Hii imeniuma sana na itamuuma mtanzania yeyote

Hii imeniuma sana na itamuuma mtanzania yeyote

Juzi bhna nilienda barbershop kushave.
Nilipomaliza ile natoka nje nikaona land cruiser inakuja ikapak upande wangu wa kushoto.

Wakatoka jamaa wawili makamu ya miaka 35-40, jamaa walikuwa wanapiga stor kwa furaha sana na wakajisahau wakawa wanaongea Kwa sauti kubwa kiasi kwamba niliweza kuwasikia.

Haya maneno niliyasikia Kwa masikio yangu na iliniuma sana.
Jamaa mmoja alimwambia mwenzake hivi.

"KULE MIMI KILA SIKU NAPATA SIYO CHINI YA 180K NA UZURI KULE HAKUNA AUDIT"

Jamani labda mimi nilielewa vibaya, nambie wewe ukisikia sentence hii nini kinakuijia kichwani?

Hiyo gari ni cruiser nyeupe plate number inasoma STL
Tafuta hela.....kimsingi hiyo ni pesa ndogo sana kwamaisha ya sasa.......UKIFUATILIA MAMBO YA WATU UTAPUNGUZA SIKU ZAKO ALIZOKUPANGIA MYAAAZMNGU
 
Juzi bhna nilienda barbershop kushave.
Nilipomaliza ile natoka nje nikaona land cruiser inakuja ikapak upande wangu wa kushoto.

Wakatoka jamaa wawili makamu ya miaka 35-40, jamaa walikuwa wanapiga stor kwa furaha sana na wakajisahau wakawa wanaongea Kwa sauti kubwa kiasi kwamba niliweza kuwasikia.

Haya maneno niliyasikia Kwa masikio yangu na iliniuma sana.
Jamaa mmoja alimwambia mwenzake hivi.

"KULE MIMI KILA SIKU NAPATA SIYO CHINI YA 180K NA UZURI KULE HAKUNA AUDIT"

Jamani labda mimi nilielewa vibaya, nambie wewe ukisikia sentence hii nini kinakuijia kichwani?

Hiyo gari ni cruiser nyeupe plate number inasoma STL
Kama hakuna Audit basi huko ni kwenye ofisi ya namba 1 , sasa kupiga mzigo mpaka utoboe na uingie Jumba jeupe we kuweza???

Endelea kukaza buti huko huko ulipo, maana ni bahati iliyoje kujikuta umepata utawala Jumba jeupe

Sana sana uwe na muonekano wa ki-snitch uishie kula shavu kule geti jeusi uanze kuwachoma wanao na wasio wanao kwa maslahi mapana ya nchi ya kusadikika
 
Hiyo ni kawaida kwa kila mtanzania kutafuta kagepu ka upigaji... Na tukishapiga kusimuliana ni kawaida. Sasa ole wako usimuliwe harafu ukanichome, utachukiwa maisha

This is Africa kijana, maisha yetu kivyetuvyetu
 
KWA HIZI KOMENT CHACHE NILIZOZIONA NIMEGUNDUA WATANZANIA WENGI NI WAPIGAJI NA HAWANA MENTALITY YA SOLIDARITY NA KUTHAMINIANA NI VILE WANAKUWA HAWAJAPATA CHANCE TU.

BASI HII NCHI TUNA SAFARI NDEFU SANA MPKA KUIFIKIA NCHI YA AHADI YENYE MAZIWA NA ASALI.
Watanzania wengi ni wezi ,hawana roho ya kujituma wala uzalendo kwa nchi ,kwa asili yao ni wezi ndio maana nchi haiendelei, naunga mkono mama kubinafsisha bandari na taasisi zingine , nchi haiandai watu wake kuwa wawajibikaji bali inaandaa watu kuwa wezi.
 
Back
Top Bottom