Hii imenifanya nitumie muda mwingi kujitizama kwenye kioo! Naweza kumtenga?

Nitumie picha yako nione tatizo liko wapi.

Inawezekana anakuonea wivu tu , kuwa kibonge siyo ubaya mbona vibonge wengi ndo warembo, usivae tu nguo zinazokubana bana vaa kiheshima unakua poa kinoma.
Bai the Wei mimi siyo kibonge hata kilo 60 sijafika
 
Ama kweli mchawi ndugu. Sipati picha kama huyu dada yako ni wifi wa mtu inakuwaje.

Ila unajua ni nini mwambie.wazi kuwa umeichoka tabia yake. Atachagua yeye mwenyewe kusuka au kunyoa.
 
Kuna siku moja nilienda kwake na mdogo wangu m,moja huyu mdogo wangu kws upande WA mama yangu mzazi....akaniambia mbele yake

Ona mwenzyo alivyo mzuri ,kuliko wewe

Mzuri sana
 
Sasa anashambulia sana eneo gani la mwili wako? Mimi kama mtaalam wa masuala ya kivita nataka nijue , vitani huwa tunashambulia sehemu dhaifu au maeneo yenye faida.
Nitume picha hapa au niingie live 🀣🀣🀣
 
Usimtenge ila mpuuze. Sema punguza maingiliano yaso ya lazima. Onana nae kwa sababu maalumu na utumie mda mchache iwezekanavyo kuwa nae. Baada ya jambo lilikupeleka ondoka kupunguza sumu zake.
FUATA hii. Punguza ukaribu nae. Ongea nae vitu vya muhimu tu. Ongea nae kwa ufupi sana,huku ukiepa maneno yake makali. Duniani kila mtu na tabia zake. Kizuri umemfahamu. Ishi nae kwa hatua za kuhesabu. Tafuta furaha yako na maisha yako, usiangalie mwingine anataka uweje
 
Kama unazo Ebook zingine naomba niquotie hapa.. ntashukuru sana
 
Kuna siku moja nilienda kwake na mdogo wangu m,moja huyu mdogo wangu kws upande WA mama yangu mzazi....akaniambia mbele yake

Ona mwenzyo alivyo mzuri ,kuliko wewe

Mzuri sana
Ipo hivyo anajua na Ana Amini katika kitu ambacho wewe haukiamini

na anatumia kuto kuamini au kujiamini kwako Kama msingi wa kuku hakikishia wewe kwamba kweli haupo hivyo Ila kiukweli unamzidi kwa Lila kitu
 
Ntumie Pm picha yako kwenye hiyo vita nataka niwe USA wako nikupe silaha za msaada
Nitakupa siku 1
Shukran sana
 
Kuna watu ambao dunia imewaumiza vya kutosha, Wana majeraha na furaha kiasi wanaipata kwa kuona kila mtu around wao anakuwa miserable Kama wao. Kuna wengine ambao dunia imewaumiza na wanafikiri kwa kumfurahisha kila mtu wao pia watapata furaha. Dada yako Yuko kundi la Kwanza, wewe uko kundi la pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…