Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
- Thread starter
-
- #41
Bai the Wei mimi siyo kibonge hata kilo 60 sijafikaNitumie picha yako nione tatizo liko wapi.
Inawezekana anakuonea wivu tu , kuwa kibonge siyo ubaya mbona vibonge wengi ndo warembo, usivae tu nguo zinazokubana bana vaa kiheshima unakua poa kinoma.
Kuna siku moja nilienda kwake na mdogo wangu m,moja huyu mdogo wangu kws upande WA mama yangu mzazi....akaniambia mbele yakeKwakifupi nikwamba anajua una mzidi kilakitu
Na ndio maana anatumia udhaifu wako wakuamini anacho kuambia kuwa ni kweli kwasababu wewe upo hivyo
Ukiambiwa wewe nimbaya una Amini hivyo
Ukiambiwa huna shape una Amini hivyo
Sasa ukitaka kumwelewa maneno yake yatafsiri nyuma mbele
kwamfano.
akikuambia wewe nimweusi Sana Basi elewa anamaanisha wewe ni mweupe Sana
Akikuambia huja pendeza kabisaa Basi Ana Manisha ume pendeza Sana leo
utauona uzuri na uthamani wako unao mzidi yeye
Mimi kama mtaalamu wa masuala ya kivita naomba kujua ni eneo gani la mwili wako huwa analishambulia sanaBai the Wei mimi siyo kibonge hata kilo 60 sijafika
Nitume picha hapa au niingie live π€£π€£π€£Sasa anashambulia sana eneo gani la mwili wako? Mimi kama mtaalam wa masuala ya kivita nataka nijue , vitani huwa tunashambulia sehemu dhaifu au maeneo yenye faida.
FUATA hii. Punguza ukaribu nae. Ongea nae vitu vya muhimu tu. Ongea nae kwa ufupi sana,huku ukiepa maneno yake makali. Duniani kila mtu na tabia zake. Kizuri umemfahamu. Ishi nae kwa hatua za kuhesabu. Tafuta furaha yako na maisha yako, usiangalie mwingine anataka uwejeUsimtenge ila mpuuze. Sema punguza maingiliano yaso ya lazima. Onana nae kwa sababu maalumu na utumie mda mchache iwezekanavyo kuwa nae. Baada ya jambo lilikupeleka ondoka kupunguza sumu zake.
Ntumie Pm picha yako kwenye hiyo vita nataka niwe USA wako nikupe silaha za msaadaNitume picha hapa au niingie live π€£π€£π€£
Ipo hivyo anajua na Ana Amini katika kitu ambacho wewe haukiaminiKuna siku moja nilienda kwake na mdogo wangu m,moja huyu mdogo wangu kws upande WA mama yangu mzazi....akaniambia mbele yake
Ona mwenzyo alivyo mzuri ,kuliko wewe
Mzuri sana
Nitakupa siku 1 ππNtumie Pm picha yako kwenye hiyo vita nataka niwe USA wako nikupe silaha za msaada
Nitakupa siku 1Ntumie Pm picha yako kwenye hiyo vita nataka niwe USA wako nikupe silaha za msaada
Shukran sanaFUATA hii. Punguza ukaribu nae. Ongea nae vitu vya muhimu tu. Ongea nae kwa ufupi sana,huku ukiepa maneno yake makali. Duniani kila mtu na tabia zake. Kizuri umemfahamu. Ishi nae kwa hatua za kuhesabu. Tafuta furaha yako na maisha yako, usiangalie mwingine anataka uweje
Leoleo nipeNitakupa siku 1 ππ
Sija qu quote ww madam...Ku log out nini ??
SawaSija qu quote ww madam...
Njoo chukuaLeoleo nipe
Fungua Pm basiNjoo chukua
Kuna watu ambao dunia imewaumiza vya kutosha, Wana majeraha na furaha kiasi wanaipata kwa kuona kila mtu around wao anakuwa miserable Kama wao. Kuna wengine ambao dunia imewaumiza na wanafikiri kwa kumfurahisha kila mtu wao pia watapata furaha. Dada yako Yuko kundi la Kwanza, wewe uko kundi la pili.Nina huyo Dada yangu, hajawahi kunisifia.
Kila atakaponiona ataniambia sijapendeza, nimenenepeana sana nimekuwa kama kiroba.
Unazeeka, umekua mbovu. Na hata tukiongozana barabarani hunifananisha na watu, hunionyesha mtu....yaaani umemuona yuleeee Ndo yupo kama wewe
Hii imenifanya nitumie muda mwingi kujitizama kwenye kioo
Jana nimekutana naye tena, ameniona nikiwa na simu nyingine hii siyo mpya nimepewa tu na boyfriend wangu.
Kwakuwa simu yangu haikufaa iliharibika sana,
Basi akaniambia heee umenunua simu, umejitahidi, NIKAMWAMBIA sijanunua nimepewa na boyfriend wangu
Akaanza, heee mwanamke mzima unapewa simu mbovu?
Mwanaume anakupaje simu mbovu kama hiyo, loooh haoni aibu.
Haikushika simu, aliiyona tu ikiwa kwangu...nilishangaa ubovu kaona wapi? Mbona mimi naiona ni nzima na nzuri na inafaa ni samsungA70 sijuh
Sasa huyu ni Dada yangu nampenda sana.....mbaya zaidi kamwambia mtoto wake WA kiume asiwe anawasiliana na mimi kwasababu mimi siyo mtu mwema.
Huyu mtoto wake, alinitafuta na kunieleza vile mama yake kamwambia.
Jaman huyu ni Dada yangu yupo around 43 years na mimi ni mkubwa ila ni mdogo sana kwake,
Mimi nampenda sana, naumia kuyaona haya....
Nachagua kujitenga naye, najua hili litamuuza sana mama........
Huyu ni Dada yangu ila hatujashare chochote,
Mama yake amenilea mimi kwasababu ni mama yangu yaani ni mke WA baba yangu.
Nampenda sana huyu mama yake kwasababu amenipenda sanaaa mimi amenilea mimi tangu nipo mchanga mpaka leo nimekua Dada.
Naweza kumtenga huyu Dada yangu???
Sasa nitaishi mwenyewe kama mkiwa daah
Wakinieleza tatizo nawasaidia...huwa natoa hata kile cha mwisho nilichobakiwa nacho....
Niliuza kitu changu ili ipatikane pesa kwaajili ya (kuhonga) kumpa mtu ili amuunganishe na kazi huyu mtoto wake na ilifanikiwa....
Ni vingi nimefanyaaaaa, basi hata aone nampenda kumjali mama natumia pesa ninazozipata kwa taabu kumfanya mama afurahie hatakama Sina.....
Sawa πππFungua Pm basi