DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Sawa
Kama unajua kiingereza soma kitabu kinaitwa Four agreement kimeandikwa Don Miguel
Utajifunza mambo ya kukufanya unapotukanwa usikasirike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa
SawaAlafu kuna kidume kitakuja kupiga magoti kikuvalishe pete!!!? Waoaji kazi wanayo
ShukraniKama unajua kiingereza soma kitabu kinaitwa Four agreement kimeandikwa Don Miguel
Utajifunza mambo ya kukufanya unapotukanwa usikasirike.
Ni kweli mkuu.hizi caption za fb rahisi sana kuzisema
mtu akiwa anakusengenya ni ngumu kutoudhika
Mpende mama ako na hyo mtoto wa dada ako. Punguza ukaribu na dada yko. Pia kuwa msiri kwenye mambo yko. Mwisho sisi Gentleman tunapenda wanawake wanene na wenye shape. Gentleman eat fresh not BonesNina huyo Dada yangu,hajawahi kunisifia
Kila atakaponiona ataniambia sijapendeza,nimenenepeana sana nimekua kama kiroba.
Unazeeka,umekua m,bovu
Na hata tukiongozana barabaran hunifananisha na watu,hunionyesha mtu....yaaani umemuona yuleeee
Ndo yupo kama wew,
Hii imenifanya nitumie muda mwingi kujitizama kwenye kioo
Jana nimekutana naye tena, ameniona nikiwa na cm nyingine hii siyo mpya nimepewa tu na boyfriend wangu
Kwakua cm yangu haikufaa iliharibika sana,
Bas akaniambia heee umenunua cm,umejitahd,,,,NIKAMWAMBIA sijanunua nimepewa na boyfriend wangu
Akaanza, heee mwanamke mzima unapewa cm mbovu?
Mwanaume anakupaje cm mbovu kama hiyo, loooh haoni aibu.
Haikushika cm,aliiyona tu ikiwa kwangu...nilishangaa ubovu kaona wapi ? Mbona mimi naiyona ni nzima na nzuri na inafaa ni samsungA70 sijuh
Sasa huyu ni Dada yangu nampenda sana.....mbaya zaidi kamwambia mtoto wake WA kiume asiwe anawasiliana na mimi kwasababu mimi siyo mtu mwema.
Huyu mtoto wake,alinitafuta na kunieleza vile mama yake kamwambia.
Jaman huyu ni Dada yangu yupo around 43 years na mimi ni mkubwa ila ni mdogo sana kwake,
Mimi nampenda sana,naumia kuyaona haya....
Nachagua kijitenga naye, najua hili litamuuza sana mama........
Huyu ni Dada yangu,ila hatujashare chochote,
Mama yake amenilea mimi kwasababu ni mama yangu yaani ni mke WA baba yangu.
Nampenda sana huyu mama.yake,Kwasababu amenipenda sanaaa mimi amenilelea mimi tangu nipo mchanga mpaka leo nimekua Dada.
Naweza kumtenga huyu Dada yangu ???
Sasa nitaishi mwenyewe kama mkiwa daah
Wakinieleza tatizo nawasaidia...huwa natoa hata kile cha mwisho nilichobakiwa nacho....
Niliuza kitu changu ili ipatikane pesa kwaajili ya (kuhonga) kumpa mtu ili amuunganishe na kazi huyu mtoto wake na ilifanikiwa....
Ni vingi nimefanyaaaaa, basi hata aone nampenda kumjali mama natumia pesa ninazozipata kwa taabu kumfanya mama afurahie hatakama Sina.....
Ni kujiendekeza tu, kwani yeye ndie wa kwanza kuingia menopause? Huyo ana matatizo yake na stress .Dada anaingia kwenye kipindi kigumu kwa mwanamke, kipindi cha menopause. Kuna mabadiliko mengi sana mwilini, hasa swala la hisia na mambo ya hormones.
Ni kama balehe tu, kuna zinawaendesha na kuna wako kawaida.Ni kujiendekeza tu, kwani yeye ndie wa kwanza kuingia menopause? Huyo ana matatizo yake na stress .
