Hii ina maana gani kuhusu msimamo wa Tanzania juu ya Somalia?

Hii ina maana gani kuhusu msimamo wa Tanzania juu ya Somalia?

Mgosi Mbena

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2023
Posts
499
Reaction score
604
Sera ya Tanzania ya mambo ya nje inasemaje kuhusu hili swala La somalia na mipaka yake.

36EB3C67-69F6-4141-B982-940D8F889DE2.jpeg
 
Issue nn Mgosi?
Somalia imekua iko na mgogoro na Ethiopia juu ya Somali land ….
Kwa raman hapo Tanzania inaonesha kua inatambua Somaliland si sehemu ya somalia kitu ambacho ni kinyume na madai ya Somalia
 
Nadhani hujamuelewa mleta mada, madai yake ni hiyo ramani ya Somalia. Hicho kisehemu kwa uelewa wake anasema ni mali ya Ethiopia na si Somalia, sasa swali lake ni juu ya Tanzania kuunga mkono hiyo hoja ya hicho kieneo.
Hueleweki, kwani Rais wa Somalia haruhusiwi kuja Tanzania?
 
Nadhani hujamuelewa mleta mada, madai yake ni hiyo ramani ya Somalia. Hicho kisehemu kwa uelewa wake anasema ni mali ya Ethiopia na si Somalia, sasa swali lake ni juu ya Tanzania kuunga mkono hiyo hoja ya hicho kieneo.
Sasa wewe mbona nimekuelewa?
 
Nyie endeleeni kuwajadili wasomali nao waje kuwapita kwa maendeleo kama walivyofanya Rwanda. Sasa sijui mtasema nao ni sababu ya pesa za majasusi wa meli maana mnawazushia Rwanda ni pesa za madini ya Congo kumbe mwenzenu PK kainyoosha nchi.Nyie endeleeni tu kupiga kelele kwa mambo yasiowahusu.
 
Nyie endeleeni kuwajadili wasomali nao waje kuwapita kwa maendeleo kama walivyofanya Rwanda. Sasa sijui mtasema nao ni sababu ya pesa za majasusi wa meli maana mnawazushia Rwanda ni pesa za madini ya Congo kumbe mwenzenu PK kainyoosha nchi.Nyie endeleeni tu kupiga kelele kwa mambo yasiowahusu.
Ungeijua Rwanda usingesema haya unayosema!! Rwanda is the poorest country on Earth. tofautisha propaganda na uhalisia
 
Naona imekua Tabu kwa watu kuelewa haya nimewadadavulia kwa lugha nyepesi
 

Attachments

  • 29A0ECE9-3BF6-44B1-8621-A03F4A63B5A3.jpeg
    29A0ECE9-3BF6-44B1-8621-A03F4A63B5A3.jpeg
    1.1 MB · Views: 5
Ungeijua Rwanda usingesema haya unayosema!! Rwanda is the poorest country on Earth. tofautisha propaganda na uhalisia
Wewe upo bongoland karibu lakini hujawahi fika Rwanda. Mimi nimefika Rwanda na nimekaa wiki mbili sijui umaskini unaousema ni upi. Bongo unataka kusema wameizidi nini.?????hapa naongelea vijijini, umaskini wa vijijini karibu africa yote unafanana au hujawahi kufika huko Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga na kigoma ndani ndani kuona umaskini uliokithiri???,maana kimjini Kigali wapo vizuri sana kuliko Dar. Pasafi na kuna amani. Hamna umeme wa mgawo, maji ya bomba yapo safi, customer services ipo vizuri kila sehemu ya huduma. Nyie mmekalia kusema Rwanda ndogo, so what?? wameshawaacha kimaendeleo.
 
Wewe upo bongoland karibu lakini hujawahi fika Rwanda. Mimi nimefika Rwanda na nimekaa wiki mbili sijui umaskini unaousema ni upi. Bongo unataka kusema wameizidi nini.?????hapa naongelea vijijini, umaskini wa vijijini karibu africa yote unafanana au hujawahi kufika huko Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga na kigoma ndani ndani kuona umaskini uliokithiri???,maana kimjini Kigali wapo vizuri sana kuliko Dar. Pasafi na kuna amani. Hamna umeme wa mgawo, maji ya bomba yapo safi, customer services ipo vizuri kila sehemu ya huduma. Nyie mmekalia kusema Rwanda ndogo, so what?? wameshawaacha kimaendeleo.
yaan unalinganisha kata ya kigali na dar ila bongo wengi vichaaa
 
Back
Top Bottom