa. Ukijenga leo 2023 baada ya miaka 10 that means 2033 hiyo nyumba bila repair huwezi pangisha kwa 2.5M itapungua.

La tatu; watu watasema nyumba inapanda thamani, ukweli ni kwamba nyumba haipandi thamani kinachopanda thamani ni kiwanja. Eneo husika nyumba ilipo ndo inapanda thamani ndo maana unaweza kukuta nyumba ya kawaida sana ya kizamani mno inauzwa 500M kariakoo lakini nyumba nyengine kali tu ya kisasa kabisa ikauzwa 200M huko Matipwili. Kwahiyo unapoamua kujenga nyumba ya biashara zingatia sana eneo, eneo zuri litakupa wateja wa kutosha pia itapandisha thamani ya kiwanja chako au ndo tuseme nyumba.

USHAURI WANGU: Kama unayo hiyo 330M, jenga nyumba chache zikizidi sana nyumba nne, pesa inayobaki tafuta uwekezaji mwengine uufanye. Jaribu kutupia jicho pia kwenye hatifungani za serikali. Hatifungani za miaka 25 itakupa return ya zaidi ya 42M kwa mwaka kwa miaka 25 mfululizo kama ukiwekeza 330M

HITIMISHO: Jenga nyumba chache kuwa selective sana kwenye eneo, jenga nyumba ya kibiashara iwe simple lakini itakayomshawishi mteja kutoa 2.5M kwa mwaka. Pesa inayobaki fanya uwekezaji mwengine.

Nyumba nne zitakugharimu 120M (@30M). 150M peleka kwenye hatifungani za serikali, bid ile ya miaka 25. Kiasi kitakachobaki (60M) fanya biashara, au kama hutaki hekaheka za biashara fanya uwekezaji mwengine. Ni vizuri sana kutawanya pesa zako. Usiweke mayai yote katika kapu moja.
Enkulu:habar ndg,unacho kisema hapa uko sawa kabisa.hadi sasa nimefanya ila ktk akili yangu nimesema haipo ktk hesabu zangu ila kwa walio toka ktk kiuno.maana siku moja niliwatoa wakasafishe macho,nikakaa pembeni najifanya nachezea simu nika waangalia madogooo...likaja wazo hivi nikikato moto hawa madogo wamekwisha na wao.ndo nikaona nifanye hivyo ndg.ila nimefanya kwa ajiri ya madogo na sikwa hesabu ninazo waza hadi sasa. Ndo maana nikasema narudi kwenye mapambano tena baada yakumalizia hii inshu.nitabaki na mtaji kidogo nikakaze mgongo tena.
 
Pongezi sana ndugu kwa uthubutu na maamuzi uliyochukua. Pesa yako iko mahali salama hata kama itachukua muda kurudi.

Hizi biashara nyingine zinachangamoto unaweza kuingia kichwa kichwa ukalamba mchanga ndani ya mwaka mmoja.
Jooohs:ahsante sna
 
Ndugu yangu hongera sana kuwa na mawazo ya kesho ya kukutoa.
Mimi mwaka 2022 Nilichojifunza ni "Uchambuzi wa kitakwimu kutabiri yajayo".
Data acquisition is very important for future profit in any investment/business. Jifunze kutumia data kuwekeza pesa yako.
Mfano mwezi wa sita 2022 data zilionesha kuwa kutakuwa na upungufu wa nafaka nchini na nje ya
nchi, hivyo basi
Kwa kutumia data zile wenye macho, akili na mitaji waliwekeza sehemu sahihi kwa muda mfupi wametengeneza shilingi kwa shilingi. Yani wewe ungetengeneza milioni 700+ ugepapa au kufuata ushauri mzuri ungekuwa unaitafuta bilioni moja.
Jibu la utajiri ni DATA sio wazo la uwekezaji.
Tangantika:umenipa hongera ila ktk kipindi cha penati umepaisha na ndo unasema ndg.uzuri umekuja ktk kipindi kizuri pia,unakitu cha utofauti umekuja ninako waza ila nisaidie/tusaidie MADINI uliyo nayo pia ahsante.
 
Ingia transport business Nunua Daladala kama za kutosha budgetbya 200m

Una option mbili
1.Nunua kutoka Japan
2.Nujua kwa mtu umtunzaji wa gari nzuri

Hiyo 27m inarudi kabla ya mwaka kwisha kama na wewe utasimamia vzr
Ngapulila:mmi biashara ya magari hapana,kunawatu wanazijua hizo biashara ila siyo mmi.yupo mmoja aliuza mabasi yake mwanza akaenda mbeya kuwekeza kwenye mpunga.nikafatilia nikasikia Jamaa alisema kisa cha kufa mapema na presha yanni.ndo nasikia anaingiza hela kwa sasa kuliko kwenye magari alipo kuwepo.
 
Asilimia flani ya wanaojenga hivyo ni wanatakatisha fedha au wanafanya kama long term investment.
Unakuta mtu kapiga bilioni kwenye mishe. Sasa ile kuhofia kuziweka bank na kuchota attention anaamua kuisambaza kwenye real estate ila sio kwamba anajenga eti isomeshe watoto january.

So wewe kama unafanya ufanye kwa malengo na uwe na pesa mara mbili ya hiyo ya kukusukuma kwenye mambo mengine ila huko kwenye kodi fanya kama umechimbia
BT:nimekaa mda nikiwaz cha kufanya ila Madogo ndo walinifikilisha sna,maana kodi yenyewe hadi hela irudi siyo leo.ndo maana siwazi kwahiki nilicho kifanya nimefumba macho kabisa.alafu naenda kukaza mgongo tena hadi 2024 December nitakuwa najua nachezea wapi?nimejipa miaka miwili ya kutesa Mwili tena
 
Back
Top Bottom