Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 212
- 428
Kabisa, mimi naweza kumkata hata kofi aseee coz sipendi kelele 😕Kweli mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, mimi naweza kumkata hata kofi aseee coz sipendi kelele 😕Kweli mkuu!
Wamasai,wamang'ati na wasukuma hao wapewe Maua Yao!!kwa upigaji kelele!Yeah tena wanawa
Mwanawane 😂😂😂😂😂Tabia za wasukuma hizo, hadi kwenye basi ni wapiga kelele
"yaani gete nakwampia nale mu basi halafu lina TV yaani mbaka raha.."
[emoji23]Wamasai,wamang'ati na wasukuma hao wapewe Maua Yao!!kwa upigaji kelele!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Abiria mna roho mbaya nyie,nauli yake alipewa?[emoji23]
Wasukuma wamezidi daah kuna mmoja hadi basi zima walimlalamikia dereva ikabidi asimamishe yule dada ashuke.
Huu ni uzi? Kwa umemwandika nani. Kwanini usingemwelezaHabari wanaJF
Hapa ni Sehemu ya kupata maarifa na Elimu mbalimbali!Utakuta mtu kaja nyumbani kwako au Sehemu umekata umejipumzisha na unaongea na simu.
Mara ghafla na yeye anapokea simu na kuweka sauti(Loud speaker)anaanza kuongea hapo hapo !Unakuwa vulugu kama vile mko vilabu vya pombe za kienyeji,wewe unaongea na simu yako na yeye yupo hapo hapo anabwabwaja!
Si atoke nje,maana kakukuta unaongea na simu Huu sio ustaarabu hata kidogo.Kama tumo humu ,tuache haipendezi.
Mkuu, naona unapata sana tabu na neno “Huu”, Huo.Uhu sio ungwa
Ni Uzi ndio kama ule wa kula tundra kimasihara!Huu ni uzi? Kwa umemwandika nani. Kwanini usingemweleza
Inabidi semina za mitandao.Kuna watu wanadhani ukiwa mbali inabidi aongee kwa sauti kubwa kwenye simu ili umsikie.
Sawa Mkuu!Huenda nmakutana sana kweny mabanda ya Mpira na yeye analeta utaratibu wa kelele mpka nyumbn punguza mazoea na watu wa hovyo
Kuna wajinga hawalijuhi hili wao ni kuvutia tu ndani ubaya wa moshi wa sigara ukivuta ndani miezi mitatu mingi sana mtu akiingia tu anajua humu ndani kuna mtu anavuta Sigara maana moshi una kawaida ya kubaki kwa mtindo wa vumbi vumbi na lile vumbi la sigara linatoa harufuMfano mimi siruhusu mtu kuvuta sigara ndani,
Wacha Mkuu!Kuna wajinga hawalijuhi hili wao ni kuvutia tu ndani ubaya wa moshi wa sigara ukivuta ndani miezi mitatu mingi sana mtu akiingia tu anajua humu ndani kuna mtu anavuta Sigara maana moshi una kawaida ya kubaki kwa mtindo wa vumbi vumbi
HakikaYaani ni kero kwa kweli!
Ok kiongozSawa Mkuu!
Wapo wajinga hawalijui hilo Sigara hutakiwi kuvutia ndani ukivuta ndani vumbi vumbi la Sigara linabaki ndani kinachofuata ni kunuka moshi wa Sigara ni sawa na yale majiko ya kuni kule kijijini ukiingia jikoni panatoa harufu fulani hivi ya moshi moshi wa kuni sababu moshi umegandia mule jikoni km vumbi na linatoa harufuWacha Mkuu!
Ahsante kwa somo.Wapo wajinga hawalijui hilo Sigara hutakiwi kuvutia ndani ukivuta ndani vumbi vumbi la Sigara linabaki ndani kinachofuata ni kunuka moshi wa Sigara ni sawa na yale majiko ya kuni kule kijijini ukiingia jikoni panatoa harufu fulani hivi ya moshi moshi wa kuni sababu moshi umegandia mule jikoni km vumbi na linatoa harufu