Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Huna akili, mambo ya mzazi wako yanamuhusu vipi mkeo?Hellow african
Wewe tuchukulie ni mzazi una muomba mwanao hela kuna ndugu yenu kafariki unamuuomba hela ya kuchangia kwenye msiba umeongea na mwanao wakiume akakubali vizuri baada ya nusu saa mkweo anakupigia simu anakuambia kuwa hakuna hela kama hakuna ulazima wa kuchangia usichangia wewe utamchukuliaje huyu mkweo?
Mkuu sio mimi mimi siwez kubali uho ujinga ni mshikaji wangu wa karibu sana ndio yamemkutaHuna akili, mambo ya mzazi wako yanamuhusu vipi mkeo?
Yani mmetawaliwa na wanawake kiasi kwamba hakuna kitu unaweza kufanya bila kumshirikisha mke wako?
Huu ni upumbavu na ukemewe kwa nguvu zote, hakuna replacement ya mzazi, tena ficha ujinga wako huu utachekwa, wewe unaweza kumjibu mzazi wake hivyo?
ana msimamo ndio wanaongezekawanaume tumebaki wachache sana
Tena suguHuyo mwanamke nae pia ni jangili
Kama mshikaji wako unakuja kumwombea ushauri kwa kitu na kijinga namna hii basi nawe ni mjinga mwenzieMkuu sio mimi mimi siwez kubali uho ujinga ni mshikaji wangu wa karibu sana ndio yamemkuta
Kwani watu hamuwezi kutoa maoni bila kutumia lugha zisizo na staha? makasiriko ya nini sasa?Kama mshikaji wako unakuja kumwombea ushauri kwa kitu na kijinga namna hii basi nawe ni mjinga mwenzie
Mbona swali la jamaa hata halikustahili majibu ya kejeli hivi? #MentalIllness is real aiseeHuna akili, mambo ya mzazi wako yanamuhusu vipi mkeo?
Yani mmetawaliwa na wanawake kiasi kwamba hakuna kitu unaweza kufanya bila kumshirikisha mke wako?
Huu ni upumbavu na ukemewe kwa nguvu zote, hakuna replacement ya mzazi, tena ficha ujinga wako huu utachekwa, wewe unaweza kumjibu mzazi wake hivyo?
Ina maana mke wake ndiye kichwa cha nyumba. Ina maana hawezi kufanya chochote bila kumshirikisha na kupata ruhusa kutoka kwa mkewe. Ina maana mke wake anamdharau sana ndiyo maana akachukuwa jukumu la kumjibu mkwe wake badala ya kumwambia mume wake amjibu. Huyo jamaa yako ni bwege. Sikilizeni nyie vijana mliolelewa kwa mayai chips: Mwanamme jambo dogo kama hili tena linakuhusu wewe na mzazi wako wala huuulizi au kuomba ushauri kutoka kwa mkeo. Anakuja kusikia baadae kuwa kumbe ulimchangia mzazi wako.Mkuu sio mimi mimi siwez kubali uho ujinga ni mshikaji wangu wa karibu sana ndio yamemkuta
Mumewe anamsikiliza sana mke atakachosema ndichoHii ni fedheha asee.. uyo mke bado yuko Hai ? Hana ata majeraha hadi saivi ?
Kweli wewe ni Mr Devil . Mambo yako ni ya kisharishari tu. Japo sipendi kabisa u-devil lakini kwa hili umepatia!Hii ni fedheha asee.. uyo mke bado yuko Hai ? Hana ata majeraha hadi saivi ?
Mimi mama yake alipo niambia niliwaza je mke mama yake akiomba msaada kwa mwanae yeye anaweza jibu ivyo au uyo mke hatoi msaada kwa wazazi wake?Ina maana mke wake ndiye kichwa cha nyumba. Ina maana hawezi kufanya chochote bila kumshirikisha na kupata ruhusa kutoka kwa mkewe. Ina maana mke wake anamdharau sana ndiyo maana akachukuwa jukumu la kumjibu mkwe wake badala ya kumwambia mume wake amjibu. Huyo jamaa yako ni bwege. Sikilizeni nyie vijana mliolelewa kwa mayai chips: Mwanamme jambo dogo kama hili tena linakuhusu wewe na mzazi wako wala huuulizi au kuomba ushauri kutoka kwa mkeo. Anakuja kusikia baadae kuwa kumbe ulimchangia mzazi wako.
Mda mwingine busara inaitajika ndio maana watu wanasema mapenzi yana nguvu angalie na wake wa kuoa ndugu wa mume walimkata huyo mwanamke kitambo sana mwanamke anavaa kikukuuu amechora tatuu mwanamke anajikoboa wazazi waliona ishara mbaya wakagoma mke akaamua amebebe mimba kwa makusudiHii ni fedheha asee.. uyo mke bado yuko Hai ? Hana ata majeraha hadi saivi ?
Yaani unaona sawa mkeo awe na mamlaka ya kumjibu mama yako?Nitamchukulia Fresh tu!!!..Kuna nini tena!!!
Sasa kama kanipiga limbwata, nifanyeje sasa Ndugu yangu!?? Ndo maana nikajibu "Fresh tu !!! Kuna nini tena!!!" ...Yaani unaona sawa mkeo awe na mamlaka ya kumjibu mama yako?
ovyooo mtu kachora tatuu na kikukuu anavaa bado unaoa si unaoa changu doa kutegemea atabadirika ni upumbavuSasa kama kanipiga limbwata, nifanyeje sasa Ndugu yangu!?? Fresh tu !!!