Ampuuze tu
Huyo ana matatizo mengine.Ni kama balehe tu, kuna zinawaendesha na kuna wako kawaida.
Kuna watu unapaswa kuwa nao karibu wenye upendo wa kweli(mfano wazazi, familia).Nina huyo Dada yangu, hajawahi kunisifia.
Kila atakaponiona ataniambia sijapendeza, nimenenepeana sana nimekuwa kama kiroba.
Unazeeka, umekua mbovu. Na hata tukiongozana barabarani hunifananisha na watu, hunionyesha mtu....yaaani umemuona yuleeee Ndo yupo kama wewe
Hii imenifanya nitumie muda mwingi kujitizama kwenye kioo
Jana nimekutana naye tena, ameniona nikiwa na simu nyingine hii siyo mpya nimepewa tu na boyfriend wangu.
Kwakuwa simu yangu haikufaa iliharibika sana,
Basi akaniambia heee umenunua simu, umejitahidi, NIKAMWAMBIA sijanunua nimepewa na boyfriend wangu
Akaanza, heee mwanamke mzima unapewa simu mbovu?
Mwanaume anakupaje simu mbovu kama hiyo, loooh haoni aibu.
Haikushika simu, aliiyona tu ikiwa kwangu...nilishangaa ubovu kaona wapi? Mbona mimi naiona ni nzima na nzuri na inafaa ni samsungA70 sijuh
Sasa huyu ni Dada yangu nampenda sana.....mbaya zaidi kamwambia mtoto wake WA kiume asiwe anawasiliana na mimi kwasababu mimi siyo mtu mwema.
Huyu mtoto wake, alinitafuta na kunieleza vile mama yake kamwambia.
Jaman huyu ni Dada yangu yupo around 43 years na mimi ni mkubwa ila ni mdogo sana kwake,
Mimi nampenda sana, naumia kuyaona haya....
Nachagua kujitenga naye, najua hili litamuuza sana mama........
Huyu ni Dada yangu ila hatujashare chochote,
Mama yake amenilea mimi kwasababu ni mama yangu yaani ni mke WA baba yangu.
Nampenda sana huyu mama yake kwasababu amenipenda sanaaa mimi amenilea mimi tangu nipo mchanga mpaka leo nimekua Dada.
Naweza kumtenga huyu Dada yangu???
Sasa nitaishi mwenyewe kama mkiwa daah
Wakinieleza tatizo nawasaidia...huwa natoa hata kile cha mwisho nilichobakiwa nacho....
Niliuza kitu changu ili ipatikane pesa kwaajili ya (kuhonga) kumpa mtu ili amuunganishe na kazi huyu mtoto wake na ilifanikiwa....
Ni vingi nimefanyaaaaa, basi hata aone nampenda kumjali mama natumia pesa ninazozipata kwa taabu kumfanya mama afurahie hatakama Sina.....
Umesahau ku log out 😂Mama yake amenilea mimi kwasababu ni mama yangu yaani ni mke WA baba yangu.
Nampenda sana huyu mama.yake,Kwasababu amenipenda sanaaa mimi amenilelea mimi tangu nipo mchanga mpaka leo nimekua Dada.
Kwakifupi nikwamba anajua una mzidi kilakituMama yake amenilea mimi kwasababu ni mama yangu yaani ni mke WA baba yangu.
Nampenda sana huyu mama.yake,Kwasababu amenipenda sanaaa mimi amenilelea mimi tangu nipo mchanga mpaka
Hili tatizo wanalo wanawake wengi, na naona linawakumba wanaume pia..kuelezea mambo yako kwa kila mtu. Hakuna kitu kibaya kwa dunia ya sasa kama ku-share mafanikio yako, hustles zako na baadhi ya watu. Most of us tuko toxic sana. Sisi wengine tuko so reserved...Huyo dada yako ana wivu na wewe katika mafanikio yako. Alitaka uwe mtu wa Shida shida. Cha kufanya acha kuonyesha wala kuelezea mafanikio yako. Usiri utakusaidia sana. Lakini mkwepe pia.
Ku log out nini ??Umesahau ku log out 😂