jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Mimi Eva nakubali kuolewa na Edgar kwa moyo wangu wote na nitaishi naye katika shida na raha vinafuata vigelegele......... Huo ukoo uliohamia kwako utakaa kwa siku ngapi??Jamani mtu akiolewa kaolewa na ukoo mtu anakuja na familia nzima .
Yaani wazazi wote wawili , dada , kaka na wadogo zake ndani yanyumba halafu hawana hata haya yakukaa na wao ndio wamefika. Hata wakitafutiwa kazi wapo hapo hapo na chakusikitisha hawachangii chochote sio luku au chakula wala kodi au nini kila kitu ni shemeji kama mpo huku acheni hii tabia mnakera ipo siku mtampomza dada yenu ataachika.
Wifi alijifungua akaniita nikamsalimie kufika nyumba ya jirani yake hadi aibu yaani wamemganda shemeji yao hadi aibu . Na hadi kuoga , chakula na kuishi kwa ujumla inaboa inasikitisha mtu hana raha.
Mimi na wifi yangu tukicheka ile siku mtu na ndugu yake wanakimbizana kisa mtu kala pajaa. Kama mpo huku acheni ujinga na roho ya unafiki nendeni kwenu.
Kwa wifi yangu sijawahi hata kuona ndugu zake. Hata kuwaona ila kama anaumwa au anaboreka ndio unawaona na sio hawana shida ila wanaheshima .
Kama mpo humu acheni uroho wakwanini.
Mnaboa mtu amezeeka kwa shemeji yake . Hadi mvii sio freshi wakuu.
SanaWaafrika tunarudishana nyuma sana.
Sijui watakaa kwa muda gani kwa sababu hawana dalili ya kuondoka wala kama wanakimbizana na kipapatio cha kuku hao hawana dalili za kuondokaMimi Eva nakubali kuolewa na Edgar kwa moyo wangu wote na nitaishi naye katika shida na raha vinafuata vigelegele......... Huo ukoo uliohamia kwako utakaa kwa siku ngapi??
Mjini hakuna cha bure wewe jua tu kulipia huduma za kijamiikwani huku kuna cha bure au huduma zote za kijamii tunapewa bure..mmeendekeza roho mbaya tu + uchoyo.
kwenye familia yetu hatuna tabia za hivo na hata mimi siwezi ruhusu iko kitu ila point yangu ni kwamba jifunze kuwachia mambo.yaoUnakaa kwa ndugu ndio maana unahasira polee mwaya
Hawajasemeshwa mie ni mtu nikikusemesha tunaishia polisi mi mmeru nusu nakupasua na mawe na visu sisi nikawaida .kwenye familia yetu hatuna tabia za hivo na hata mimi siwezi ruhusu iko kitu ila point yangu ni kwamba jifunze kuwachia mambo.yao