MtotoKautaka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 373
- 895
Nawewe tafuta kiota chako babu ukandamizeJuzi bhna nilienda barbershop kushave.
Nilipomaliza ile natoka nje nikaona land cruiser inakuja ikapak upande wangu wa kushoto.
Wakatoka jamaa wawili makamu ya miaka 35-40, jamaa walikuwa wanapiga stor kwa furaha sana na wakajisahau wakawa wanaongea Kwa sauti kubwa kiasi kwamba niliweza kuwasikia.
Haya maneno niliyasikia Kwa masikio yangu na iliniuma sana.
Jamaa mmoja alimwambia mwenzake hivi.
"KULE MIMI KILA SIKU NAPATA SIYO CHINI YA 180K NA UZURI KULE HAKUNA AUDIT"
Jamani labda mimi nilielewa vibaya, nambie wewe ukisikia sentence hii nini kinakuijia kichwani?
Hiyo gari ni cruiser nyeupe plate number inasoma STL
Sawa bhna RichmondNawewe tafuta kiota chako babu ukandamize
Siku zote asiyenacho humjadili aliyenacho...
Wacha umbea.Juzi bhna nilienda barbershop kushave.
Nilipomaliza ile natoka nje nikaona land cruiser inakuja ikapak upande wangu wa kushoto.
Wakatoka jamaa wawili makamu ya miaka 35-40, jamaa walikuwa wanapiga stor kwa furaha sana na wakajisahau wakawa wanaongea Kwa sauti kubwa kiasi kwamba niliweza kuwasikia.
Haya maneno niliyasikia Kwa masikio yangu na iliniuma sana.
Jamaa mmoja alimwambia mwenzake hivi.
"KULE MIMI KILA SIKU NAPATA SIYO CHINI YA 180K NA UZURI KULE HAKUNA AUDIT"
Jamani labda mimi nilielewa vibaya, nambie wewe ukisikia sentence hii nini kinakuijia kichwani?
Hiyo gari ni cruiser nyeupe plate number inasoma STL
Wacha umbea.
🤣Wacha umbea.
Kula nyama nyamaza,hata ingekuwa wewe ungekula kimyakimyaKWA HIZI KOMENT CHACHE NILIZOZIONA NIMEGUNDUA WATANZANIA WENGI NI WAPIGAJI NA HAWANA MENTALITY YA SOLIDARITY NA KUTHAMINIANA NI VILE WANAKUWA HAWAJAPATA CHANCE TU.
BASI HII NCHI TUNA SAFARI NDEFU SANA MPKA KUIFIKIA NCHI YA AHADI YENYE MAZIWA NA ASALI.
Makamu na makamo zina maana mbili tofauti kabisa🙂…Wakatoka jamaa wawili makamu ya miaka 35-40, jamaa walikuwa wanapiga stor kwa furaha sana na wakajisahau wakawa wanaongea Kwa sauti kubwa kiasi kwamba niliweza kuwasikia…,.
Uislamu banaWacha umbea.
Sasa wewe unatakaje sasa😡Makamu na makamo zina maana mbili tofauti kabisa🙂