Hii imekaaje?

Hii imekaaje?

Habari wanaJF

Hapa ni Sehemu ya kupata maarifa na Elimu mbalimbali!Utakuta mtu kaja nyumbani kwako au Sehemu umekata umejipumzisha na unaongea na simu.

Mara ghafla na yeye anapokea simu na kuweka sauti(Loud speaker)anaanza kuongea hapo hapo !Unakuwa vulugu kama vile mko vilabu vya pombe za kienyeji,wewe unaongea na simu yako na yeye yupo hapo hapo anabwabwaja!

Si atoke nje,maana kakukuta unaongea na simu Huu sio ustaarabu hata kidogo.Kama tumo humu ,tuache haipendezi.
Huu ni uzi? Kwa umemwandika nani. Kwanini usingemweleza
 
Mfano mimi siruhusu mtu kuvuta sigara ndani,
Kuna wajinga hawalijuhi hili wao ni kuvutia tu ndani ubaya wa moshi wa sigara ukivuta ndani miezi mitatu mingi sana mtu akiingia tu anajua humu ndani kuna mtu anavuta Sigara maana moshi una kawaida ya kubaki kwa mtindo wa vumbi vumbi na lile vumbi la sigara linatoa harufu
 
Kuna wajinga hawalijuhi hili wao ni kuvutia tu ndani ubaya wa moshi wa sigara ukivuta ndani miezi mitatu mingi sana mtu akiingia tu anajua humu ndani kuna mtu anavuta Sigara maana moshi una kawaida ya kubaki kwa mtindo wa vumbi vumbi
Wacha Mkuu!
 
Wacha Mkuu!
Wapo wajinga hawalijui hilo Sigara hutakiwi kuvutia ndani ukivuta ndani vumbi vumbi la Sigara linabaki ndani kinachofuata ni kunuka moshi wa Sigara ni sawa na yale majiko ya kuni kule kijijini ukiingia jikoni panatoa harufu fulani hivi ya moshi moshi wa kuni sababu moshi umegandia mule jikoni km vumbi na linatoa harufu
 
Wapo wajinga hawalijui hilo Sigara hutakiwi kuvutia ndani ukivuta ndani vumbi vumbi la Sigara linabaki ndani kinachofuata ni kunuka moshi wa Sigara ni sawa na yale majiko ya kuni kule kijijini ukiingia jikoni panatoa harufu fulani hivi ya moshi moshi wa kuni sababu moshi umegandia mule jikoni km vumbi na linatoa harufu
Ahsante kwa somo.
 
Back
Top Bottom