Hii imewahi kukutokea?

Hii imewahi kukutokea?

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Yaani mtu mmeongea naye bila kujuana halafu ukadata na sauti mkaja kumeet ukawa sivyo ulivyodhania je ulichukua hatua gani?
 
Sasa unachelewaje mpaka mkutane? Mtu ambae hamjawahi kuonana hua unatakiwa kumtanguliza kwanza, kama n sehem ya kukutana unahakikisha unawahi na kujificha ili uone kwanza alivyo.

Kama ukipendezwa, then unatokea, kama sivyo chapa bloku.

Too slow!
 
Yaani mtu mmeongea naye bila kujuana halafu ukadata na sauti mkaja kumeet ukawa sivyo ulivyodhania je ulichukua hatua gani?
Ilinipata hiyo, alikuw na sauti nzuri hatari. Kuja siku nikutane nae pale maeneo ya Mwenge enzi hizo 2012, nikajibanza kwanza sehemu nimcheki kwa mbali kuja kubaini... Dah... Nilichoka mtu wangu. Yani kidogo nigeuze, ila tu nkaona siyo kesi. Nikamfuata tuakenda sehemu tukakaa sehemu tukaongea huku tunapiga soda kidogo, then nkasepa zangu kurudi. Nikawa nampotezea mdogo mdogo... hadi ikawa over...
 
Nilisha mkamua mama mmoja wa bunge lililopita kisa kapagawa na sauti. Woman are unique.
 
Back
Top Bottom